Sijawahi kupanda Ndege, nisaidieni

Sijawahi kupanda Ndege, nisaidieni

Habari za muda huu watanzania,
Mimi ni mwanamke tena mtanzania mwenzenu lakini katika maisha yangu sijawahi kutumia usafiri wa ndege, natamani sana na mimi siku moja nifika pale uwanja wa ndege nihudumiwe kisha nikapande ndege, natamani nikijiona nimo ndani ya ndege naangalia uso wa dunia yetu kupitia dirishani, naingia ndani ya mawingu kwa kweli litakua tukio kubwa sana la kihistoria kuwahi kutokea katika maisha yangu,
Sina uwezo wa kupanda ndege kwenda popote pale, uwezo wangu ni bus, treni ama boti,

Humu jamii forum kuna wadau mbalimbali wa kimaendeleo, kuna wafanyabiashara, Wafanyakazi, Wanasiasa kwa umoja wenu nawaomba kwa unyenyekevu mnisaidie nipande ndege, sitajali nitakua naenda wapi kikubwa ni mie kupanda ndege walau nitoe hii kiu yangu,

Ahsanteni sana na Mungu awabariki sana.
Hauko peke yako,tupo watz kibao 😃
Hapa jf ndio usiseme,wengi hawajapanda ndege humu
 
Habari za muda huu watanzania,
Mimi ni mwanamke tena mtanzania mwenzenu lakini katika maisha yangu sijawahi kutumia usafiri wa ndege, natamani sana na mimi siku moja nifika pale uwanja wa ndege nihudumiwe kisha nikapande ndege, natamani nikijiona nimo ndani ya ndege naangalia uso wa dunia yetu kupitia dirishani, naingia ndani ya mawingu kwa kweli litakua tukio kubwa sana la kihistoria kuwahi kutokea katika maisha yangu,
Sina uwezo wa kupanda ndege kwenda popote pale, uwezo wangu ni bus, treni ama boti,

Humu jamii forum kuna wadau mbalimbali wa kimaendeleo, kuna wafanyabiashara, Wafanyakazi, Wanasiasa kwa umoja wenu nawaomba kwa unyenyekevu mnisaidie nipande ndege, sitajali nitakua naenda wapi kikubwa ni mie kupanda ndege walau nitoe hii kiu yangu,

Ahsanteni sana na Mungu awabariki sana.
Njoo pm. Uko mkoa gani? Nikukatie ticket uje pemba upate marashi ya karafuu.
 
Na mfano umesema upo tayari kwenda popote?Dah mbona kama mashaka maana hapa wanaume wamecoment asilimia 90, ina maana akikupandisha atataka umfikie na lazima akuombe mlale NAE, je utakuwa tayari kwa ajili ya kulala na mtu kisa tu ndege? Au unafanya biashara ?
Jitafakari
 
Na mfano umesema upo tayari kwenda popote?Dah mbona kama mashaka maana hapa wanaume wamecoment asilimia 90, ina maana akikupandisha atataka umfikie na lazima akuombe mlale NAE, je utakuwa tayari kwa ajili ya kulala na mtu kisa tu ndege? Au unafanya biashara ?
Jitafakari
Nimewaomba wadau mbalimbali wa maendeleo wanisaidie kufikia lengo langu, hao wataonitaka nikalale nao sina makubaliano nao kwa hiyo ni BIG NO, ukiwa muungwana utatoa msaada bila kuhitaji malipo ukiwa baradhuli ndio kama hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom