Siku ya Break up!

Siku ya Break up!

Nilikuwa na uhusiano na dada fulan huyu alikuwa kama model mzur sana na mwembamba

Nikampima ngoma nikawa najimegeaa peku sasa tukawa tumeshibana sana kama hela nikawa nampa sana tumekaa kwenye mahusiano kama miez 4 ,,baadae huyu dada akawa anasubir mpaka mimi nimtafute baadae nikamuambia kuwa huru kwangu nipe majibu mm nakuona kama sikuelewi kama wataka kuniacha naomba uniambiee akasema hapana sms nakuwa sina nikamuambia sio uniandikie tafadhari nipgie akasema mm siwez kuandika nakuwa najiona najishushiaa nikasema poa

Usiku saa sita akanitumiaa sms kwamba " JOHN PLZ NAOMBA UNIACHE YAAN TUACHANE MIMI NA WEWE PLIZ NAOMBA ASANTE KWA KUNIELEWA"

NAMI NIKAMJIBU "NASHUKURU NIMEKUELEWA BORA UMEKUWA MUWAZI NAKUTAKIA MAISHA MEMA"

Sikulizika nikampgiaa simu lakin hakupokeaa kabisa baadae akanitumia sms '' SAMAHANI SIWEZ KUONGEA MUDA HUUNITAKUTAFUTA KESHO" hata siku mjibu ,,badae nikamtumiaa sms KUACHANA SIO UGOMVI NASHUKURU UMENIAMBIAA NAM NIMEKUBALI MATOKEO SINA KINYONGO NA WEWE WALA SIWEZ KUKUCHUKIA KAMA TUKIONANA NITAKUWA NAKUPA SALAMU KAMA KAWAIDA NA ISIWE UGOMVI BAINA YETU


siku moja nipo stand nikamuona hapo ni siku nne mbele baada ya kusema tuachane nikampgia simu nikamuambiaa nakuona na nikaenda kumpa hie tukawa twaongea na twataniana kama dada naona umeamua kuniacha naye kiutani anasema kaka ,,bas akaniambiaa nina njaa nikamuambia wataka kula nn akasema hata chipsi nikamnunulia akaenda kulia kwenye gar nikamuambia sababu ni nini akasema ni maisha sababu ,sikutaka kumdadis zaid akaondoka alipofika kwao akaniambiaa nimefikaa

Huyu nimelala naye mara nne ,,lakin kitandani hayupo vzur kivilee

Solution

Najua kama yupo na mtu mwingne ila mm nakuwa naye ni rafk wa kawaida kwan mpaka sasa hatutafutani .nam muda huu nimefuta namba yake kwan kichwani nimeishika nataka hadi anitafute yy maana nikiwa nimesave naweza kushawishika kumpgia naye atajionaa ,na namsikilizia mahusiano yake mengne atafikia wap na huyo mtu na yeye atapma kwenye mizani nan ni muhmu kwake kama akizinguana na huyo mtu wake
Ulioneshaa ukomavua aisee....Amepigikaa hata chakulaa kakosaa!! Wanawake akili zaoo bhnaaa...
 
Iliniuma sana ndio maana nikafanya vile... amenifanya niwe na elements za sitaki mapenz ***** zake yule
Ndo yalivyoo mapenzi. Now hakuna MTU utadate nae hajawahii Kuumizwaa...So ni kumove on tu!
 
Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
Dah hata wewe? Pole
 
Mkuu katika hili swala la kuachana ndipo nilipo amini papuchi au wanawake wana tofautiana. Kuwa na wanawake wengi bado siyo solution, anaweza kukuliwaza for the time being ila kuna vitu lazima uvimiss kutoka kwa muhusika mwenyewe.

Acha kabisa mzee.
Acha kabisa.. Aisee
 
Nilikuwa na uhusiano na dada fulan huyu alikuwa kama model mzur sana na mwembamba

Nikampima ngoma nikawa najimegeaa peku sasa tukawa tumeshibana sana kama hela nikawa nampa sana tumekaa kwenye mahusiano kama miez 4 ,,baadae huyu dada akawa anasubir mpaka mimi nimtafute baadae nikamuambia kuwa huru kwangu nipe majibu mm nakuona kama sikuelewi kama wataka kuniacha naomba uniambiee akasema hapana sms nakuwa sina nikamuambia sio uniandikie tafadhari nipgie akasema mm siwez kuandika nakuwa najiona najishushiaa nikasema poa

Usiku saa sita akanitumiaa sms kwamba " JOHN PLZ NAOMBA UNIACHE YAAN TUACHANE MIMI NA WEWE PLIZ NAOMBA ASANTE KWA KUNIELEWA"

NAMI NIKAMJIBU "NASHUKURU NIMEKUELEWA BORA UMEKUWA MUWAZI NAKUTAKIA MAISHA MEMA"

Sikulizika nikampgiaa simu lakin hakupokeaa kabisa baadae akanitumia sms '' SAMAHANI SIWEZ KUONGEA MUDA HUUNITAKUTAFUTA KESHO" hata siku mjibu ,,badae nikamtumiaa sms KUACHANA SIO UGOMVI NASHUKURU UMENIAMBIAA NAM NIMEKUBALI MATOKEO SINA KINYONGO NA WEWE WALA SIWEZ KUKUCHUKIA KAMA TUKIONANA NITAKUWA NAKUPA SALAMU KAMA KAWAIDA NA ISIWE UGOMVI BAINA YETU


siku moja nipo stand nikamuona hapo ni siku nne mbele baada ya kusema tuachane nikampgia simu nikamuambiaa nakuona na nikaenda kumpa hie tukawa twaongea na twataniana kama dada naona umeamua kuniacha naye kiutani anasema kaka ,,bas akaniambiaa nina njaa nikamuambia wataka kula nn akasema hata chipsi nikamnunulia akaenda kulia kwenye gar nikamuambia sababu ni nini akasema ni maisha sababu ,sikutaka kumdadis zaid akaondoka alipofika kwao akaniambiaa nimefikaa

Huyu nimelala naye mara nne ,,lakin kitandani hayupo vzur kivilee

Solution

Najua kama yupo na mtu mwingne ila mm nakuwa naye ni rafk wa kawaida kwan mpaka sasa hatutafutani .nam muda huu nimefuta namba yake kwan kichwani nimeishika nataka hadi anitafute yy maana nikiwa nimesave naweza kushawishika kumpgia naye atajionaa ,na namsikilizia mahusiano yake mengne atafikia wap na huyo mtu na yeye atapma kwenye mizani nan ni muhmu kwake kama akizinguana na huyo mtu wake
Kwahiyo umeandaa mazingira ya kuwa "spea tairi". Mi nikajua umevuta chombo ingine kwa nyumba..
 
Nilijifanyaga sisumbuki na kuachwa, ila moyo unatiririsha matone ya damu..niliona dunia imeniacha....
 
Nilijifanyaga sisumbuki na kuachwa, ila moyo unatiririsha matone ya damu..niliona dunia imeniacha....
Haa ha...Wanaojionaga makomandoo huwa wanaumia vibaya Sana!!
 
Tumemaliza chuo, kila mtu amerudi mkoa anakotokea, mm nilishamtambulisha kwa sister na maza, napigiwa simu nimeshafika mkoa wangu ananiambia nilikuwa nasubiri urudi nyumbani kwenu ili nikwambia kitu maana niliogopa nikikwambia uko unaweza kosa msaada ila umefika home kwenu Mimi na wewe basi kila mtu na maisha yake, nilikuwa nampenda sana kwa kipindi cha mwezi 1 nilipata maumivu makali mno sijawahi kuexprience dah
 
Acha ushamba labda kama wewe ni mwanamke. Lakini kwa dume business as usual, wanazaliwa wazuri wenye tabia nzuri zaidi yake. Ni sawa na kwenda dukani kuchagua nguo, amka acha uzwazwaaaa
 
Tumemaliza chuo, kila mtu amerudi mkoa anakotokea, mm nilishamtambulisha kwa sister na maza, napigiwa simu nimeshafika mkoa wangu ananiambia nilikuwa nasubiri urudi nyumbani kwenu ili nikwambia kitu maana niliogopa nikikwambia uko unaweza kosa msaada ila umefika home kwenu Mimi na wewe basi kila mtu na maisha yake, nilikuwa nampenda sana kwa kipindi cha mwezi 1 nilipata maumivu makali mno sijawahi kuexprience dah
Aisee jamaa alikuwa muuaji khaa...!!
 
Acha ushamba labda kama wewe ni mwanamke. Lakini kwa dume business as usual, wanazaliwa wazuri wenye tabia nzuri zaidi yake. Ni sawa na kwenda dukani kuchagua nguo, amka acha uzwazwaaaa
Nimeamkaa siku nyingi mzeee..siku hizi hata sishtukiii....
 
Back
Top Bottom