zai katoto
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 325
- 227
jaman iendelee
Mbona jumatano mbali jamaniNimeanza nini tena mama, jumatano si bado au?
Heee adi inatia uvivu kuisoma ilivo ndefu
Utamu anautaka ila anaona kama anachelewa
Jamaa yangu umeshaamka leo
huyu kijogoo Bitungu hajapokea makofi kwa hawa kina Mama Julie na mwanae
mchana mwema
Mkuu Daudi1 vipi aisee....
Unapeendaaaa usije ukaiga ya bitu