Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,315
- 8,747
akitaka kurudi upo tayari?Nimesharudi mkuu. Sasa hivi niko free
akitaka kurudi upo tayari?Nimesharudi mkuu. Sasa hivi niko free
Alirudi akarudi nikamwambia siwezi tena kila MTU aishi kwa amani ya bwana. Hata yeye anajua nafasi yake haipo tenaakitaka kurudi upo tayari?
Hahahaa.. umenikumbusha mbali sana!Alirudi akarudi nikamwambia siwezi tena kila MTU aishi kwa amani ya bwana. Hata yeye anajua nafasi yake haipo tena
Niseme pole kabla sijajua umekumbuka wapi.. HahahahaaHahahaa.. umenikumbusha mbali sana!
Hahahaa Hapana kuna binti kipindi cha Nyuma alitaka kuruka sarakasi.. kwa Biti na userious wa hali ya Juu nikamwambia Ukiondoka its your Loss nit mine.. and never turn your ass back.. Hahahaa Mpaka na leo!Niseme pole kabla sijajua umekumbuka wapi.. Hahahahaa
Niliomba kukutana nae siku hyo baada ya conflicts kibao, anafika sehem ya tukio bila simu, yani kaiacha kwa rafik ake... nikaona hapa tayar kashanogewa na jama wa kando kiasi hata texts zao hataki kuzifuta tena kwny simu so akawa anaiprevent mm nisiione
Nlichofanya kwasabab nlmpenda sana na alkua ananiuma kumuacha.. nkamtia mkofi mmoja akalia kama mbuzi... then nikaepa mbele ya safar nikamtumia msg “guess who won Oscars? Me... kesho yake nimeblockiwa kila mahali nikaona frsh tu.. ila madem wapende hata ulie siku anakubwaga tu







Mkuu marehemu anaweza kutuma ujumbe?Duuh, pole sana! Ujumbe huo alituma muhusika au? Vipi kifo chake kilitokea mkiwa mpo katika mahusiano ?
Unafikiri kujifunza kupenda ni rahisi namna hiyo!!!Duh pole sana mamii, hakuwa wa kwako huyo! Ila jifunze kupenda tena ili uinjoy mapenz mengine yajayo yatafurahisha!
Ni rahisi kupenda kama utafahamu kwa pamoja vinahitajika jua na mvua ili ua listawi. Ukiwa na akili za kuwaza mvua pekeyake hutaweza kupenda!Unafikiri kujifunza kupenda ni rahisi namna hiyo!!!
Sikuwahi achwa, nilikua mzee wa round 3-4 napotezea siku game liliponibadirikia sasa!!... Hadi leo namuheshimu yule mwanamke!.heheee",... hiyo hali haijawahi nifika',when nilipoachana na. manzi niliyempenda" huwa nina katabia Fulani hivi" nikiona mwenzangu" ameanza kuwa navijitabia fulani hivi vya usaliti basi taa nyekundu huwa inaniwaka kichwani.
Ulikiona cha Mtema kuni ....ha hahaaSikuwahi achwa, nilikua mzee wa round 3-4 napotezea siku game liliponibadirikia sasa!!... Hadi leo namuheshimu yule mwanamke!.
acha tu!..Ulikiona cha Mtema kuni ....ha hahaa
Nilipokea ujumbe "F is no more". Kwanza nilihisi ujumbe umeandikwa kichina maana nilikuawa nasoma ila sielewi, nilishindwa kulia nikabaki nimezubaa tu. Nilijua anaumwa ila nilitegemea angepona hivyo kifo chake kiliniuma hadi kwenye mifupa. Hivyo ndivyo nilivyoachwa na mwanaume pekee nilowahi kumpenda sanaaaaaa.
Kuanzia hapo sijawahi kupenda tena hivyo ukiniacha unajisumbua tu na sijui kama nimewahi kuachwa au naacha hata suelewi.


