Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
japo kila mtu ana haki ya kuamua nini avae siku hizi,lakin wanaume wanaovaa suruali za kubana sana inasikitisha,utakuta mtu anatembea na mchumba wake/mke wake,ukiwaona kwa nyuma uwezi jua nani bibi/bwana,binafsi siwezi ongozana na kijana mwenzangu wa kiume aliovaa suruali ua kubana sana,
sijui nyie wengine mnaonaje?
sijui nyie wengine mnaonaje?