Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,182
Nilijiua na kukimbia kusikojulikana
Ulioneshaa ukomavua aisee....Amepigikaa hata chakulaa kakosaa!! Wanawake akili zaoo bhnaaa...Nilikuwa na uhusiano na dada fulan huyu alikuwa kama model mzur sana na mwembamba
Nikampima ngoma nikawa najimegeaa peku sasa tukawa tumeshibana sana kama hela nikawa nampa sana tumekaa kwenye mahusiano kama miez 4 ,,baadae huyu dada akawa anasubir mpaka mimi nimtafute baadae nikamuambia kuwa huru kwangu nipe majibu mm nakuona kama sikuelewi kama wataka kuniacha naomba uniambiee akasema hapana sms nakuwa sina nikamuambia sio uniandikie tafadhari nipgie akasema mm siwez kuandika nakuwa najiona najishushiaa nikasema poa
Usiku saa sita akanitumiaa sms kwamba " JOHN PLZ NAOMBA UNIACHE YAAN TUACHANE MIMI NA WEWE PLIZ NAOMBA ASANTE KWA KUNIELEWA"
NAMI NIKAMJIBU "NASHUKURU NIMEKUELEWA BORA UMEKUWA MUWAZI NAKUTAKIA MAISHA MEMA"
Sikulizika nikampgiaa simu lakin hakupokeaa kabisa baadae akanitumia sms '' SAMAHANI SIWEZ KUONGEA MUDA HUUNITAKUTAFUTA KESHO" hata siku mjibu ,,badae nikamtumiaa sms KUACHANA SIO UGOMVI NASHUKURU UMENIAMBIAA NAM NIMEKUBALI MATOKEO SINA KINYONGO NA WEWE WALA SIWEZ KUKUCHUKIA KAMA TUKIONANA NITAKUWA NAKUPA SALAMU KAMA KAWAIDA NA ISIWE UGOMVI BAINA YETU
siku moja nipo stand nikamuona hapo ni siku nne mbele baada ya kusema tuachane nikampgia simu nikamuambiaa nakuona na nikaenda kumpa hie tukawa twaongea na twataniana kama dada naona umeamua kuniacha naye kiutani anasema kaka ,,bas akaniambiaa nina njaa nikamuambia wataka kula nn akasema hata chipsi nikamnunulia akaenda kulia kwenye gar nikamuambia sababu ni nini akasema ni maisha sababu ,sikutaka kumdadis zaid akaondoka alipofika kwao akaniambiaa nimefikaa
Huyu nimelala naye mara nne ,,lakin kitandani hayupo vzur kivilee
Solution
Najua kama yupo na mtu mwingne ila mm nakuwa naye ni rafk wa kawaida kwan mpaka sasa hatutafutani .nam muda huu nimefuta namba yake kwan kichwani nimeishika nataka hadi anitafute yy maana nikiwa nimesave naweza kushawishika kumpgia naye atajionaa ,na namsikilizia mahusiano yake mengne atafikia wap na huyo mtu na yeye atapma kwenye mizani nan ni muhmu kwake kama akizinguana na huyo mtu wake
Mkuu noma sana niko natafuta mchumchu mwingineHaa ha...habari za kuzimu??
![]()
![]()
![]()
![]()
umenichekesha sana mkuu
taaarime tu hapo mkuuWapi huko mkuu hadi Leo unachaguliwa mke???
Nime kupm nasubiria majibu mujaraabu!!!Sijapata bado
Dah hata wewe? PoleSikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
Acha kabisa.. AiseeMkuu katika hili swala la kuachana ndipo nilipo amini papuchi au wanawake wana tofautiana. Kuwa na wanawake wengi bado siyo solution, anaweza kukuliwaza for the time being ila kuna vitu lazima uvimiss kutoka kwa muhusika mwenyewe.
Acha kabisa mzee.
Kwahiyo umeandaa mazingira ya kuwa "spea tairi". Mi nikajua umevuta chombo ingine kwa nyumba..Nilikuwa na uhusiano na dada fulan huyu alikuwa kama model mzur sana na mwembamba
Nikampima ngoma nikawa najimegeaa peku sasa tukawa tumeshibana sana kama hela nikawa nampa sana tumekaa kwenye mahusiano kama miez 4 ,,baadae huyu dada akawa anasubir mpaka mimi nimtafute baadae nikamuambia kuwa huru kwangu nipe majibu mm nakuona kama sikuelewi kama wataka kuniacha naomba uniambiee akasema hapana sms nakuwa sina nikamuambia sio uniandikie tafadhari nipgie akasema mm siwez kuandika nakuwa najiona najishushiaa nikasema poa
Usiku saa sita akanitumiaa sms kwamba " JOHN PLZ NAOMBA UNIACHE YAAN TUACHANE MIMI NA WEWE PLIZ NAOMBA ASANTE KWA KUNIELEWA"
NAMI NIKAMJIBU "NASHUKURU NIMEKUELEWA BORA UMEKUWA MUWAZI NAKUTAKIA MAISHA MEMA"
Sikulizika nikampgiaa simu lakin hakupokeaa kabisa baadae akanitumia sms '' SAMAHANI SIWEZ KUONGEA MUDA HUUNITAKUTAFUTA KESHO" hata siku mjibu ,,badae nikamtumiaa sms KUACHANA SIO UGOMVI NASHUKURU UMENIAMBIAA NAM NIMEKUBALI MATOKEO SINA KINYONGO NA WEWE WALA SIWEZ KUKUCHUKIA KAMA TUKIONANA NITAKUWA NAKUPA SALAMU KAMA KAWAIDA NA ISIWE UGOMVI BAINA YETU
siku moja nipo stand nikamuona hapo ni siku nne mbele baada ya kusema tuachane nikampgia simu nikamuambiaa nakuona na nikaenda kumpa hie tukawa twaongea na twataniana kama dada naona umeamua kuniacha naye kiutani anasema kaka ,,bas akaniambiaa nina njaa nikamuambia wataka kula nn akasema hata chipsi nikamnunulia akaenda kulia kwenye gar nikamuambia sababu ni nini akasema ni maisha sababu ,sikutaka kumdadis zaid akaondoka alipofika kwao akaniambiaa nimefikaa
Huyu nimelala naye mara nne ,,lakin kitandani hayupo vzur kivilee
Solution
Najua kama yupo na mtu mwingne ila mm nakuwa naye ni rafk wa kawaida kwan mpaka sasa hatutafutani .nam muda huu nimefuta namba yake kwan kichwani nimeishika nataka hadi anitafute yy maana nikiwa nimesave naweza kushawishika kumpgia naye atajionaa ,na namsikilizia mahusiano yake mengne atafikia wap na huyo mtu na yeye atapma kwenye mizani nan ni muhmu kwake kama akizinguana na huyo mtu wake

Daah, naomba nichukue Hyo nafasi tafadhariNimeshapoa kabisa bae nimeandaa moyo kwa mapenzi mapya
Aisee jamaa alikuwa muuaji khaa...!!Tumemaliza chuo, kila mtu amerudi mkoa anakotokea, mm nilishamtambulisha kwa sister na maza, napigiwa simu nimeshafika mkoa wangu ananiambia nilikuwa nasubiri urudi nyumbani kwenu ili nikwambia kitu maana niliogopa nikikwambia uko unaweza kosa msaada ila umefika home kwenu Mimi na wewe basi kila mtu na maisha yake, nilikuwa nampenda sana kwa kipindi cha mwezi 1 nilipata maumivu makali mno sijawahi kuexprience dah
Nimeamkaa siku nyingi mzeee..siku hizi hata sishtukiii....Acha ushamba labda kama wewe ni mwanamke. Lakini kwa dume business as usual, wanazaliwa wazuri wenye tabia nzuri zaidi yake. Ni sawa na kwenda dukani kuchagua nguo, amka acha uzwazwaaaa


