Sikieni hoja za wazanzibar

Sikieni hoja za wazanzibar

Hii haiondoi ukweli kuhusu bangi iliyosafirishwa na SMZ kupitia ZMA na Philatex.
Tanganyika haisajili meli za ZNZ na wala haikujua kuna meli 400.
Tanganyika imekuwa inakamuliwa tu kulipia IMO kwa mzigo wa biashara wa bangi kutoka znz

Wewe na Takashi pamoja na waziri wenu hamna tofauti katika hoja zenu. Mnadhani bangi ikikantwa Dar basi linaiondoa znz katika kashfa hii!! hii ni kashfa ya kimataifa si ya mtaa.

Kitu cha muhimu sana ni ninyi kukumbuka kuwa znz inataka kushiriki OIC ambayo ni shirika la kiislam.
Je usafirishaji wa bangi unaipa nafasi gani katika hilo.
Pili, je hakuna unafiki kwa kusema asilimia 98 ya wananchi ni waislam huku kukiwa na biashara ya bangi? Hapo mnaitendea dini haki kweli. Niambieni taifa la kiislam linalojishughulisha na usambazaji wa bangi duniani, nitajieni taifa moja tu!

cc takashi GHIBUU Nonda

Subiri kidogo , usije kushangaa ukisikia kama ule mzigo wa wa bangi ni wa "vigogo" kwahiyo mambo yataendelea kimya kimya...Vigogo wamegundua kama biashara haramu ndio zinawaletea hela za haraka na kujiimarisha katika siasa. Hiyo ndiyo Tanganyika aka "Tanzania".
 
Mgao wa madeni ukoje?Ukijibu hili nitaendelea. Kama huongelei madeni ka kimya.


Barubaru
1. Umeme wa bure
2. Mihshara kutoka hazina
3. Wanafunzi 1000 kusomeshwa bure bila kurudisha hata senti tano
4. Umiliki wa ardhi usio na masharti
5. Ada za IMO bure
6. Ajira za upndeleo hata kama hakuna qualifications
7. Ulinzi na usalama bure
8. Pesa ziszo na audit bure
9. Huduma za viongozi wa SMZ kama usafiri bure(muulize mzee wa mkataba anatumia kubebea mkaa)
10. Mnapata 7% ya pato la taifa
11. Mnapata 4.5 % ya misaada
12. Wabunge wenu wanaokuja kujadili mambo ya Tanganyika wanalipwa na Tanganyika
13. wajumbe wa BLW wanoingia bungeni Dodoma buree
14. Wajumbe wa bodi mbal mbali kutoka znz buree
15. Tume ya warioba buree

Ongelea mgao sawa wa madeni na misaada kwa kuangalia hayo hapo juu kwanza halafu ujue gharama za madeni pia.

Huko nyuma umesema znz haiwezi kuchangia sawa ulinzi na usalama kwasababu ina watu 1.5
a) kwanini idadi sawa ya wajumbe ndani ya tume ya Warioba
b)Kwanini idai idadi sawa ya wajumbe wa bunge la katiba
c) Kwanini mbunge wa znz anyewakilisha watu 5,000 apewe hadhi sawa na mbunge wa Ubungo mwenye watu zaidi ya nchi nzima ya znz?
d) Kwanini utake mgao sawa wa misaada huku ukikimbia gharama za ulinzi na usalama kwa kigezo cha population
e) Kwanini utake mgao sawa huku ukikimbia gharama za kusomesha watoto wako.
f)kwanini utake urais wa kupokezana huku rais kutoka znz ataleta sura na si uchumi!
g)Kwanini utake mgawanyo wa madaraka sawa huku znz ikichangia sifuri na kuchukua zaidi kutoka shamba la bibi.

FYI, znz ilishindwa kununua kifaa cha umeme c fumbuni kwa gharama ya bilioni 5 hadi Nahodha alipokuja kuomba hazina kwa kulia lia. Leo unataka kusema kila kitu usawa, usawa gani usioweza kulipia kifaa cha umeme fumbuni achilia mbali kumulika usiku kucha kwa umeme usiojua gharama zake.

Nimekuambia ulinzi na usalama ni 1.5 Trilioni. Bajeti ya znz 2013 ni bilioni 700. Tukiweka usawa wa misaada wewe utachangia nini, wakati umeshakua 7% na 4.5% na bado hujafikia nusu. Lini znz iliwahi kujua gharama za ulinzi na usalama

Kumbuka katika 1.2 milioni ya wznz, laki 5 wanaishi Tanganyika, kupata huduma za afya Tanganyika ikiwa ni pamoja na elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu tena bureee bila kurudisha mkopo.

Kwa maneno mengine znz huwa na watu laki 5 halafu unataka ulete usawa upi? na kata ya mzimuni au!
Hakuna usawa mbunge akiwaklisha watu 2500 na mbunge mwenye nchi nzima ya ZNZ. Ilala ni zaidi na znz yote kwa kila kitu na ina mbunge mmoja

Una PhD, sasa mvuvi wa samaki ikoje ndugu yangu.

Wazanzibari wanataka mamlaka kamili kuondoa hii longo longo ya uwongo na kweli. Sasa kama kurudisha Tanganyika yenu, hamutaki na mna ng'ang'ania muungano uendelee kama uliyo huu ndio unafiki,wizi wa mchana.

Pamoja na kua wewe ni muabudu Nyerere maarufu hapa, hebu be fair at least once... Nini kinakwamisha kurudisha Tanganyika?
 
Mgao wa madeni ukoje?Ukijibu hili nitaendelea. Kama huongelei madeni ka kimya.


Barubaru
1. Umeme wa bure
2. Mihshara kutoka hazina
3. Wanafunzi 1000 kusomeshwa bure bila kurudisha hata senti tano
4. Umiliki wa ardhi usio na masharti
5. Ada za IMO bure
6. Ajira za upndeleo hata kama hakuna qualifications
7. Ulinzi na usalama bure
8. Pesa ziszo na audit bure
9. Huduma za viongozi wa SMZ kama usafiri bure(muulize mzee wa mkataba anatumia kubebea mkaa)
10. Mnapata 7% ya pato la taifa
11. Mnapata 4.5 % ya misaada
12. Wabunge wenu wanaokuja kujadili mambo ya Tanganyika wanalipwa na Tanganyika
13. wajumbe wa BLW wanoingia bungeni Dodoma buree
14. Wajumbe wa bodi mbal mbali kutoka znz buree
15. Tume ya warioba buree

Ongelea mgao sawa wa madeni na misaada kwa kuangalia hayo hapo juu kwanza halafu ujue gharama za madeni pia.

Huko nyuma umesema znz haiwezi kuchangia sawa ulinzi na usalama kwasababu ina watu 1.5
a) kwanini idadi sawa ya wajumbe ndani ya tume ya Warioba
b)Kwanini idai idadi sawa ya wajumbe wa bunge la katiba
c) Kwanini mbunge wa znz anyewakilisha watu 5,000 apewe hadhi sawa na mbunge wa Ubungo mwenye watu zaidi ya nchi nzima ya znz?
d) Kwanini utake mgao sawa wa misaada huku ukikimbia gharama za ulinzi na usalama kwa kigezo cha population
e) Kwanini utake mgao sawa huku ukikimbia gharama za kusomesha watoto wako.
f)kwanini utake urais wa kupokezana huku rais kutoka znz ataleta sura na si uchumi!
g)Kwanini utake mgawanyo wa madaraka sawa huku znz ikichangia sifuri na kuchukua zaidi kutoka shamba la bibi.

FYI, znz ilishindwa kununua kifaa cha umeme c fumbuni kwa gharama ya bilioni 5 hadi Nahodha alipokuja kuomba hazina kwa kulia lia. Leo unataka kusema kila kitu usawa, usawa gani usioweza kulipia kifaa cha umeme fumbuni achilia mbali kumulika usiku kucha kwa umeme usiojua gharama zake.

Nimekuambia ulinzi na usalama ni 1.5 Trilioni. Bajeti ya znz 2013 ni bilioni 700. Tukiweka usawa wa misaada wewe utachangia nini, wakati umeshakua 7% na 4.5% na bado hujafikia nusu. Lini znz iliwahi kujua gharama za ulinzi na usalama

Kumbuka katika 1.2 milioni ya wznz, laki 5 wanaishi Tanganyika, kupata huduma za afya Tanganyika ikiwa ni pamoja na elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu tena bureee bila kurudisha mkopo.

Kwa maneno mengine znz huwa na watu laki 5 halafu unataka ulete usawa upi? na kata ya mzimuni au!
Hakuna usawa mbunge akiwaklisha watu 2500 na mbunge mwenye nchi nzima ya ZNZ. Ilala ni zaidi na znz yote kwa kila kitu na ina mbunge mmoja

Una PhD, sasa mvuvi wa samaki ikoje ndugu yangu.

Mimi naona umeandika mengi lakin huna hakika nayo.

hebu pitia bajeti kuu ya Tz ya 2012/2013. Hapo utaona kuwa umepotoka saana. Angalia vile vile ripoti ya Joint finance commission ya 2012/2013 utajiona ulivyo chukua mambo ya vijiweni.

kama utapitia pg namba 18 na 19 ya ripoti ya JFC ya mwaka 2012/2013 imejifafanua vizuri sana kuona mapato na migao yake ikoje.

Utaona hapo misaada mliopokea na madeni yenu na kila mtu aliingiza nini kujikimu katika bajeti yenu.

ndio maana nakwambia skuli mali sana. Fanya jitihada pata hizo ripoti zisome na kama hazitakujilia vizuri basi tutakudarsisha pasi na shaka kuliko kutuma maneo bila kuwa na ujuzi nao.

Suala la Umeme nafikiri lipo katika mkataba wa Znz na tanesco. na ndio maana Znz hakuna mgawo hata TGK mkiwa na mgawo. sababu ni mkataba umekubaliana vipi.

Pole sana. Sina nafasi kujibu mas'ala yasiyo na reference.
 
Mimi naona umeandika mengi lakin huna hakika nayo.

hebu pitia bajeti kuu ya Tz ya 2012/2013. Hapo utaona kuwa umepotoka saana. Angalia vile vile ripoti ya Joint finance commission ya 2012/2013 utajiona ulivyo chukua mambo ya vijiweni.

kama utapitia pg namba 18 na 19 ya ripoti ya JFC ya mwaka 2012/2013 imejifafanua vizuri sana kuona mapato na migao yake ikoje.

Utaona hapo misaada mliopokea na madeni yenu na kila mtu aliingiza nini kujikimu katika bajeti yenu.

ndio maana nakwambia skuli mali sana. Fanya jitihada pata hizo ripoti zisome na kama hazitakujilia vizuri basi tutakudarsisha pasi na shaka kuliko kutuma maneo bila kuwa na ujuzi nao.

Suala la Umeme nafikiri lipo katika mkataba wa Znz na tanesco. na ndio maana Znz hakuna mgawo hata TGK mkiwa na mgawo. sababu ni mkataba umekubaliana vipi.

Pole sana. Sina nafasi kujibu mas'ala yasiyo na reference.
Skuli ina maana pale ambapo itaeleweka.
Ni kwa msingi huo kitu gani kinakushinda kueleza na kufafanunua hadi ubaki kutaja herufi za vifungu?
Eleza na fafanua ndio maana ya mjadala, weka wazi ili kila mtu ajue unasimamia hoja gani

Tofauti baina yangu na yako ni kuweka mambo ili kila mtu aelewe.
Siku zote nasisitiza kuwa hata kama una degree 20 kama hutazifanyia kazi kwa kueleweka basi ni kama hakuna.

Sifa moja ya Nyerere si kuwa msomi wa kiwango cha profesa.
Mwalimu alikuwa na uwezo wa kuwasiliana na hadhira yake na kumwelewa.

Mwalimu mzuri ni yule anayeeleweka si yule mwenye 'material'.
Nimeweka hoja zangu, ulichopaswa kufanya ni kuchambua ukionyesha udhaifu au upotoshaji wake.
Hujaweza kufanya hivyo na msomaji yoyote atanielewa kuliko wewe.

Mathalan, nimesema kuwa kwanini tufikiriea misaada tusifikirie namna ya kujikwamua ili tusiombe misaada.
Msomi wa PhD kama wewe hapaswi kufikiri kama mvuvi wa samaki.
Misaada ni jambo la dhalili kwa watu wenye taifa.Haipaswi kuwa ajenda hata siku moja tena ikishikiwa bango na mchumi wa PhD.

Nimekuambia Wanafunzi 1000 wa znz wanasoma kwa pesa za mikopo ya Watanganyika tena bila kurudisha.
Kiwango hicho ni kikubwa kuliko wanafunzi 800 wanaodhaminiwa na SMZ.
Suala la elimu ya juu halipo katika mambo ya muungano, ambayo ni hoja ya wazanzibar.
Mwanafunzi wa Tanganyika anaumia kwa kodi isiyomfaidisha tena ya baba yake kufadhili mzanzibar.
Hoja hiyo ijibu na si kutaja kifungu 1, 2, bila kusema kinaeleza nini.

Nikatoa hoja bajeti ya znz mwaka 2013 ni bilioni takribani 700. Hoja hiyo kataa kuwa si kiwango hicho.
Nikasema bajeti ya ulinzi na usalama ni zaidi ya 1.5 Trilioni (bilioni 1500 kwa hesabu unayoweza kuelewa).
Katika gharama hizo znz haichangii kwasababu itachangia nini wakati bajeti yake haifiki nusu ya bajeti nzima.
Hoja ni hiyo ijibu.

Mwisho, huwezi kusema znz ni ndogo ina watu 1.2 milioni kwahiyo isichangie bajeti ya ulinzi na usalama.
Kama utasema hivyo ambavyo ndivyo ulivyosema basi kwanini
1. Itake kugawana madaraka sawa tena hadi urais wa kupokezana wakati tunaelewa kuwa znz peke yake haiwezi kuendesha serikali ya shirikisho kwa miezi 2 tu.

2. Kwanini wajumbe wa tume wawe sawa kama huko nyuma umekubali kuwa ina watu 1.2 na haiwezi kuwa sawa kwa gharama na Tanganyika.

3. Kwanini znz isikatae pesa zisizo na audit zinazotoka JMT ambazo ni bilioni 32, wakati unapiga kelele za misaada.

Muhimu sana ni kuwa kama unadhani misaada ni muhimu(stupid idea so as to speak) kwanini znz hiyo hiyo isidai madeni ya taifa yawe pasu pasu.

Halafu lazima ufikirie gharama amabazo znz haina katika muungano.
-Nimekuambia wabunge wa znz wanalipwa na pesa ya Tanganyika. Jibu hoja kama ni kweli au si kweli.
-Wabunge wa BLW wanaokuja Dodoma wanalipwa na Tanganyika, kanusha kama si kweli.
-Zanzibar hailipi bili ya aina yoyote ndani ya muungano zaidi ya jina. Kanusha kwa hesabu kama si kweli

Hata umeme wameshindwa kulipa, sasa wanataka ubia gani! Hawa wasioweza kulipa bill ya umeme bila sababu bali ukatili tu unaweza kuwaweka meza moja kama wabia sawa. Kanusha kama si kweli

Hizo ni baadhi ya hoja unazotakiwa kukabiliana nazo. Kwasababu unaongea ukiwa hujui unachoongea matokeo yake umejikuta unazungumza kichekesho kiwango cha PhD.Msomi unawezaje kudai eti Znz isilipe gharama za ulinzi na usalama kwasababu ya watu 1.2 milioni halafu unageuka na kudai misaada(pathetic and stupid idea) igawanywe pasu pasu.



Shame on you Barubaru
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Nguruvi, Zanzibar ni ya Wazanzibari na Tanzania ni ya Watanzania wote; Wazanzibari wanataka kuwa na mamlaka kamili kwa kadiri ya kwamba mamlaka hayo kamili yamejificha ndani ya Muungano. Jambo la kwanza ambalo Wazanzibari walitakiwa kufanya ni kujiunga na chombo cha vyombo vya majini cha kimataifa ili waweke bendera yao halafu waanze kurusha bendera yao.

Ndio maana wengine tulipata ahueni kidogo baada ya tukio la watu kumwagiwa Tindikali vyombo vyote vya kimataifa vilisema hilo limetokea "Zanzibar"! ...

Mkuu, this is what they call "Eating a cake and have it"
 
Skuli ina maana pale ambapo itaeleweka.
Ni kwa msingi huo kitu gani kinakushinda kueleza na kufafanunua hadi ubaki kutaja herufi za vifungu?
Eleza na fafanua ndio maana ya mjadala, weka wazi ili kila mtu ajue unasimamia hoja gani

Tofauti baina yangu na yako ni kuweka mambo ili kila mtu aelewe.
Siku zote nasisitiza kuwa hata kama una degree 20 kama hutazifanyia kazi kwa kueleweka basi ni kama hakuna.

Sifa moja ya Nyerere si kuwa msomi wa kiwango cha profesa.
Mwalimu alikuwa na uwezo wa kuwasiliana na hadhira yake na kumwelewa.

Mwalimu mzuri ni yule anayeeleweka si yule mwenye 'material'.
Nimeweka hoja zangu, ulichopaswa kufanya ni kuchambua ukionyesha udhaifu au upotoshaji wake.
Hujaweza kufanya hivyo na msomaji yoyote atanielewa kuliko wewe.

Mathalan, nimesema kuwa kwanini tufikiriea misaada tusifikirie namna ya kujikwamua ili tusiombe misaada.
Msomi wa PhD kama wewe hapaswi kufikiri kama mvuvi wa samaki.
Misaada ni jambo la dhalili kwa watu wenye taifa.Haipaswi kuwa ajenda hata siku moja tena ikishikiwa bango na mchumi wa PhD.

Nimekuambia Wanafunzi 1000 wa znz wanasoma kwa pesa za mikopo ya Watanganyika tena bila kurudisha.
Kiwango hicho ni kikubwa kuliko wanafunzi 800 wanaodhaminiwa na SMZ.
Suala la elimu ya juu halipo katika mambo ya muungano, ambayo ni hoja ya wazanzibar.
Mwanafunzi wa Tanganyika anaumia kwa kodi isiyomfaidisha tena ya baba yake kufadhili mzanzibar.
Hoja hiyo ijibu na si kutaja kifungu 1, 2, bila kusema kinaeleza nini.

Nikatoa hoja bajeti ya znz mwaka 2013 ni bilioni takribani 700. Hoja hiyo kataa kuwa si kiwango hicho.
Nikasema bajeti ya ulinzi na usalama ni zaidi ya 1.5 Trilioni (bilioni 1500 kwa hesabu unayoweza kuelewa).
Katika gharama hizo znz haichangii kwasababu itachangia nini wakati bajeti yake haifiki nusu ya bajeti nzima.
Hoja ni hiyo ijibu.

Mwisho, huwezi kusema znz ni ndogo ina watu 1.2 milioni kwahiyo isichangie bajeti ya ulinzi na usalama.
Kama utasema hivyo ambavyo ndivyo ulivyosema basi kwanini
1. Itake kugawana madaraka sawa tena hadi urais wa kupokezana wakati tunaelewa kuwa znz peke yake haiwezi kuendesha serikali ya shirikisho kwa miezi 2 tu.

2. Kwanini wajumbe wa tume wawe sawa kama huko nyuma umekubali kuwa ina watu 1.2 na haiwezi kuwa sawa kwa gharama na Tanganyika.

3. Kwanini znz isikatae pesa zisizo na audit zinazotoka JMT ambazo ni bilioni 32, wakati unapiga kelele za misaada.

Muhimu sana ni kuwa kama unadhani misaada ni muhimu(stupid idea so as to speak) kwanini znz hiyo hiyo isidai madeni ya taifa yawe pasu pasu.

Halafu lazima ufikirie gharama amabazo znz haina katika muungano.
-Nimekuambia wabunge wa znz wanalipwa na pesa ya Tanganyika. Jibu hoja kama ni kweli au si kweli.
-Wabunge wa BLW wanaokuja Dodoma wanalipwa na Tanganyika, kanusha kama si kweli.
-Zanzibar hailipi bili ya aina yoyote ndani ya muungano zaidi ya jina. Kanusha kwa hesabu kama si kweli

Hata umeme wameshindwa kulipa, sasa wanataka ubia gani! Hawa wasioweza kulipa bill ya umeme bila sababu bali ukatili tu unaweza kuwaweka meza moja kama wabia sawa. Kanusha kama si kweli

Hizo ni baadhi ya hoja unazotakiwa kukabiliana nazo. Kwasababu unaongea ukiwa hujui unachoongea matokeo yake umejikuta unazungumza kichekesho kiwango cha PhD.Msomi unawezaje kudai eti Znz isilipe gharama za ulinzi na usalama kwasababu ya watu 1.2 milioni halafu unageuka na kudai misaada(pathetic and stupid idea) igawanywe pasu pasu.



Shame on you Barubaru

Nguruvi3.

Unajua napenda nikusaidie lakin kwa kuwa unaongozwa na USHABIKI na chuki dhidi ya znz na waZnz kiasi cha kuchukua au Kupewa DATa ambazo utumii akili hata kidogo kumuuliza anayekupa dATA hizo amezitoa wapi kwa maana ya source yake lakin baya zaidi ni kuchukua DATA nusu nusu kwa nia ya kuikandamiza Znz kitu ambacho HAKUNA MSOMI anayeweza kukusaidia kwa hilo.

Mimi ningekushauri kama huna hakika na DATA zako tueleze au andika kwa njia ya kuuliza swali nasi tutakusaidia lakin ukiandika kwa ujuvi basi utakosa mengi katika kujua uchumi wa nchi hizo yaani tanganyika na Znz.


Lakin wakti wote nakusaidia kwa kukuonyesha njia wapi unaweza pata data sahihi ili tujadili kitaaluma badala ya hizo zako unazozitoa bila kuwa na ujuzi nazo na bila kujua source yake. na hapo nahisi itakuuma sana Ilmu yangu na ndio maana unakanganyikiwa na kukutoa kiroho.

Kumbuka kuwa ilmu ni jitihada binafsi za mtu na ndio maana mara zote nimekuwa nakwambia na kukukumbusha kuwa jitihada ni muhimu sana katika kuzungumzia kitu usicho na ujuzi nacho. Na mimi mara zote najaribu kukupa reference ambazo najua zipo wazi kabisa uzipitie na ufanya jitihada za kuuliza wataalamu wake wakusaidie kabla kuandika. Na unapogusa uchumi au hata Sharia hizi ni taaluma mbili tofauti na zote zinazoendeshwa na FACTS na sio bla bla.

Nitakusaidia kitu. Kumbuka kuwa katika mahusiano na Muunganiko wa nchi mbili huru kuna sharia za kimataifa zinazotawala. Nimewahi kuzibainisha hili KATIKA MADA YANGU HUMU NDANI ya JF NILIYOIPA ANUANI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZNZ NI WA HARAMU. Tafuta huko utapata mengi. kwa kuwa nchi hizo zote zilikuwa huru basi Sharia inatoa haki sawa kwa sawa kwa nchi zote. Hapo ndio utaona hata mambo ya uongozi lazima pasu kwa pasu.

Unapogusa uchumi hapo lazima mcheze na ratio au kila nchi kwa kile ilichowekeza katika mtaji wenu.

Nitazungumza katika lugha za asiyejua. Rejea katika bajeti yenu ta JMTz ya 2012/2013 utaona misadaad mliyopokea ni zaidi ya Trilion 2.4. sasa mngewana pasu kwa pasu ina mana kila nchi ingepata 1.2 Trilion. Kumbuka bajeti nzima ya Znz kwa mujibu wa 2012/2013 ni bilioni 700. Je Znz ingekuwa wapi hapo.

Je kwa mtaji huo Znz walikuwa na haja ya kukopa kama bajeti yao ingekuwa ime burst.

Huo ni mfano mdogo tu. sasa usichanganye mas'ala ya uchumi na utawala wa sharia. hizo ni nyanja mbili tofauti.

usitie shaka katika ilmu yangu wala isikupe khofu kwani najadili nawe kwa njia rahisi sana ili uelewe.

narudi pale pale RIPOTI YA FEDHA YA NCHI HIZO MBILI ZNZ NA TANGANYIKA INAYOANDALIWA NA WATAALAMU WENU WA JOINT FINANCE COMMISSION ingekusaidia sana kupunguza malalamiko yako ambayo nimebainisha kama utaifa ya 2012/2013 pg 8 mpaka 13 imejibu masuala yako yote. Au wewe uwaamini wataalamu wenu wa uchumi katika Commission hiyo.

ACHA KUNUNG'UNIKA FANYA JITIHADA UJISOMEE UELEWA BADALA YA KULALAMIKIA ILMU ZA WATU.

Pole sana
 
Dawa ndogo tu,ni kumupa talaka huyo mke wetu zanzibari aende akaolewe na mwingine aone...kila siku makelele,muke aina gani hii???
 
Dawa ndogo tu,ni kumupa talaka huyo mke wetu zanzibari aende akaolewe na mwingine aone...kila siku makelele,muke aina gani hii???


Aliyeolewa na tanganyika huoni hata jina lake la sili amelikana na sasa anatumia la Mumewe. Znz mwenda mdundo.
 
Mzee naona kama tayari umesha data... Harakati za ukombozi wa Zanzibar hakuna aneweza kuziziwia tena. Mimi nataka unune mpaka upasuke, na huo unga sasa itabidi wauziyane wenyewe kwa wenyewe hapo Tanganyika...
mweendo mdundo mpaka ipatikane Jamhuri ya nchi ZA Tanzania.

waachwe waseme lakin ukweli utadhihiri na tukumbuke hakuna dhulma yenye kudumu.
 
Back
Top Bottom