Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 5,688
- 11,203
😄😄😄Mwee
😄😄😄Mwee
Ahsante, nilikosea hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona anajulikana tu kutokana na michango yake humu, labda ninyi tu hamjawahi kupishana naye humu jukwaani.aisee ulijuaje kuwa ni Me [emoji23][emoji23]
Unaniuliza mimi tena, weka ushahidi na uandike jina lake hapa.Mtoto wa Nikki wa pili si anaitwa Zurri ??
Umeolewa?Jamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na wewe ulikuwa unajaribu kufungua codes kaka, ila alishasema mara nyingi humu kuwa yeye ni me.Aaaah! Sasa nimeelewa. Nilikuwa nashangaa kinachoendelea....
We ni jiniazi aisee [emoji1547][emoji1547][emoji1547]
Haha yeah itakuwa hakuelewa hapo
Nimeona comment kuna mtu kakutajiaLazima niwalaumu sababu hakuna mwanamke anaeitwa "Zurri" kama yupo wamlete hapa, kisha nitatumia majina niliyoyataja huko juu.
Tatizo watu wanaruka ruka na kuleta utoto kila mahali.
Una mchango gani kuhusu mada?Kuna kazi nimetoa hapa, walete jina la mtoto wa kike linalosomeka "Zurri" hakuna na hatatokea, sasa sisi tuna sema hivi :
"Usishughulike na Mpumbavu-kwani kumnyamazia kimya mpumbavu ni jibu, kumpuuzia kimya mpumbavu ni kumpa adhabu"
Tujikite na mada...
Yule hayuko serious ndio maana nasisitiza, inaonekana mwepesi sana wa kukubali jambl bila ushahidi na ni mgumu wa kuthibitisha ukweli wa unachokisoma au kisikia, ndio maana nikampuuza.Nimeona comment kuna mtu kakutajia
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]sidhani Kama amehangaika kufungua code[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na wewe ulikuwa unajaribu kufungua codes kaka, ila alishasema mara nyingi humu kuwa yeye ni me.
Hilo ni jina la kike acha ubishi.Unaniuliza mimi tena, weka ushahidi na uandike jina lake hapa.
Nasema hivi, kama kuna mtoto wa kike anaitwa "Zurri" naacha kutumia hili jina.
Wengi wenu mu malaya tu, ingawa staili zenu ni tofauti tu basi.Jamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha yeah itakuwa hakuelewa hapo
Hili sasa ndio la msingi na nilikuwa nasisitiza watu wajikite kwenye mada na wasinajisi mada ya huyu binti.
Tatizo ulikosea ulivyosema utawapanga naona walikuja kutafuta chance ya kupangwaJamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi, hadi alivyonielezea mwenyewe kwenye uzi fulani hivi ndiyo nikajua ni me.Ujue Mimi mwenyewe nilijua id ya kike hadi siku ile alipokuja kwenye ule uzi wa nyenyere
Sent using Jamii Forums mobile app