Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

Inawezekana tatizo hapa ni lugha. I mean, kwa nini ugeuze gas iwe dizeli? Tayari una mafuta ya taa, kwa nini uchukue gas utengeneze mafuta ya taa mengine?

Nadhani unachosema ni CGD - City Gas Distribution - ambapo viwanda na taasisi kama barracks au hospitali, na watu wa kawaida.

Pia, magari kama ya mwendokasi au uber au bajaj zinabadilishiwa injini yake itumie gas badala ya dizeli au petroli. Gas is cheaper than dizeli than mafuta ta taa. Au sijakuelewa?
Mie mwenyewe naamini kama wewe Ecomically it doesn't sound.
 
Mie mwenyewe naamini kama wewe Ecomically it doesn't sound.
Kwahiyo hiyo nchi wanachokifanya ni hasara mkuu? Ww umewazidi akili Uzbekistan? Mkuu acha utani wabongo wengi huwa mnaishiaga kwenye ecomically does not sound na ndio sababu nchi haina viwanda ilishaharibu vyote hatuna chochote kwa kuwa na mawazo kama haya. Sasa kununua mafuta toka mataifa mengine ndio inasound economically. Alafu wanao zalisha hayo mafuta na kutuuzia Sisi wao economically haisound. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kiuchumi mkuu hakuna haja ya kujali energy inayopotea wakati wa kuprocess. Tunachoangalia ni value ya product tutakazo zipata, ambazo zikiingia sokoni, kwanza zitatupatia fedha nyingi tena kwa uharaka na pili zitakidhi mahitaji ya Watanzania hata wale wa kipato cha chini.
Umefanya hesabu ukaona hii itakuwa cheaper per barrel in comparison na petrol and by how much ? and if that increase is sufficient to incur the extra hassle ?
Gesi asilia mpaka mtu wa kawaida aitumie panahitajika miundombinu ya maana. Mtu wa kipato cha kawaida kijijini huko hawezi kuingiza pipe ya gesi ya kupikia ndani mwake, hivyo ataendelea kuisikia kwenye bomba tu. Labda nikuulize wewe mwenyewe umewahi kuiona hiyo gesi tangia ianze kuzalishwa si huwa unaisikia kwenye bomba tu.
Mkuu umeshasikia Taifa Gas na kuona mitungi ya Taifa Gas au unadhani hio Taifa Gas ni nini (ni NPG) na sio LPG...
Ili uitumie kupikia lazima iwe kwenye pipe tofauti na hizi gesi za LPG za akina Oryx na Mihani. Lakini tukiwa na mafuta hata bodaboda wa kijijini atayatumia.
Taifa gas ni NPG ingawa hizo mihan na oryx ni LPG ambazo zinatokana na petrol (naam hata kwenye boda unaweza ukatumia NPG)
 
Kwahiyo hiyo nchi wanachokifanya ni hasara mkuu? Ww umewazidi akili Uzbekistan? Mkuu acha utani wabongo wengi huwa mnaishiaga kwenye ecomically does not sound na ndio sababu nchi haina viwanda ilishaharibu vyote hatuna chochote kwa kuwa na mawazo kama haya. Sasa kununua mafuta toka mataifa mengine ndio inasound economically. Alafu wanao zalisha hayo mafuta na kutuuzia Sisi wao economically haisound. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Its easier to transport Liquid kuliko gas..., kwahio waliofanya hivyo watakuwa wamefanya upembuzi yakinifu huenda the costs of building pipes mpaka sokoni ni ngumu, kuna kitu kinaitwa opportunity costs.., sasa kama sisi tumeshaweka pipe na kufikisha gas mpaka Dar na tuna uwezo wa kuipeleka mpaka viwandani (consumers wakubwa) na hata majirani tunaweza kuweka pipe (sasa kwanini tuongeze gharama ili tupeleke kitu kile kile), ambacho tunakipeleka na tumeshakipeleka..., hata kwa watu kupika gas is more efficient kwenye kupika kuliko kerosene..., ingawa huenda kerosene kama ipo tayari ni rahisi kuisafirisha kuliko gas / ila kama una pipe hata usafirishaji wake unakuwa rahisi....
 
Its easier to transport Liquid kuliko gas..., kwahio waliofanya hivyo watakuwa wamefanya upembuzi yakinifu huenda the costs of building pipes mpaka sokoni ni ngumu, kuna kitu kinaitwa opportunity costs.., sasa kama sisi tumeshaweka pipe na kufikisha gas mpaka Dar na tuna uwezo wa kuipeleka mpaka viwandani (consumers wakubwa) na hata majirani tunaweza kuweka pipe (sasa kwanini tuongeze gharama ili tupeleke kitu kile kile), ambacho tunakipeleka na tumeshakipeleka..., hata kwa watu kupika gas is more efficient kwenye kupika kuliko kerosene..., ingawa huenda kerosene kama ipo tayari ni rahisi kuisafirisha kuliko gas / ila kama una pipe hata usafirishaji wake unakuwa rahisi....
Gesi hii tuliyonayo mtu wa Rukwa au mtu mwenye uchumi wa kawaida anaweza kupikia??? Nijibu hili swali. Niambie utamfikishiaje hii gesi tuliyonayo mtu wa Rukwa. Pia nijibu kama wewe unaitumia hapo nyumbani kupikia.
 
Gesi hii tuliyonayo mtu wa Rukwa au mtu mwenye uchumi wa kawaida anaweza kupikia??? Nijibu hili swali. Niambie utamfikishiaje hii gesi tuliyonayo mtu wa Rukwa. Pia nijibu kama wewe unaitumia hapo nyumbani kupikia.
Natural Gas na yenyewe inaweza ikawekwa kwenye mitungi kama LPG., na suala la kupika gas is more efficient / cheaper kwa kupikia kuliko hata umeme, kwahio kwenye suala la gesi hata hio LPG (inayotokana na petroli) inabidi kupressurize kwenye hizo cyclinders ingawa weight for weight LPG ni nyepesi kuliko NPG...,
 
Natural Gas na yenyewe inaweza ikawekwa kwenye mitungi kama LPG., na suala la kupika gas is more efficient / cheaper kwa kupikia kuliko hata umeme, kwahio kwenye suala la gesi hata hio LPG (inayotokana na petroli) inabidi kupressurize kwenye hizo cyclinders ingawa weight for weight LPG ni nyepesi kuliko NPG...,
Sasa nadhani umepata majibu, NATURAL GAS ILI UITUMIE KUPIKIA NJIA PEKEE NI PIPELINE MOJA KWA MOJA HADI KWA MTEJA. Mteja muuza chips wa mtaani hawezi itumia gesi asilia.

Huu ndio utofauti wa LPG na gesi asilia.

Utofauti wa LPG zidi ya Gesi asilia (Natural Gas)

LPG na (Gesi Asilia) kikemikali ni gesi mbili tofauti.

Gesi Asilia (natural gas) ni methane (CH4) wakati LPG ni propane (C3H8) au butane (C4H10)

Kwenye LPG kuna kiwango kikubwa cha nishati (energy content) kuliko kwenye gesi asilia. Hivyo wakati wa kupika ukitumia LPG unatumia gesi kidogo kuliko ukitumia gesi asilia.

Heat content ya LPG ni 93.2MJ/mΒ³ wakati heat content ya gesi asilia ni 38.7MJ/mΒ³.

Ni rahisi kusambaza na kuuza LPG kwa kutumia silinda ndogo za gesi.

Lakini gesi asilia husambazwa kwa kutumia mabomba. Hivyo mtu ambaye hanauwezo wa kuafodi kuvuta bomba la gesi asilia nyumbani kwake hawezi kutumia gesi asilia.

Hivyo LPG ni bora zaidi kuliko gesi asilia na ni rahisi kumsambazia mteja hata wa hali ya chini huko kijijini sumbawanga.

LPG hata muuza chips wa mtaani anaitumia lakini muuza chips wa mtaani hawezi kufunga bomba la gesi asilia kwenye biashara hake.

Lakini gesi asilia inahitaji uchimbe bomba lingine hadi Sumbawanga ndipo iweze kumfikia mteja wa Sumbawanga.

Sasa ukiibadirisha gesi asilia kuwa mafuta mbalimbali kwanza utapata product zenye kiwango kikubwa cha nishati (energy content) ambazo zinaweza kununulika na kila mtanzania na pia utapata na LPG ambayo unaweza kumsambazia hata mtanzania mwenye kipato cha chini huko Sumbawanga kwa kutumia chupa ya silinda utakayoipakia kwenye kenta tu.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa nadhani umepata majibu, NATURAL GAS ILI UITUMIE KUPIKIA NJIA PEKEE NI PIPELINE MOJA KWA MOJA HADI KWA MTEJA. Mteja muuza chips wa mtaani hawezi itumia gesi asilia.

Huu ndio utofauti wa LPG na gesi asilia.

Utofauti wa LPG zidi ya Gesi asilia (Natural Gas)

LPG na (Gesi Asilia) kikemikali ni gesi mbili tofauti.

Gesi Asilia (natural gas) ni methane (CH4) wakati LPG ni propane (C3H8) au butane (C4H10)

Kwenye LPG kuna kiwango kikubwa cha nishati (energy content) kuliko kwenye gesi asilia. Hivyo wakati wa kupika ukitumia LPG unatumia gesi kidogo kuliko ukitumia gesi asilia.

Heat content ya LPG ni 93.2MJ/mΒ³ wakati heat content ya gesi asilia ni 38.7MJ/mΒ³.

Ni rahisi kusambaza na kuuza LPG kwa kutumia silinda ndogo za gesi.

Lakini gesi asilia husambazwa kwa kutumia mabomba. Hivyo mtu ambaye hanauwezo wa kuafodi kuvuta bomba la gesi asilia nyumbani kwake hawezi kutumia gesi asilia.

Hivyo LPG ni bora zaidi kuliko gesi asilia na ni rahisi kumsambazia mteja hata wa hali ya chini huko kijijini sumbawanga.

LPG hata muuza chips wa mtaani anaitumia lakini muuza chips wa mtaani hawezi kufunga bomba la gesi asilia kwenye biashara hake.

Lakini gesi asilia inahitaji uchimbe bomba lingine hadi Sumbawanga ndipo iweze kumfikia mteja wa Sumbawanga.

Sasa ukiibadirisha gesi asilia kuwa mafuta mbalimbali kwanza utapata product zenye kiwango kikubwa cha nishati (energy content) ambazo zinazoweza kununulika na kila mtanzania na pia utapata na LPG ambayo unaweza kumsambazia hata mtanzania mwenye kipato cha chini huko Sumbawanga kwa kutumia chupa ya silinda utakayoipakia kwenye kenta tu.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ina maana hujui kwamba hata NPG inaweza kuwa pressurized kwenye cyclinders ?
 
Natural Gas na yenyewe inaweza ikawekwa kwenye mitungi kama LPG., na suala la kupika gas is more efficient / cheaper kwa kupikia kuliko hata umeme, kwahio kwenye suala la gesi hata hio LPG (inayotokana na petroli) inabidi kupressurize kwenye hizo cyclinders ingawa weight for weight LPG ni nyepesi kuliko NPG...,
In short, methane is not stored in household tanks because the symmetry of its molecule makes it hard to liquify. You could in principle store methane in a tank in the gas state, but methane has such low density in the gas state that you could not store a usable amout.

Kwa kifupi gesi asilia huwezi kuijaza kwenye silinda kirahisi kama unavyo ijaza LPG. Kwasababu molekyuli za gesi asilia ni ngumu kuzibadili ziwe katika mfumo wa kimiminika kwa kuongeza presha. Hivyo unaweza kuijaza gesi asilia katika mfumo wa gesi tu kwa kuongeza presha lakini gesi asilia katika mfumo huo wa gesi densiti yake inakua ni ndogo mnoo hivyo utaweza kujaza kiwango kidogo sana cha gesi kwenye silinda hiyo.

Hivyo ukitaka kujaza kiwango kikubwa itakubidi utumie presha kubwa Sana ambayo itakubidi utumie gharama kubwa inayozidi kiwango cha gesi utakayo ijaza humo kwenye silinda.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unaona bwana. Hasara tayari. Na hiyo presha utakayoitumia sasa kwasababu itakua ni kubwa mnoo, unapoisafirisha humo njiani uwe umeushika moyo mkononi.

Hivyo ili uweze kuijaza gesi asilia kwenye silinda inabidi uibadilishe kuwa katika hali ya kimiminika ambapo ujazo wake utakua mara 1/614 ya ujazo wa ujazo wa gesi ya asilia ya kawaida katika hali joto na presha ya kawaida kabisa.

Ikiwa katika hali kama hizo inakua ni rahisi kuisafirisha hata katika maeneo ambayo hayawezi kufikika hasa maeneo ambayo hayana usafiri wa bomba. Na ikiwa katika hali ya kimiminika ndipo utaweza kuipikia hata kwenye maeneo ambayo hayana bomba.

Sasa kuibadili kwenda hali ya kimiminika inahitaji ujenge kiwanda cha kuibadili kuwa kimiminika hapo zinazihitajika pesa nyingi sana kujenga kiwanda kama hicho.

Lakini kuibadili Propane kuwa kimiminika (LPG) ni rahisi unatumia compressor tu unapreshalaizi kidogo tu tena kwa presha ndogo ambayo ni economical inakua kimiminika hapohapo. Hizo hata pale ORYX wanafanya.

Lakini hiyo ya kuibadili gesi asilia kuwa, kimiminika hiyo ni investment kubwa sana.

Kama ingekua ni rahisi kuiweka gesi asilia kwenye silinda basi ungeona mtungi iliyoqndikwa na kuwekwa nembo ya TPDC imezagaa sokoni saivi.
 
Unatumia pressure ya ngapi kwa ujazo wa ngapi mkuu.
Compressed natural gas is a fuel gas made of natural gas, which is mainly composed of methane (CH4), compressed to less than 1% of the volume it occupies at standard atmospheric pressure. It is stored and distributed in hard containers at a pressure of 20–25 MPa (2,900–3,600 psi), usually in cylindrical or spherical shapes.

CNG is used in traditional petrol/internal combustion engine vehicles that have been modified, or in vehicles specifically manufactured for CNG use: either alone (dedicated), with a segregated liquid fuel system to extend range (dual fuel), or in conjunction with another fuel (bi-fuel). It can be used in place of petrol (gasoline), diesel fuel, and liquefied petroleum gas (LPG). CNG combustion produces fewer undesirable gases than the aforementioned fuels. In comparison to other fuels, natural gas poses less of a threat in the event of a spill, because it is lighter than air and disperses quickly when released. Biomethane β€” refined biogas from anaerobic digestion or landfills β€” can be used.

 
Compressed natural gas is a fuel gas made of natural gas, which is mainly composed of methane (CH4), compressed to less than 1% of the volume it occupies at standard atmospheric pressure. It is stored and distributed in hard containers at a pressure of 20–25 MPa (2,900–3,600 psi), usually in cylindrical or spherical shapes.

CNG is used in traditional petrol/internal combustion engine vehicles that have been modified, or in vehicles specifically manufactured for CNG use: either alone (dedicated), with a segregated liquid fuel system to extend range (dual fuel), or in conjunction with another fuel (bi-fuel). It can be used in place of petrol (gasoline), diesel fuel, and liquefied petroleum gas (LPG). CNG combustion produces fewer undesirable gases than the aforementioned fuels. In comparison to other fuels, natural gas poses less of a threat in the event of a spill, because it is lighter than air and disperses quickly when released. Biomethane β€” refined biogas from anaerobic digestion or landfills β€” can be used.

Kwa hiyo pressure huwezi kupikia mkuu, hiyo pressure ni ya CNG kwaajili ya kutumia kwenye magari.
Inayotumika kupikia ni PNG.
 
Kwa hiyo pressure huwezi kupikia mkuu, hiyo pressure ni ya CNG kwaajili ya kutumia kwenye magari.
Inayotumika kupikia ni PNG.
Okay kwahio kwa ufupi LPG ni bora kama portable cooking gas kuliko NPG hivyo ni rahisi watu kupikia, na kule vijijini kufikishiwa (ila unasahau kwamba kule vijijini kama ni suala la kupika huenda ni more cheaper na efficient kuwa na biogas plants ili waweze kupikia (kama tunaamini vijijini ni wakulima na wafugaji that is practical kutengeneza small biogas containers kwa matumizi yao ya mapishi).

Hivyo basi hapo inabaki segment ya wapika chips sababu magari yanaweza kuwa accomodate na CNG na viwanda vinaweza kuwa accomodated na pipes.

Hivyo umeshafanya hesabu ukaona conversion ya hii kitu ili tu mwisho wa siku tupate LPG bei yake itakuwa ngapi tofauti na kuagiza hizo LPG direct ?, na soko is it justifiable kama tumeona hapa wapika chips na wapishi wa mijini baadhi ndio wanufaika (na hawa umepiga hesabu ni wangapi ambao sasa hivi wanatumia LPG) na je gharama ya ukishabadilisha bado utacompete na original LPG kwa soko la sasa ? (kumbuka hapa segment ni mapishi tu) na kama suala ni kupika huoni kwamba kama wanavyotwambia tukimaliza Bwawa tutakuwa na umeme wa kumwaga, kama units sikishuka sana bei huoni umeme unaweza kurudi kwenye chati katika kupika ?
 
Okay kwahio kwa ufupi LPG ni bora kama portable cooking gas kuliko NPG hivyo ni rahisi watu kupikia, na kule vijijini kufikishiwa (ila unasahau kwamba kule vijijini kama ni suala la kupika huenda ni more cheaper na efficient kuwa na biogas plants ili waweze kupikia (kama tunaamini vijijini ni wakulima na wafugaji that is practical kutengeneza small biogas containers kwa matumizi yao ya mapishi).

Hivyo basi hapo inabaki segment ya wapika chips sababu magari yanaweza kuwa accomodate na CNG na viwanda vinaweza kuwa accomodated na pipes.

Hivyo umeshafanya hesabu ukaona conversion ya hii kitu ili tu mwisho wa siku tupate LPG bei yake itakuwa ngapi tofauti na kuagiza hizo LPG direct ?, na soko is it justifiable kama tumeona hapa wapika chips na wapishi wa mijini baadhi ndio wanufaika (na hawa umepiga hesabu ni wangapi ambao sasa hivi wanatumia LPG) na je gharama ya ukishabadilisha bado utacompete na original LPG kwa soko la sasa ? (kumbuka hapa segment ni mapishi tu) na kama suala ni kupika huoni kwamba kama wanavyotwambia tukimaliza Bwawa tutakuwa na umeme wa kumwaga, kama units sikishuka sana bei huoni umeme unaweza kurudi kwenye chati katika kupika ?
Sio rahisi western countries tu wenye megawat za kutosha za umeme bado wanapikia gesi.

Yaani mkuu acha ujuaji ukiona nchi zilizokutangulia kiakili zinafanya hivyo vitu usidhani wao hawajafanya hizo hesabu unazozifanya. Huko wanakobadilisha ndiko uchumi unakoanzia.
 
Sio rahisi western countries tu wenye megawat za kutosha za umeme bado wanapikia gesi.

Yaani mkuu acha ujuaji ukiona nchi zilizokutangulia kiakili zinafanya hivyo vitu usidhani wao hawajafanya hizo hesabu unazozifanya. Huko wanakobadilisha ndiko uchumi unakoanzia.
Western countries wanapikia LPG ? , mfano mdogo UK wanakia natural gas through pipes, in fact Europe wanamtegemea sana Russia kwa gas, that's why its cheaper kwa wao kutokana na vyanzo alternative.

Tukija sehemu kama USA kutokana na vyanzo vyao...., well nisongee mengi cheki hapo chini

Sasa hapa kutokana na vyanzo vya umeme vya kutosha tena cheaper to run in long term (Hydro Electric Power) unadhani units zitabaki bei hii hii, au haujui sio miaka michache tu hapo nyuma electric stoves na cooker ndio zilikuwa habari ya mjini ?
 
Western countries wanapikia LPG ? , mfano mdogo UK wanakia natural gas through pipes, in fact Europe wanamtegemea sana Russia kwa gas, that's why its cheaper kwa wao kutokana na vyanzo alternative.

Tukija sehemu kama USA kutokana na vyanzo vyao...., well nisongee mengi cheki hapo chini

Sasa hapa kutokana na vyanzo vya umeme vya kutosha tena cheaper to run in long term (Hydro Electric Power) unadhani units zitabaki bei hii hii, au haujui sio miaka michache tu hapo nyuma electric stoves na cooker ndio zilikuwa habari ya mjini ?
Sasa hao wenzako wanatumia pipes mkuu. Hizo pipe unazozisema ww unazitumia. Gesi ipo hapo Dar ni watu wangapi wamemudu kuitumia hiyo gesi kwa njia ya pipe. Kaangalie uchumi wao ukoje.
Kama tu kuingiza pipe ya maji nyumbani ni shida ni watanzania wangapi wataweza kuingiza pipe ya gesi.
Lakn hizo LPG hata watanzania wa hali ya chini wanatumia.
 
Sasa hao wenzako wanatumia pipes mkuu. Hizo pipe unazozisema ww unazitumia. Gesi ipo hapo Dar ni watu wangapi wamemudu kuitumia hiyo gesi kwa njia ya pipe. Kaangalie uchumi wao ukoje.
Kama tu kuingiza pipe ya maji nyumbani ni shida ni watanzania wangapi wataweza kuingiza pipe ya gesi.
Lakn hizo LPG hata watanzania wa hali ya chini wanatumia.
Mkuu tunazunguka tu hapa..., haya mambo inabidi kuangalia opportunity costs na watumiaji wakubwa ni kina nani na options zilizopo ni zipi, kwahio watuamiaji wengine wote wanaweza kunufaishwa na gesi kama ilivyo in its natural form (viwanda na magari)..

Tunakuja watuamiaji waliobaki ambao unawaita wa majumbani (nao wana option ya kutumia hizo LPG) ambazo zipo tayari ingawa tunaziagiza (to Qoute Adam Smith - "Its a Maxim of every Prudent Master of a Family never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy".
 
Sasa hao wenzako wanatumia pipes mkuu. Hizo pipe unazozisema ww unazitumia. Gesi ipo hapo Dar ni watu wangapi wamemudu kuitumia hiyo gesi kwa njia ya pipe. Kaangalie uchumi wao ukoje.
Sasa unajichanganya, shooting yourself in the foot. Umesema mwenyewe Ulaya hutumia PNG (piped natural gas) kutoka Russia, Uzbekistan ndiyo Russia yenyewe? Kwa nini hawakuona umuhimu wa GTL.

Hapa Tanzania (especially Mtwara, Dar na Pwani) tuna nafasi nzuri sana ya kutumia PNG kwa viwanda na households. Tayari tuna PNG mains eneo ka Mikocheni, kijiji cha TPDC. Inaweza kusambazwa kwingine nchi nzima sawa kabisa na mains za TANESCO.

Kwenye nchi zilizo mbali na machimbo, gesi husafirishwa after freezing the natural gas at minus 261 centigrade (hiyo ni LNG, liquified natural gas) na kuipeleka kwa meli au treni hadi Mwanza na Sumbawanga. Ikifika huko inayeyushwa na kusambazwa kama PNG.

I'm not sure about this but I could be wrong. Baada ya USSR kusambaratika zikazaliwa Russia, Ukraine, Belorus, Uzbekistan, Kazakhstan, Georgia, Latvia, Ishengutia, Armenia, nk, utawala bora hakuna, kwa hiyo machimbo hayo ya gesi yamo mikononi mwa sultani, au dictator, au jeshi. Ndiyo maana unakuta SASOL ana ubia na nchi badala ya kuacha funding ifanyike kupitia stock exchange. Wewe unamjua Rais wa Uzbekistan? Au wa Chechnya?

Bado sijakubali: economics za GTL hazilipi Boss wangu.
 
Mkuu tunazunguka tu hapa..., haya mambo inabidi kuangalia opportunity costs na watumiaji wakubwa ni kina nani na options zilizopo ni zipi, kwahio watuamiaji wengine wote wanaweza kunufaishwa na gesi kama ilivyo in its natural form (viwanda na magari)..

Tunakuja watuamiaji waliobaki ambao unawaita wa majumbani (nao wana option ya kutumia hizo LPG) ambazo zipo tayari ingawa tunaziagiza (to Qoute Adam Smith - "Its a Maxim of every Prudent Master of a Family never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy".
Nenda ukajifunze ZAMBIA ambao wanatengeneza hizo bidhaa zote nchini mwao na bado bei zipo chini kuliko hapa bongo kisha urudi nikupe elimu vizuri.
 
Back
Top Bottom