mkuu, tatizo sio kukosea SMALL GRAMMATICAL ERROR bali ninachoangalia ni aina ya kosa na limefanywa na mtu mwenye kiwango gani cha elimu. tusifichane...mwongeaje huyu inaonekana kiingereza chake ni kidogo sana ukilinganisha na levo ya elimu aliyofikia. kosa hili lingefanywa na mwalimu wa shule ya msingi isingekuwa taabu ila linapofanywa na mhitimu wa chuo kikuu, inaashiria kwamba kuna tatizo.
acha kufikiri irrationally kila wakati. Kama kweli unaijua hiyo lugha, uliijifunzaje? Siyo through mistakes? Kama ndivyo huyo mwalimu si bado yupo on process za kuimarisha lugha hiyo?.
Halafu ukome kuwadhalilisha au kuwasema waalimu wa msingi kwani ulicho nacho sasa ni jitihada zao. Ulianza shule ukiwa plain kwa brain yako na sasa tabularaza wewe unajitia kuwakosoa walimu wako wa awali na kuwaenzi hao wa chuo. Waombe radhi walimu.