Utajikuta unawapanga ambao hawajali kama unawapanga au la. Mwisho wa siku hasara au faida ni yako.Haa ha...Aisee ni kuwapangaa tu mkuu
Miezi mnne umelala nae mara4!!!!????be serious men!,Mimi demu miezi mitatu tu ashagongwa Mara 30,unatuabisha team kiumeni mkuuNilikuwa na uhusiano na dada fulan huyu alikuwa kama model mzur sana na mwembamba
Nikampima ngoma nikawa najimegeaa peku sasa tukawa tumeshibana sana kama hela nikawa nampa sana tumekaa kwenye mahusiano kama miez 4 ,,baadae huyu dada akawa anasubir mpaka mimi nimtafute baadae nikamuambia kuwa huru kwangu nipe majibu mm nakuona kama sikuelewi kama wataka kuniacha naomba uniambiee akasema hapana sms nakuwa sina nikamuambia sio uniandikie tafadhari nipgie akasema mm siwez kuandika nakuwa najiona najishushiaa nikasema poa
Usiku saa sita akanitumiaa sms kwamba " JOHN PLZ NAOMBA UNIACHE YAAN TUACHANE MIMI NA WEWE PLIZ NAOMBA ASANTE KWA KUNIELEWA"
NAMI NIKAMJIBU "NASHUKURU NIMEKUELEWA BORA UMEKUWA MUWAZI NAKUTAKIA MAISHA MEMA"
Sikulizika nikampgiaa simu lakin hakupokeaa kabisa baadae akanitumia sms '' SAMAHANI SIWEZ KUONGEA MUDA HUUNITAKUTAFUTA KESHO" hata siku mjibu ,,badae nikamtumiaa sms KUACHANA SIO UGOMVI NASHUKURU UMENIAMBIAA NAM NIMEKUBALI MATOKEO SINA KINYONGO NA WEWE WALA SIWEZ KUKUCHUKIA KAMA TUKIONANA NITAKUWA NAKUPA SALAMU KAMA KAWAIDA NA ISIWE UGOMVI BAINA YETU
siku moja nipo stand nikamuona hapo ni siku nne mbele baada ya kusema tuachane nikampgia simu nikamuambiaa nakuona na nikaenda kumpa hie tukawa twaongea na twataniana kama dada naona umeamua kuniacha naye kiutani anasema kaka ,,bas akaniambiaa nina njaa nikamuambia wataka kula nn akasema hata chipsi nikamnunulia akaenda kulia kwenye gar nikamuambia sababu ni nini akasema ni maisha sababu ,sikutaka kumdadis zaid akaondoka alipofika kwao akaniambiaa nimefikaa
Huyu nimelala naye mara nne ,,lakin kitandani hayupo vzur kivilee
Solution
Najua kama yupo na mtu mwingne ila mm nakuwa naye ni rafk wa kawaida kwan mpaka sasa hatutafutani .nam muda huu nimefuta namba yake kwan kichwani nimeishika nataka hadi anitafute yy maana nikiwa nimesave naweza kushawishika kumpgia naye atajionaa ,na namsikilizia mahusiano yake mengne atafikia wap na huyo mtu na yeye atapma kwenye mizani nan ni muhmu kwake kama akizinguana na huyo mtu wake
Ooopss! Pole sana, sikujua kama utaumia coz nilikua nahisi huna hisia nami. Anyway kwakua leo tumekutana tena, turejeshe furaha yetu kama awali mamaa.Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena



Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
Asante my dear...Pole sana. I can feel your pain. Ila nafasi bado ipo. Piga moyo konde. Utampata wa kukufaa
Hakukua na sababu mkuu. Nilichogundua alirudiana na ex wakeAlikupiga fix hizo sio sababu halisi.
Wewe foleni tatizonjoo kwangu cheupe nikupe tulizo la moyo.
Hapana mkuu, atakua anajiona amekuweza na atakua anatangaza hvyo kwa watuSi anakua amekurahisishia kazi?
Aisee Huyo mwanamke alikuwa muuaji...!!Daaah nikikuwa katika wakati mgumu sanaaa, kwasababu nilimpenda na kumvumilia hadi pale alipokuwa ananifanyia vituko, aliponiacha nilikosa hata hamu ya kula kwa siku saba, njaa inaniuma lkn chakula hakipiti, nilikuwa nakula ili tu niweze kuishi. Lakini baada ya mwaka na nusu kupita akawa keshazalishwa na akawa anahitaji turudianeee. Daaha kuna wanawake wanaroho ngumu kwakeli sijui alikuwa anapata wapi ujasiri wa kuniambia turudiane
Daah kweli uliumia Sana Dada angu mpaka kwenye ndoa bado Hujalii kabisaa...!! Aisee lilikuwa pigo zitooNiliumia sana,nililia na kulia nilichanganyikiwa wiki nzima nilikuwa naona kama dunia imenizunguka,tokea hapo sijawahi kupenda tena,baade niliolewa na mwanaume ili kutimiza wajibu,niko kwenye ndoa ni miaka 16 sasa,siumii kw a chochote alale nje,Sawa arudi ucku wa manane sawa,acheat atakavyo Niko sawa ila huwa namuonea huruma sana mime wangu kwani ananipenda kupita kawaida.ndoa yangu ni ya amani kwa sababu simfuatilii na kwa sababu sina upendo wa dhati
Kwako nyege08Niliumia sana,nililia na kulia nilichanganyikiwa wiki nzima nilikuwa naona kama dunia imenizunguka,tokea hapo sijawahi kupenda tena,baade niliolewa na mwanaume ili kutimiza wajibu,niko kwenye ndoa ni miaka 16 sasa,siumii kw a chochote alale nje,Sawa arudi ucku wa manane sawa,acheat atakavyo Niko sawa ila huwa namuonea huruma sana mime wangu kwani ananipenda kupita kawaida.ndoa yangu ni ya amani kwa sababu simfuatilii na kwa sababu sina upendo wa dhati
Alitaka tu kula mzigo kisela tena teh teh teh. Ulimpa?Hakukua na sababu mkuu. Nilichogundua alirudiana na ex wake
HahahaaaAisee ilee siku napokea msg toka kwa shemeji yenu tuachane baada ya kusumbuana kwa muda mrefu sana nilionaa kama gizaa hivii afuu nikataka kudondokaa ikabdi nikaee kitandanii kwanzaa yale maumivu Mungu ndo anajua.
Ulikuwa na hali gani siku umeachana na mpenzi wako?
Hutafurahia kwa sababu sina upendo wa dhati kwa sasa nelly1:Kwako nyege08
Nakuomba uwe mchepuko wangu. Coz naona kuna vitu tunafanana. Hope maombi yangu yatakubaliw
a.
Natanguliza shukrani za dhati
Duuh kushare kununua vitu mkiachana vinaacha memory...sema ungekomaa tuuSikumbuki vizuri ila ninachokumbuka niliuza kila kitu ambacho tulishawahi kukishare nilianza nakitanda nikafata simu na lain zote Then pale nilipokua nimepanga nikahama ko ivo nilianza upya kabisa