sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Tulikuwa ndio tumeanza masomo baada ya A level. Akanìita pale baa fulani oposite na m.city ukiwa kama unaenda survey. Sasa nilijiandaa vema nkajua babe now amekuwa. Paka kunitoa dinner. Kufika pale alikuwa na marafiki zake wawili. Nlipofika aliwambia rafik zake wakae pembeni watuache....
Alichoniitia ni kwamba anaomba likizo ya miaka 4 paka amalize course yake. Hapo hapo akaniambia ameokoka. Mwili ulikufa ganzi nilijua ni utani but alikuwa sirias. Nkajikaza kumtishia kumwambia chagua moja kuwa namimi au tuachane.
Akasema yeye anataka likizo tuu. Mimi nikamwmabia tuachane. Tulizungumza paka saa saba. Nilikonda gafla. Sikuwahi kusikia maumivu ya moyo kama ile siku.
Nirirud hostel sikulala sikuamini. Niliumia saana kula ilikuwa shida. Nliona hamna haja tena ya kusoma. Hamna haja ya kupenda. Wala dunia hamna mapenzi ya kweli. Nilianza paka kuchukia dini hizi.
Time heals
Lakini Mungu ni mwema. Mlango mmoja unafungwa mwingine unafunguka.... badaa ya wote kumaliza elimu alikuja kuniambia ni utoto tuu ulikuwa na peer pressure.
Anatamani tuwe kama ilivyokuwa.
But there is no room for that.
Alichoniitia ni kwamba anaomba likizo ya miaka 4 paka amalize course yake. Hapo hapo akaniambia ameokoka. Mwili ulikufa ganzi nilijua ni utani but alikuwa sirias. Nkajikaza kumtishia kumwambia chagua moja kuwa namimi au tuachane.
Akasema yeye anataka likizo tuu. Mimi nikamwmabia tuachane. Tulizungumza paka saa saba. Nilikonda gafla. Sikuwahi kusikia maumivu ya moyo kama ile siku.
Nirirud hostel sikulala sikuamini. Niliumia saana kula ilikuwa shida. Nliona hamna haja tena ya kusoma. Hamna haja ya kupenda. Wala dunia hamna mapenzi ya kweli. Nilianza paka kuchukia dini hizi.
Time heals
Lakini Mungu ni mwema. Mlango mmoja unafungwa mwingine unafunguka.... badaa ya wote kumaliza elimu alikuja kuniambia ni utoto tuu ulikuwa na peer pressure.
Anatamani tuwe kama ilivyokuwa.
But there is no room for that.