Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,539
T hebu acha bwana, msifikie huko.anatumia jina la kike halafu anashobokea wanaume.
Akipapaswa nyuma analeta hasira.
Atulie...
T hebu acha bwana, msifikie huko.anatumia jina la kike halafu anashobokea wanaume.
Akipapaswa nyuma analeta hasira.
Atulie...
Nilikwambia hivi katika wanaume kuna wanaume.Hilo ni jina la kike acha ubishi.
Muhimu umekubali kuwa wewe ni Binti. Na mwingine kakupa ushahidi kuwa mwanae wa kike anaitwa zurri.
Sawa tumekuelewa.Jamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilijua kupitia kwako na hawachi kwenye ule ule uziHata mimi, hadi alivyonielezea mwenyewe kwenye uzi fulani hivi ndiyo nikajua ni me.
Kutongozwa kawaida kwa mwanamke. Usipotingozwa utaanza kujiuliza kwanini..Labda useme kukubaliana na mtogozo hilo ni suala lingine.Jamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mwaya wamekusikiaNimetoa kazi hapa, mtoto wa kike anaetumia jina "Zurri" awekwe hapa na waambatanishe na ushahidi, wakiweza kufanya hivyo, naacha kutumia hii "Id" sasa watu waache utoto na kuleta utani katika mambo yanayo hitaji umakini.
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296] mwee
Naam
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa mwaya wamekusikia
HayaUnaniuliza mimi tena, weka ushahidi na uandike jina lake hapa.
Nasema hivi, kama kuna mtoto wa kike anaitwa "Zurri" naacha kutumia hili jina.
Wakiweka ushahidi naacha kutumia hii "Id" wakishindwa nawasemehe, na mpaka wanakufa hawataweza kuleta ushahi.
Kusema ukweli akina Zurri wa kike wapo sema hata tukikutajia hapa hautaweza kuwajua wala kuamini maana hawako maarufuYule hayuko serious ndio maana nasisitiza, inaonekana mwepesi sana wa kukubali jambl bila ushahidi na ni mgumu wa kuthibitisha ukweli wa unachokisoma au kisikia, ndio maana nikampuuza.
Oohh naona kasema alikuwa hajui nini kinaendelea[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]sidhani Kama amehangaika kufungua code
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka ushahidi bibie, usipoteze muda. Najua ushahidi huo hamna.Kusema ukweli akina Zurri wa kike wapo sema hata tukikutajia hapa hautaweza kuwajua wala kuamini maana hawako maarufu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mweeYes, sema pia wakati namjibu nilijichanganya, nilijua wewe ndiyo umeniquote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa
huyu blah blah nyingi.Kusema ukweli akina Zurri wa kike wapo sema hata tukikutajia hapa hautaweza kuwajua wala kuamini maana hawako maarufu
Labda tusubiri ushahidi wao, ila mimi nahisi jina la mtoto wa Nikki haliandikwi hivyo.