Sikieni hoja za wazanzibar

Sikieni hoja za wazanzibar

Ukipata majibu haya wala huwezi hangaika.
Zanzibar ni Tanzania?

Tanzania ni muungano wa nchi mbili?

IMO inatambua znz au Tz?

Ukisajili meli ikaenda kufanya bishara haramu anawajibishwa mwenye meli, aliyeisajili au wote?

Je hatusikii kelele za waznz wa kizipaza hawautaki muungano wanalazimishiwa?

Wote situnajua kuwa matendo hukidhi haja kuliko maneno?

Sasa mlitegemea waznz wafanye je? zaidi ya kuwaonyesha kwa vitendo kuwa hawataki muungano.
 
Mkuu Nguruvi3
Kuna watu ndani ya SMZ wanajua undani wa tatizo hili na sishangazwi kuona waziri mhusika kutoka SMZ anakuja na majibu mepesi kama aliyoyatoa; tatizo hapa sio faini tatizo ni kuharibiwa kwa jina la Tanzania kwenye medani za kimataifa; $500, 000 sio kitu kabisa; huu muungano hauna faida hawa watu hawana shukrani kama unakumbuka walipopata hisia kuwa Zanzaibar kuna mafuta waziri mhusika siku ya pili yake aliweka wazi mafuta sio suala la muungano; hivi sasa wamenyamaza kimya kwasababu hawana uhakika na mafuta yenyewe ila wana uhakika kuna gesi Mtwara na mikoa ya kusini wanasubiri wale pesa ya gesi kama walivyokula ya almasi ya mwadui; pamba ya Shinyanga; Katani ya Tanga hawa sio wenzetu choyo kimewatala!
 
Last edited by a moderator:
Na wanzibar wanaona jambo moja tu!!!! Misaada, wanaamini baada ya muungano watapata misaada kwa jina la ZNZ. Mengine yote hawayaoni.

Kwa hiyo ndugu, mimi naona tunachelewa tu, Tunataka Tanganyika yetu. Ili muweze kupata misaada yenu ya FIFA, na misaada mingine mingi tu itakayowasaidia kuishi kwa raha mustarehe. Sisi tunataka Tanganyika yetu ili tufanye kazi kwa bidii na tule jasho letu wenyewe.

Kama mimi ningekuwa mkulu, you would get your beautiful Tanganyika now! Right now!
Tatizo sio zanzibar, tatizo ni muungano huu tulio nao ambao upo mparaganyiko haujulikani kichwa wala mguu, kwa mfano zile sector ambazo haziko katika orodha za muungano, zinashindwa kujiendesha kimataifa kutokana na muungano wenyewe, mfano suala la michezo, sio suala la muungano, Watanganyika wakachukua timu ya Tanganyika na kuitambulisha kama tanzania, ZFA imeshindw akupata usajili FIFA kutokana TFF tayari inawalihsa tanzania, Yaani Jamuhuri ya muungano wa tanzania, pale kunapotea misaada katika suala la micheza kutoka kimataifa zanzibar haipati chochote kutoka TFF.
 
Mkuu Nguruvi3
Kuna watu ndani ya SMZ wanajua undani wa tatizo hili na sishangazwi kuona waziri mhusika kutoka SMZ anakuja na majibu mepesi kama aliyoyatoa; tatizo hapa sio faini tatizo ni kuharibiwa kwa jina la Tanzania kwenye medani za kimataifa; $500, 000 sio kitu kabisa; huu muungano hauna faida hawa watu hawana shukrani kama unakumbuka walipopata hisia kuwa Zanzaibar kuna mafuta waziri mhusika siku ya pili yake aliweka wazi mafuta sio suala la muungano; hivi sasa wamenyamaza kimya kwasababu hawana uhakika na mafuta yenyewe ila wana uhakika kuna gesi Mtwara na mikoa ya kusini wanasubiri wale pesa ya gesi kama walivyokula ya almasi ya mwadui; pamba ya Shinyanga; Katani ya Tanga hawa sio wenzetu choyo kimewatala!
Kuhusu jina sijui tutafute 'jiki' maana itachukua muda sana kutakat, limechafuka sana. Tani 30 za bilioni 125 zitamshtua kila mtu na hapo JMT itaingia tu.

Umeendeleza mjadala zaidi maana suala la ZMA liliondolewa wakijua wazi kuwa ada hawalipi wao.
Ni mbinu hizo ndizo ziliwashawishi waondoe mafuta, leo hatusikii mafuta tena bali wanasubiri gesi ya bomba kama umeme.

Baraza la mitihani wameondoa katika mambo ya JMT, lakini wanataka nafasi za upendeleo (zitengwe) kwa watoto wao.

Sijui kuna uwiano gani kiasi cha kuamini kuwa NECTA na baraza lao wantahini sawa sawa? Kuna uwezekano wakatoa A ambazo ni sawa na D lakini kwavile wana nafasi maalum who cares.

Nadhani upo umuhimu wa kuandaa mitihani ili kujiridhisha kama wana viwango na utaratibu wa nafasi maalum sasa basi. Wana Chuo kikuu, kingine wamejengewa na JMT kupitia chuo cha kivukoni na baraza lao la mitihani. Hakuna sababu ya kugombania nafasi na Watanganyika, ikibidi na watahaniwe.



 
Wewe unataka nini hela ni ya waznz na wataendelea kutumia jina la tz mpaka mtakapo waachia nchi yao munaogopa mendeleo ya znz kwanini na tanganyika yenu wezi watupu
Tunawatakia heri sana katika maendeleo. Kama wangetumia bendera ya znz kungalikuwa na tatizo gani? Kama wangelipa ada zao IMO kungalikuwa na tatizo gani? Leo SMZ si ingesafirisha tani za bangi bila hofu na kwa mamlaka kamili!!

Kinachotuudhi na kutukera ni madhara yanayotokana na uchafu wa Zanzibar. Meli za Iran jumuiya ya kimataifa ilishaanza kutunyooshea vidole. Vikwazo vingekuwa zigo la Mtanganyika na wala si maendeleo ya mzanzibar.

Leo dunia nzima inajua JMT inauza bangi, kumbe ni bangi la SMZ kwa maendeleo ya ZNZ.
Ndio maana tunasema mlitaka wimbo wa taifa na bendera, sasa kama hamzirtumii katika shughuli zenu kama hizi za meli mnazitumia wapi?

FYI, Kamati ya mzee Moyo inataka hata passpoert za znz ziwe na jina Tanzania. BAKAZA ya profesa Sheriff inataka makao makuu ya JMT yawe ZNZ.
Maalim na kamati yake wanataka muungano wa mkataba.

Sasa unaposema tuachie znz kwanini nani kaishikilia? Hata mlipoanzisha ZMA ambayo hamlipi ada nani aliwazuia. Mkaanzisha vikosi vya ulinzi nani amewazuia. Baraza la mitihani nani kawazuia?

Lakini mpango wa kujibanza kama suala la ulinzi na usalama hilo litawazuia. Huwezi kulala kwa mamlaka kamili hali ya kuwa ulinzi wako unatoka kwa Jirani. Tanganyika ipo njiani na hilo halitatokea.
 
Huu muungano nisivyoupenda natamani leo kabla ya kesho uvunjike,ewe mungu nipe uhai nije kuona mwisho wake huu muungano feki
 
Kodi gani hapa ya mtanganyika ulioitaja inayohudumia smz katika suala hili la kuundwa kwa mamlaka haya Zanzibar? Pili jee hakuna athari kwa wazanzibari ambao inawalazimu kutumia jina la Tanzania katika kusafiri huku kukiwa na maelfu ya watanzania wanaojihusisha na biashara haramu ya unga? hivi kwa nini Tanganyika isitumie bendera yake yenyewe badala ya kutumia ya Tanzania ambayo si mali yao pekee? usiishie hapo tu jiulize kwa nini hata pia muendelee kulitumia jina la Tanzania ambalo kama ikiwa Zanzibar haliwahusu na pia nyinyi nao haliwahusu na kuanzisha mamlaka yenu ya bandari nk kwa jina la Tanganyika ili kuondoka na haya matatizo ya wazanzibari? usijitie akili nyingi ukajaribu kuondosha ukweli, ikiwa Zanzibar haiwezi kutumia jina la Tanzania ni sawa na nyinyi pia, ikiwa bughdha kwa nini musirejeshe jina na mamlaka ya Tanganyika, jina la asili na mali yenu pekee mukaona kama kuna mzanzibari ataketumia identity za utaifa wenu. Chuki kwa wazanzibari zitakutoa roho, jiulize katika hayo majina yaliotajwa na magazeti wazanzibari ni wangapi? katika listi za watu waliokamatwa na biashara ya unga wazanzibari ni wanagapi hata uje na kisingizio kibovu cha kuunganisha unga na Zanzibar. IKIWA ZANZIBAR HAINA HAKI YA KUTUMIA IDENITY TULIOKUBALIANA YA TANZANIA NA NYINYI NI HIVYO HIVYO HAMUNA HAKI YA KUJINASIBISHA AU KUJIMILIKISHA KISICHO CHENU. KWA NINI MUSIREJESHE TANGANYIKA HALAFU MUKAONA KAMA KUNA MELI ILIOSAJILIWA NA AGENT POPOTE DUNIANI KWA NIABA YA ZANZIBAR KWA UMBRELA YA TANGANYIKA. Mengi tu yanayofanyika bara yanatuathiri Zanzibar na ndio maana tunataka mabadiliko ya kila mmoja kujiamulia yake mwenyewe, bahati mbaya ni muungano wenu na CCM uliosababisha haya munayoyaona kashfa.
 
Mkuu Nguruvi3
Kuna watu ndani ya SMZ wanajua undani wa tatizo hili na sishangazwi kuona waziri mhusika kutoka SMZ anakuja na majibu mepesi kama aliyoyatoa; tatizo hapa sio faini tatizo ni kuharibiwa kwa jina la Tanzania kwenye medani za kimataifa; $500, 000 sio kitu kabisa; huu muungano hauna faida hawa watu hawana shukrani kama unakumbuka walipopata hisia kuwa Zanzaibar kuna mafuta waziri mhusika siku ya pili yake aliweka wazi mafuta sio suala la muungano; hivi sasa wamenyamaza kimya kwasababu hawana uhakika na mafuta yenyewe ila wana uhakika kuna gesi Mtwara na mikoa ya kusini wanasubiri wale pesa ya gesi kama walivyokula ya almasi ya mwadui; pamba ya Shinyanga; Katani ya Tanga hawa sio wenzetu choyo kimewatala!

kwa mara ya kwanza leo tuko pamoja lakini kwani ccm mna wangangania hawa znz haya yatakoma tukishakuwa na tanganyika yetu..
 
Last edited by a moderator:
Kauli ya Waziri wa Mawasiliano na Miundo mbinu wa SMZ, Rashid Seif Suleiman ya kuvilaumu vyombo vya habari vya Tanzania BARA ilinishangaza sana.

Ni kweli kabisa kuna kitu viongozi wetu waasisi wa 'muungano' walikiona kama kilikuwa ni cha muhimu sana kuziunganisha nchi zetu, lakini vile vile makosa ya kutokuelimishwa na kutoshirikishwa kwa wananchi wengi katika kufikia uamuzi huo ndiyo yamechangia kwa kiasi kikubwa kuwa chanzo cha mitikisiko na utegemezi katika 'muungano'.

Imedhihirika kuwa viongozi wakuu waliokuja baada ya marehemu Sheikh Abeid Amani Karume na pia Wazanzibari wengi hawakutaka kuendelea kuwepo muungano na kwa sababu hiyo ilibidi viongozi wetu wawabembeleze kihoja na ilipobidi pia yalitumika mabavu ili waendelee kuwepo mwenye 'muungano' . Hii ilipelekea wananchi wengi wa Zanzibar na pia wachache wa bara kuamini kama viongozi wakuu wa bara walikuwa na ajenda fulani za siri ambazo kuzitimiza ilibidi tuwaombe na kuwashinikiza Wazinzibari waendelee kuwepo kwenye 'Muungano'.

Fikra na mitazamo hii imekuja kujisimika zaidi pale badhi ya viongozi wakuu wa Zanzibar walipotiwa misukosuko pale walipohoji uwepo wa muungano na manufaa yake.

Kwa sasa wanafanya kila wanachotaka bila kujari mshikamano, sheria na taratibu za nchi wakidhani kuwa Tanganyika inawahitaji sana zaidi ya wao kuihitaji Tanganyika.

Hata kujitoa kwao katika sheria za Jamhuri ya muungano zinazohusu usafiri wa majini za mwaka 2003 na kuunda sheria zao za bahari na usafiri na kuwa chini ya Zanzibar Maritime authority((ZMA) mwaka 2006 ilikuwa ni katika mwendelezo wa fikra hizo.

Waswahili wanasema, mdharau mwiba mguu huota tende!.

Tumezidharau na wakati mwingine kuzipuuzua chokochoko za 'muungano' kwa muda mrefu huku tukiwadekeza Wazinzibari kwa kuwapa kila kile wanalichokuwa wanakitaka na matokeo yake kwa sasa tunayaona. Kwa sasa imekuwa chao ni chao lakini chetu pia ni chao na wakati mwingine wanataka wakichukue chote.

Tulianza muungano vibaya na inavyoonekana pia tutaachana nao vibaya, na kwa maana hii, dawa ya muungano kwa sasa siyo serikali tatu kama baadhi ya watu wanavyodhani, bali ni kuachana kabisa na muungano ili pande zote zipate ukweli halisia kama kuna umuhimu katika muungano. Hatutakuwa wa kwanza wala wa mwisho katika kuvunja muungano kwa sababu kuna nchi zimevunja muungano na zikapiga hatua zaidi za kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Hata katika ndoa, watu wanapokinzana sana, huwa wanafikia maamuzi ya kuachana ili kujipima na kuona umuhimu wa wao wakiwa pamoja au wakiwa single (space) na wakipatwa na reality, wengi wao hurudiana tena.
Well said mkuu. Nianze na ulipomalizia, wengi hapa jamvini tumeshatoa ushauri wa namna Zanzibar wanavyoweza kuwa na mamlaka kamili. Wazanzibar wamekataa na kufuata njia zile zile wanazolaumu.

Njia ya pili ni kura ya maoni, lakini nayo kwa kujua inaweza kuzaa wasichokitaka hawaitilii mkazo.
Mkazo upo katika masilhai yao kwa lugha yao ni muungano wa mkataba. Tanganyika haihitaji mkataba na Zanzibar!
wa nini?Kwakuelewa wanaihitaji Tanganyika sasa wanakuja na mlango wa mkataba.

Ushahidi kutotaka kuvunja muungano umetolewa na vinara wa wao akina Jusa na Moyo. Kwamba, kuwepo na passport ya Tanzania-Tanganyika, Tanzania-Zanzibar baada ya kuona rasimu na ujio wa Tanganyika.

Rasimu imeondoa utegemezi kama ajira na ardhi n.k huku ikiweka wazi sheria ya pande moja itatumika pande nyingine kama kibano cha ubaguzi wao.

Haitawezekana kukaa na Tanganyika na kutoa masharti wanayotoa sasa. Ili kuweza kuendelea kunufaika na fursa zilizopo ndio wamekuja na kituko cha passport wakitaka mafao yao watumie neno Tanzania kama ambavyo wanalipiwa ada za ZMA wakati wanasafirisha bangi. Hili tumeling'amua na ni ushahidi wa wao kun ng'ang'ania muungano!

Maana ya kufanya mambo watakavyo ni kwasababu hakuna Tanganyika.Mathalan wanatumia umeme wa JMT bila malipo kwasababu nani awaulize, hata kama hawana mchango, si wana jina?
Wanasajili meli za bangi kwa ada za JMT nani awaulize hata kama wana bendera yao na wimbo wao wa taifa.

Tanganyika ikirudi hakutakuwa katika upuuzi wa kuendeshwa na watu milioni 1.2 tena lakini tano wakiwa wanaishi Tanganyika.

Kwa msingi huo akina Nape tuwaeleze wazi kuhusu wizi na hujuma dhidi ya taifa na kwamba sasa tunataka Tanganyika. Kama hilo halitafanyika kwa amani ninatabiri hali mbaya sana siku za mbeleni hasa kwa wazanzibar kwasababu Mtanganyika hatavumilia tena kodi yake itumike kusafirisha bangi za nchi nyingine.

Na hii ni wake up call kuwa lazima sasa tuamue, tumejitahidi lakini haiwezekani.
Inapofikia wanataka makao makuu ya JMT yahamie kwa watu laki tano bila kujali sababu za kijiografia, uchumi na siasa hapo hakuna la ziada bali kuachana nao. Hatujui wanadai nini hasa ! hatuwezi kuishi namna hiyo, tuvunje jahazi
 
Kuhusu jina sijui tutafute 'jiki' maana itachukua muda sana kutakat, limechafuka sana. Tani 30 za bilioni 125 zitamshtua kila mtu na hapo JMT itaingia tu.

Umeendeleza mjadala zaidi maana suala la ZMA liliondolewa wakijua wazi kuwa ada hawalipi wao.
Ni mbinu hizo ndizo ziliwashawishi waondoe mafuta, leo hatusikii mafuta tena bali wanasubiri gesi ya bomba kama umeme.

Baraza la mitihani wameondoa katika mambo ya JMT, lakini wanataka nafasi za upendeleo (zitengwe) kwa watoto wao.

Sijui kuna uwiano gani kiasi cha kuamini kuwa NECTA na baraza lao wantahini sawa sawa? Kuna uwezekano wakatoa A ambazo ni sawa na D lakini kwavile wana nafasi maalum who cares.

Nadhani upo umuhimu wa kuandaa mitihani ili kujiridhisha kama wana viwango na utaratibu wa nafasi maalum sasa basi. Wana Chuo kikuu, kingine wamejengewa na JMT kupitia chuo cha kivukoni na baraza lao la mitihani. Hakuna sababu ya kugombania nafasi na Watanganyika, ikibidi na watahaniwe.
Mkuu Nguruvi3, unakuwa kama hujui kupenda!, Mke ukimpenda, unamhudumia kama jukumu lako ikiwemo kumlisha, kumvisha, kumtunza na kumpendezesha, na sio hayo tuu, kwa sababu una mpenda, unampa kila anachokita, hata kama wewe hukipendi!, mfano anapenda ubuyu, utamletea hata kama wewe huupendi!.

Hiyo faini ya dola 500,000 ni hela tuu ya kununulia ubuyu na wanja na vipondozi, mwache mama aitie kwenye kijaluba chake! na endelea kumhudumia!.
Kuna watu humu hawajui kupenda!, mimi nakumbuka enzi zangu za ujana, wakati huo mishahara ilikipiwa dirishani, niliwahi kuhonga bahasha nzima za mshahara wote, ile nimetoka tuu dirishani, nikakabidhi bahasha yote vile vile ilivyo mpaka na coins zake, kwa ka binti fulani cheupe kalichokuwa ndio kwanza kameajiriwa!.

Leo mnalalamikia mke Zanzibar baada ya miaka 49 ya ndoa!, tena kipindi hiki tunapopanga kusheherekea Diamond Jubilee! April 26 mwakani!. Mke nitaendelea kumhudumia, kudumisha ndoa!.
Pasco.
 
Na wanzibar wanaona jambo moja tu!!!! Misaada, wanaamini baada ya muungano watapata misaada kwa jina la ZNZ. Mengine yote hawayaoni.

Kwa hiyo ndugu, mimi naona tunachelewa tu, Tunataka Tanganyika yetu. Ili muweze kupata misaada yenu ya FIFA, na misaada mingine mingi tu itakayowasaidia kuishi kwa raha mustarehe. Sisi tunataka Tanganyika yetu ili tufanye kazi kwa bidii na tule jasho letu wenyewe.

Kama mimi ningekuwa mkulu, you would get your beautiful Tanganyika now! Right now!
nzitunga ,katika kamati zote za znz zinazoshughulikia muungano kama ya maridhiano na BAKAZA, UAMSHO n.k. hakuna kamati hata moja iliyowahi kuweka mezani hesabu za kuendesha serikali iwe moja, mbi, tatu au mkataba.

Wao wamejizatiti si misaada tu bali kugawana vyeo. Leo kila mmoja znz anaangalia rais atachaguliwa vipi, hakuna anayeuliza atahudumiwa vipi.

Katika suala la katiba sijawahi narudia ni mwiko kumsikia mzanzibar akiongelea gharama. Hilo ni mwiko kwasababu gharama za kuendesha wanachokitaka kiwe ni zigo la Mtanganyika. Kwahiyo si misaada tu hata gharama hawajali wenzetu.

Si unaona meli ingharamiwa na JMT ikiwa na mzigo wa SMZ?
 
Last edited by a moderator:
Pasco, hayo ya ndoa ya 'kikristo' yanatosha kumcharua mkeo akakimbilia maporini. Bado ya nani mke nani mume. Huu muungano unachosha na sijui option ya nyumba ndogo itaingiaje hapo.
 
Last edited by a moderator:
Tumewaachia wakaanzisha ZMA, wakawa na bendera yao. Sasa kwanini wanasajili meli kwa jina la JMT na bendera yake ikiwa walikataa mwaka 2003 na kuanzisha mamlaka yao mwaka 2006? Hatuna shida na mambo yao lakini bangi zinapokamatwa kwa jina la Tanzania ni tatizo letu sio lao. Umeona hapo? Meli zikivusha mizigo ya Iran tunawekewa vikwazo sisi si zanzibar.

Gharama za uasajili wa meli ni zetu, mapato ni yao, umeona?

Hili ni tatizo letu tutake tusitake, lakini je ni sisi tumelisababisha?

Hayo ndio SNURA MOSHI anayaita MAJANGA;
Naam, Majanga kwa Mtanganyika.
Bazazi
 
Wadanganyika punguzeni umbulula,kwanza rejesheni tanganyika yenu ndipo mropokwe.
 
ivi tuulize tuu kosa ni la kusajili meli au ni la waliokamatwa na bangi? mbona TANGANYIKA magari yote yanafanya kazi ya ujambazi hawalaumiwi sumatra?Watanganyika punguzeni chuki kwa visiwa hivi, hususani vyombo vya habar ambavo vinapandikiza chuki kwenye jamii.
 
Wadanganyika punguzeni umbulula,kwanza rejesheni tanganyika yenu ndipo mropokwe.
Hoja yako ipo wapi kuhusiana na bandiko? Je, umeelewa maana halisi au kusudio la bandiko?

Waziri wa miundo mbinu wa Zanzibar amelaani vyombo bya habari vya Tanzania bara kuandika kuhusu tukio la bangi ya zanzibar (BAYAZA). Kila mtu mwenye fahamu alitegemea waziri atoke mbele na kulaani vikali tukio hilo lililochafua jina la nchi katika uso wa dunia. Si vyombo vya habari vya Tanzania.

Habari hizi zimeandikwa na magzeti makubwa ya Ulaya, Asia na Marekani. Vipi waziri asikemee vyombo hivyo akemee vyombo vya Tanzania bara?

Kama duku duku ni muungano au Tanganyika kama unavyosema, je mzigo wa bangi kwa bendera ya JMT ni jambo la kupuuzia kweli. Je, ni jambo la fedheha au la muungano! Kwanini wznz hamuoni tatizo linalowakabili Watanzania kwa biashara ya BAYAZA.

Zanzibar ina bendera, wimbo wa taifa na katiba yenye safu ya viongozi kamili. Hivi mnaiweka wapi znz endapo waziri wa miundo mbinu wa JMT atakuwa na kauli kuliko viongozi wa znz? Ndio mamlaka kamili hayo!

Kwanini Mtanganyika alipe gharama za IMO NA ZMA ijiendeshe kwa pesa za BAYAZA? Huoni tatizo hapo ndugu yangu.

Kuna nyakati kimya kinakuwa busara kuu kuliko kusema.
 
Mbona bara SUMATRA ambayo husajili meli haina kashfa kama hizi? Mie nashauri Sumatra ndio wafanye hizi kazi kwani niwaatalamu waliobobea tofauti na znz:shut-mouth:
 
Baadhi ya Wazanzibar wapo upande wa Malawi kwa mgogoro wa Ziwa, na wanasema Tanganyika ndio wachokozi. Smz ni adui wa Tanzania
 
acha upumbavu hivi pale mnapoipeleka jmt yako katika vita unafikiri wazanzibari tunakubalianb na hayo take the consequencies
asari wenyewe mnachingia mmoja,bado mnapiiiga kelele
 
Back
Top Bottom