Sijawahi kupanda Ndege, nisaidieni

Sijawahi kupanda Ndege, nisaidieni

Attachments

  • Bill-Duke.jpg
    Bill-Duke.jpg
    666.2 KB · Views: 7
Wanaume wengi ugonjwa wetu ni tako mbinuko (mnesoneso) ndo maana nauliza kwanza sio nitume hela ya tiketi nikutane na tako dogo kama ngumi.
Hivi kama tako lipo lakini karithi sura ya baba yake hapo hamna tatizo?! Mimi nadhani lazima pamoja na mengine Kuna kuangalia sura na kifua kwakuwa mwingine tako analo lakini huko mbele ni bonge la baunsa !
 
tunakoelekea mambo yatakuwa kama kwenye self service store kila kitu na price tag yake!!??
 
Habari za muda huu watanzania,
Mimi ni mwanamke tena mtanzania mwenzenu naishi Dar es salaam, lakini katika maisha yangu sijawahi kutumia usafiri wa ndege, natamani sana na mimi siku moja nifika pale uwanja wa ndege nihudumiwe kisha nikapande ndege, natamani nikijiona nimo ndani ya ndege naangalia uso wa dunia yetu kupitia dirishani, naingia ndani ya mawingu kwa kweli litakua tukio kubwa sana la kihistoria kuwahi kutokea katika maisha yangu,
Sina uwezo wa kupanda ndege kwenda popote pale, uwezo wangu ni bus, treni ama boti,

Humu jamii forum kuna wadau mbalimbali wa kimaendeleo, kuna wafanyabiashara, Wafanyakazi, Wanasiasa kwa umoja wenu nawaomba kwa unyenyekevu mnisaidie nipande ndege, sitajali nitakua naenda wapi kikubwa ni mie kupanda ndege walau nitoe hii kiu yangu,

Ahsanteni sana na Mungu awabariki sana.
Anza na esijiara kwanza.
 
Siforce ila nimeeleza matamanio yangu bila kuweka wazi itatokeaje
Mimi kwanza nakuombea ufanikiwe upate kile unachokitamani.
Pili jitahidi ukipanda ndege upande ndege zinazopiga route za kimataifa kama vile Dar to Johannesburg , au Dar to Dubai , Lagos, Cairo nk, ambazo kwanza ni kubwa , zinabeba abiria wengi na zinaruka umbali mrefu kutoka usawa wa ardhi.
Ukipanda ndege kutoka Dar kwenda Zanzibar hautaona raha ya kupanda ndege.
Pili baadhi ya hivi vindege vidogovidogo vinavyosafiri ndani ya nchi vina makelele yaani ukiwa ndani ya ndege unasikia kelele za injini utadhani umepanda trekta na pia vinaruka chinichini kwahiyo hupati raha ya kupanda ndege unakuwa kama vile umepanda daladala.
PENYE NIA PANA NJIA ENDELEA KUJITAHIDI MWISHO UTAFIKIA NDOTO YAKO.
 
Nicheck pm turuke zetu Zanzibar tukale bata kidogo hii weekend, ila uwe na muonekano unaoendana na kupanda ndege free.
Mpeleke Dubai .
Dar to Zanzibar kwa ndege ni dk 0 ndani ya ndege inayobeba abiria 12 kama daladala kwahiyo hawezi ona raha ya kupanda ndege wala hawezipata Cha kusimulia wengine akirudi.
 
Jf utachekwa sana humu kila raia kapanda ndege tena fist class bwashee
 
Ndege za jeshi hawanaga noma. Nenda airwing utapanda kwenda wanakoenda na utarudi nayo. Sio utani
 
We jamaa mbn siku hz sikuoni kule kwenye battle ya Dar vs Nairobi? Au ulitekwa 😂😂😂
Wenye akili tumeondoka wote kule ....walio baki kule nina mashaka na akili zao ...maana kwa sasa hakuna tena cha kujivunia kutokana na viongozi wahuni tulio nao sasa . Nchi yenyewe inaongozwa na hiki kiumbe hapa chini
 

Attachments

  • Duh kiongozi kama huyu mchapa kazi kumpata tena ni mitano tena 🫣.mp4
    947.9 KB
Hapo hakuna mwanaume wa kukusaidia free dada angu kama huwa unapanda bus, tren au bot, dunduliza ufanye booking ya mda mrefu garama huwa inapungua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom