Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,814
- 40,572
kwanza ishu hapa haikua serious yeye akaingilia haitoshi akanitusi.T hebu acha bwana, msifikie huko.
kwanza ishu hapa haikua serious yeye akaingilia haitoshi akanitusi.T hebu acha bwana, msifikie huko.
Mimi si ulishaniambia na nilishakuelewa, hapa nakuzingua tu labda tusubiri ushahidi wa hao wengine.Weka ushahidi bibie, usipoteze muda. Najua ushahidi huo hamna.
Kisha nitakuja kukwambia kwanini najiita "Zurri".
Tujikite kwenye mada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwee
Limeisha hili bibie.Mimi si ulishaniambia na nilishakuelewa, hapa nakuzingua tu labda tusubiri ushahidi wa hao wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe na wewe ni kachokozi hivi, by the way mie alishaniambia kwanini anajiita hivyo so hapa niko namzingua tu mimi hata sijui kama kuna watoto wa kike wanaitwa Zurri au la ila sema labda jina tu lilivyokaa ndiyo lilituchanganya wengi.huyu blah blah nyingi.
Now anajifanya mwana falsafa mara sijui kuna wanaume na wanaume.
Kwa kifupi anahangaika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila hiyo ligi yenu ujue mwenzenu nimebaki nakufa mbavu tu hapa mamna mnavyojibishana, hebu ngoja nitoke kwanza kwenye huu uzi nisije nikazimia kwa kicheko.kwanza ishu hapa haikua serious yeye akaingilia haitoshi akanitusi.
Au labda pia ni sababu ya herufi za mwanzo kufanana ??Yes, notifications zilifatana. Kwa hiyo hata sikuhangaika kuangalia vizuri.
SawaLimeisha hili bibie.
Tujikite kwenyw mada.
Au labda pia ni sababu ya herufi za mwanzo kufanana ??
Baelese mama.Jamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Tune yako ina asili ya nyanda za juu kusini[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296] mwee
TuambieWeka ushahidi bibie, usipoteze muda. Najua ushahidi huo hamna.
Kisha nitakuja kukwambia kwanini najiita "Zurri".
Tujikite kwenye mada.
Kusema ukweli akina Zurri wa kike wapo sema hata tukikutajia hapa hautaweza kuwajua wala kuamini maana hawako maarufu
Wakiweka ushahidi naacha kutumia hii "Id" wakishindwa nawasemehe, na mpaka wanakufa hawataweza kuleta ushahi.
Kila kitu kinataka maarifa, ufahamu na Elimu. Waache utoto.
[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila hiyo ligi yenu ujue mwenzenu nimebaki nakufa mbavu tu hapa mamna mnavyojibishana, hebu ngoja nitoke kwanza kwenye huu uzi nisije nikazimia kwa kicheko.
Huyu huwa namfananisha na santino Cha ukorofi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe na wewe ni kachokozi hivi, by the way mie alishaniambia kwanini anajiita hivyo so hapa niko namzingua tu mimi hata sijui kama kuna watoto wa kike wanaitwa Zurri au la ila sema labda jina tu lilivyokaa ndiyo lilituchanganya wengi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3]Zurriyat AbdallahNiambie ni mwanamke gani anatumia jina "Zurri" maama hapo kuna "madda". Ukiweka ushahidi huo naacha kutumia hii "Id" na kuujiita aidha "Sakkaak" au "Zinjaan" au "Mubarrida"
Ahsante.
HahahaaHalafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika hovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.