Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
Endeleen kuweweseka
Waraka ule umekaa kiufipa ufipa hauna tofauti na ule wa maaskofu wa kkkt!
Waraka ule umekaa kiufipa ufipa hauna tofauti na ule wa maaskofu wa kkkt!
View attachment 1504296
Amiri mkuu wa Shura ya maimamu Shehe Kundecha amekana Taasisi anayoiongoza kutoa waraka wowote unaohusu uchaguzi.
Kundecha amesema yeye kama kiongozi mkuu wa waislamu hana taarifa yoyote juu ya waraka unaosambazwa mitandaoni na kwamba waraka huo ni feki.
Shehe Kundecha amempongeza Rais Magufuli kwa namna anavyoongoza nchi kwa busara na hekima na hasa kwa namna alivyotuongoza katika kipindi kigumu cha Corona.
Kadhalika amemshukuru kwa kuwaruhusu wanafunzi kuendelea na masomo.
Source: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Zaidi, soma;
Uchaguzi 2020 - Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania
Anatafuta kura za huruma kabla ya waraka huo awamu hii yeye kama "mwanasihasa" alikuwa wapi kuomba na kusisitiza juu ya tume huru na katiba ya mwananchi?Hiyo hiyo mkuu.
Ila ujumbe umeshafika! Kama wameukana Sheikh Ponda kwanini ashikiliwe?Ila shura ya maimamu wameukana!!!
Inawezekana wamelazimishwa wakene kwa usalama wao!!