Baadhi ya maneno kwenye wimbo wa salamu zako mjomba..
Umetupima viatu mwaka huu, baada ya miaka 5 utatuuliza, mlikuwa mnataka viatu gani?
Ukienda msibani, mfiwa utamjua, atakuwa amevaa tofauti na ni mwenye huzuni, ni wewe mwenye huzuni msiba wetu kuubeba.
Vibwaya msiviweke ghalani, iko siku mtavikumbuka ili tuvae na tucheze ngoma yetu iitwayo ya kishenzi.
Mtembea peku hapendi, ila hana viatu.
Jaribu kukaa na kula na watoto wa majalalani, kuliko kukaa kwenye jukwaa na kusema "this country" bwana "is very poor"
Rushwa ni wimbo uliozoeleka kwenye masikio yetu, tuondolee wimbo huu ili tuwe na furaha.
Gima lililosahaulika ni sawa na gogo, katika magogo yote la mvule si la mninga.
Kiumbe mwenye uhai huongozwa na tamaa. Majanga yanapozidi mioyo ya watu huota kutu.
n.k.
Je Mjomba anayepewa salamu hizi ni JK ?
Sikiliza: http://www.box.net/shared/a5kscro5ic
Umetupima viatu mwaka huu, baada ya miaka 5 utatuuliza, mlikuwa mnataka viatu gani?
Ukienda msibani, mfiwa utamjua, atakuwa amevaa tofauti na ni mwenye huzuni, ni wewe mwenye huzuni msiba wetu kuubeba.
Vibwaya msiviweke ghalani, iko siku mtavikumbuka ili tuvae na tucheze ngoma yetu iitwayo ya kishenzi.
Mtembea peku hapendi, ila hana viatu.
Jaribu kukaa na kula na watoto wa majalalani, kuliko kukaa kwenye jukwaa na kusema "this country" bwana "is very poor"
Rushwa ni wimbo uliozoeleka kwenye masikio yetu, tuondolee wimbo huu ili tuwe na furaha.
Gima lililosahaulika ni sawa na gogo, katika magogo yote la mvule si la mninga.
Kiumbe mwenye uhai huongozwa na tamaa. Majanga yanapozidi mioyo ya watu huota kutu.
n.k.
Je Mjomba anayepewa salamu hizi ni JK ?
Sikiliza: http://www.box.net/shared/a5kscro5ic