Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,252
- 125,002
Duh kumbe wewe ni bintiPoa.
Na mimi ni binti Zurri.
Tujikite kwenye mada.
Duh kumbe wewe ni bintiPoa.
Na mimi ni binti Zurri.
Tujikite kwenye mada.
sawa wamekuelewaJamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio.Duh kumbe wewe ni binti
Duh kumbe wewe ni binti
Kwani si kasema mwenyewe au..?Dah!
Wambie,mengine ni kuburudisha kijiweJamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika hovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.
anatumia jina la kike halafu anashobokea wanaume.
Akipapaswa nyuma analeta hasira.
Atulie...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki wewe mchokoziKama aliweza kutubadilishia "Na tumfanye"kutoka nafsi ya kwanza wingi akaileta nafsi ya kwanza umoja unadhani atashindwa kurekebisha watu humu[emoji3].
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mgumu kuelewa,Mimi ninamke na watoto ,Kama unanipenda ,nipende Kama kaka na Dada ila sio Kimapenzi,naheshimu ndoa Yangu.tafuta wengine sio Mimi Mkuu,samahani Kama nitakukwaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoa kazi hapa, mtoto wa kike anaetumia jina "Zurri" awekwe hapa na waambatanishe na ushahidi, wakiweza kufanya hivyo, naacha kutumia hii "Id" sasa watu waache utoto na kuleta utani katika mambo yanayo hitaji umakini.Mwenyewe anasema eti siyo la kike, labda atuambie mwenyewe kwanini aliamua kujiita hivyo na si vinginevyo.
Narudisha mic kwa mheshimiwa Zurri
Shangazi huyu nae haeleweki.Duh kumbe wewe ni binti
To be honest humu wapo wasiojielewa completely n vice versaJamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa Nikki wa pili si anaitwa Zurri ??Niambie ni mwanamke gani anatumia jina "Zurri" maama hapo kuna "madda". Ukiweka ushahidi huo naacha kutumia hii "Id" na kuujiita aidha "Sakkaak" au "Zinjaan" au "Mubarrida"
Ahsante.