Siku ya Break up!

Siku ya Break up!

Ilikuwa ndo first love kipindi hicho ninae mmoja tuu...!! Kujikutaa loyal khaaaa nlinyooshwa
Siku nyingine ukiona chick anakuletea mapicha picha, kapunguza mapenzi, we mchane tu aseme kama kaona haumfai au kapata mwingine, sio kujishusha shusha sana utazani yeye malkia.
Na usije kumwamini mwanamke 100% hata akupe mapenzi ya kihindi mixer kikorea.
 
Mkuu acha tu sijui nieleze vitu maana yale maumivu kumweleza ambaye hajapitia ni ngumu kukuelewa kabisa ila maumivu ni makali mnooooo
Mbaya ulishamtambulishaa hata kwa ndugu..
 
Mbaya ulishamtambulishaa hata kwa ndugu..
Nilipata aibu maana mother na sister walijua nimeachwa ila mother aliniambia kubali yaaishe tu maana hakuna namna japo sikumwambia ila aliona maumivu nayopitia
 
Nilipokea ujumbe "F is no more". Kwanza nilihisi ujumbe umeandikwa kichina maana nilikuawa nasoma ila sielewi, nilishindwa kulia nikabaki nimezubaa tu. Nilijua anaumwa ila nilitegemea angepona hivyo kifo chake kiliniuma hadi kwenye mifupa. Hivyo ndivyo nilivyoachwa na mwanaume pekee nilowahi kumpenda sanaaaaaa.
Kuanzia hapo sijawahi kupenda tena hivyo ukiniacha unajisumbua tu na sijui kama nimewahi kuachwa au naacha hata suelewi.
 
Nilipokea ujumbe "F is no more". Kwanza nilihisi ujumbe umeandikwa kichina maana nilikuawa nasoma ila sielewi, nilishindwa kulia nikabaki nimezubaa tu. Nilijua anaumwa ila nilitegemea angepona hivyo kifo chake kiliniuma hadi kwenye mifupa. Hivyo ndivyo nilivyoachwa na mwanaume pekee nilowahi kumpenda sanaaaaaa.
Kuanzia hapo sijawahi kupenda tena hivyo ukiniacha unajisumbua tu na sijui kama nimewahi kuachwa au naacha hata suelewi.
Daah kufiwa na mpenzi kunauma Sana aisee...!! pole sana
 
Nilipata aibu maana mother na sister walijua nimeachwa ila mother aliniambia kubali yaaishe tu maana hakuna namna japo sikumwambia ila aliona maumivu nayopitia
Ndo mambo ya mapenzi...!! Wamama huwa wanajua MTU ukiwa na maumivuu
 
Ukihisi joto la Dar limekuwa juu sana na jua limeongezeka nikushauri wewe uliye katika mizunguko yako na unatamani upate sehemu yenye ubariiidiii kabisa upumzishe nafsi sehemu sahihi ni crdb azikiwe ama nmb kisutu Ingia ndani kaa kwenye sofa kula kiyoyozi Hakuna maswali
 
Hata asipokua committed Mimi nikimpenda atanipenda. Tatizo langu kubwa sio MTU wa kunipend ni MTU wa Mimi kumpenda
Na dedicate kwako wimbo wa huyu kijana
Labrinth - Beneath your beautiful.
 
heheee",... hiyo hali haijawahi nifika',when nilipoachana na. manzi niliyempenda" huwa nina katabia Fulani hivi" nikiona mwenzangu" ameanza kuwa navijitabia fulani hivi vya usaliti basi taa nyekundu huwa inaniwaka kichwani
.
.huwaga sisubiri mpaka niachwe" bali natengeneza mazingira ya kuachana ili tutoke ngoma draw" ... Huwa nakaa kimtego mtego" Asipo nipigia na mimi simpigii" Asipo nitext na mimi simtext"... nikimtafuta hewani mara 1 then ikawa ha-respond basi sijishughulishi kumtafuta tena" mpaka atakapo nitafuta yeye" cause missed call yangu siameiona bwana".... ikitokea akapiga kimya kwa muda wa siku 3,.. basii nafuta namba yake kabisaa' ili nisije pata mshawasha wakumpigia"...

that's all
Agiza bia popote pale nitalipa
Watu huwaga hawaelew yaan mtu unampigia hadi mara tano hapokei lets say umempigia asubuh yaan mpaka inafika jion wala hakutafut na missed call zako kaziona tena bado lijitu linapiga et "ooh mbna hupokei cm zang"maisha ya mahusiano kama unamuona mtu yupo mguu moja ndani mmoja nje na ww inatakiwa ukae kimitego mitego sana
 
mnaong'ang'ania mpaka mnaachwa acha muumie, tena hasa wanaume, unaona kabisa sehemu ulipo siko, unakazana kubembeleza kana kwamba huoni wengine mpaka siku upewe za uso
Mkuu islets nimeamua kukupa ka.like...maana umenena vyema....heshima kwako....
 
Agiza bia popote pale nitalipa
Watu huwaga hawaelew yaan mtu unampigia hadi mara tano hapokei lets say umempigia asubuh yaan mpaka inafika jion wala hakutafut na missed call zako kaziona tena bado lijitu linapiga et "ooh mbna hupokei cm zang"maisha ya mahusiano kama unamuona mtu yupo mguu moja ndani mmoja nje na ww inatakiwa ukae kimitego mitego sana
Kabisa Chief " mambo mengine yanataka Ujiongeze tu mwenyewe ..sio kulazimisha mambo kumbe ndio waikaribisha aibu chumbani kwako".... ukiona mwenzi wako hakutafuti kama awali basi jiongez" sio waanza kupiga piga simu nakumuhoji wakati anajua athari ya jambo analolifanya"... kitendo cha kukupigia kimya ni ishara ya kutokuwa na msisimko na maumivu yanayo changiwa na hisia zako dhidi yake" so wataka mpaka hilo uambiwe".... ndio ile wakuta mpaka mtu anakuja kuambiwa sikutaki au nimefikiria nimeona kuwa nahitaji ku move on ..so lets break up"" unaishia kutoa macho tu kama mkolomije aliyeachwa posta"..... Aisee mimi hayo huwaga sisubiri yanifike...

hahaaa sawa nimeshaagiza njoo" ulipe Aisee
 
Back
Top Bottom