Joel Kisoka
Member
- Dec 21, 2018
- 23
- 31
Hii limbwata
Acha wivu wa kijinga wewe Chato ni mji sio kijiji!Hakuna tajiri atakayemtoa mtoto wake mjini Mwanza au Dar ampeleke kijijini Chato. That is a primitive environment ambayo inaweza kuathiri maisha ya mtoto, kiasi cha yeye kuarithiwa na mazingira yanayomzunguka. Pamoja na mazingira ya shule, mazingira ya jumla yanaweza kumwathiri mtoto.
Ukimsikiliza yule Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato, halafu yule awe mwenyekiti wa bodi ya shule au mjumbe wa bodi, unatarajia hiyo shule itakuwaje? Shule siyo majengo pekee.
Hiyo shule haina chochote cha pekee. Haitofautiani na shule nyingi zilizojengwa na kumilikiwa na watanzania. Wala haitafikia hadhi ya shule kama ya Olympio and the like.
Jipe muda, baada ya miaka 3 utajua ipo daraja gani.
Hiyo shule itatoa huduma zaidi kwa wananchi wa Chato. Watafute watu wenye exposure ili zaidi ya kutoa elimu ya darasani, jamii ya shule ibadilishe fikra za jamii, hasa kuhusiana na maisha ya ustaarabu. Yule mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato alinipa picha mbaya sana.
Nimegundua watanzania wengi hawana akili pamoja na huyu aliyeandika huu ujinga.Hakuna tajiri atakayemtoa mtoto wake mjini Mwanza au Dar ampeleke kijijini Chato. That is a primitive environment ambayo inaweza kuathiri maisha ya mtoto, kiasi cha yeye kuarithiwa na mazingira yanayomzunguka. Pamoja na mazingira ya shule, mazingira ya jumla yanaweza kumwathiri mtoto.
Ukimsikiliza yule Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato, halafu yule awe mwenyekiti wa bodi ya shule au mjumbe wa bodi, unatarajia hiyo shule itakuwaje? Shule siyo majengo pekee.
Hiyo shule haina chochote cha pekee. Haitofautiani na shule nyingi zilizojengwa na kumilikiwa na watanzania. Wala haitafikia hadhi ya shule kama ya Olympio and the like.
Jipe muda, baada ya miaka 3 utajua ipo daraja gani.
Hiyo shule itatoa huduma zaidi kwa wananchi wa Chato. Watafute watu wenye exposure ili zaidi ya kutoa elimu ya darasani, jamii ya shule ibadilishe fikra za jamii, hasa kuhusiana na maisha ya ustaarabu. Yule mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato alinipa picha mbaya sana.
Kwanini na sisi tusiwajengee Marekani shule moja?Ila akijenga mzungu aliyetuibia law materials zetu baada ya zake kuisha na mpaka leo anaiba mnasema ewaaa!!!
TeteteteteAcha wivu wa kijinga wewe Chato ni mji sio kijiji!
Sina chuki na yeyote. Nawashangaa wanaona kama hiyo shule ni kitu cha ajabu wakati tumekuwa na shule nzuri hata zaidi ya hizo kwa miaka mingi. Wewe unaona ni news?Andiko lako limejaa chuki..punguza chuki na ubinafsi havitakusaidia...chuki na umasikini ni ugonjwa mbaya sana.
#MaendeleoHayanaChama
Mbona wengi tu huwatoa watoto mijini kwenda vijijini kupata elimu.Andiko lako limejaa chuki..punguza chuki na ubinafsi havitakusaidia...chuki na umasikini ni ugonjwa mbaya sana.
#MaendeleoHayanaChama
Sasa una kipi ja ziada kwenye maisha? Unapuyanga hapa jamii forum kwakupewa uchawa na Jumong! Stupid!Sina chuki na yeyote. Nawashangaa wanaona kama hiyo shule ni kitu cha ajabu wakati tumekuwa na shule nzuri hata zaidi ya hizo kwa miaka mingi. Wewe unaona ni news?
Shule niliyosoma mimi ilikuwa nzuri kuliko hiyo, halafu tunaona kama muujiza. It is something but not exceptional.
Namshanga sana huyu chawa wa Samia kazi kupinga kila kitu kinachofanyika Chatokwa akili yake yeye na familia yake ndo wasomi? Hajui kuwa Chato kuna watu wengi tu wamepiga shule tena vizuri!Mbona wengi tu huwatoa watoto mijini kwenda vijijini kupata elimu.
Namshangaa huyo member hakika.
Usijali mkuu. Tupende kuappreciate vitu hata Kama haviko upande wetu. Majivuno na dhihaka ni matunda ya shetani usiruhusu yakashamiri ndan yako.Sina chuki na yeyote. Nawashangaa wanaona kama hiyo shule ni kitu cha ajabu wakati tumekuwa na shule nzuri hata zaidi ya hizo kwa miaka mingi. Wewe unaona ni news?
Shule niliyosoma mimi ilikuwa nzuri kuliko hiyo, halafu tunaona kama muujiza. It is something but not exceptional.
Hivi Chato ina Halmashauri ya Wilaya au Halmashauri ya mji?Acha wivu wa kijinga wewe Chato ni mji sio kijiji!
Yaani mzungu aache high materials huko kwao aje kuiba law materials zenu? Una akili kweli weweIla akijenga mzungu aliyetuibia law materials zetu baada ya zake kuisha na mpaka leo anaiba mnasema ewaaa!!!
Unavyoandika tu, inaonekana ni mtu wa namna gani. You worth nothing in this universe.Sasa una kipi ja ziada kwenye maisha? Unapuyanga hapa jamii forum kwakupewa uchawa na Jumong! Stupid!
Mimi sijasema kuwa siyo kitu, wala sijasema kuwa Mseveni hajatutendea wema kama Taifa. Lakini kilichonishangaza ni kuleta taswira kama vile kabla ya hiyo shule hakuna shule iliyokuwepo ya kiwango hicho.Usijali mkuu. Tupende kuappreciate vitu hata Kama haviko upande wetu. Majivuno na dhihaka ni matunda ya shetani usiruhusu yakashamiri ndan yako.
Aisee.. Hivi Magu alikuwa na mpango gani na Chattle..!??Shule hii illiyojengwa na Rais wa Uganda ni mingoni mwa shule chache za serikali zitakazotoa mafunzo yake kwa lugha ya Kiingereza sawa na shule za Olympio, Diamond, Oysterbay, nk. Shule hizi ni shule za kulipia ada ndogo kabisa kuliko shule za aina hii za watu binafsi na mashirika ya dini.
Wasiwasi wangu mkubwa ni namna watoto wa watanzania wa kawaida watakavyoweza kupata nafasi kwenye shule hiyo dhidi ya watoto wa viongozi wa Chama na serikali, walimu na wafanyabiashara wakubwa wenye uwezo wa kifesha na ushawishi.
Makundi haya ya wenye fedha na vyeo yataacha pia kupeleka watoto wao shule binafsi zenye ada kubwa na kwenda kujaza watoto wao kwenye shule hii.
Kamati ya shule lazima iwe fair kwenye selection ya watoto watakaojiunga na shule hii. Kigezo kiwe ufaulu wa mtoto kwenye mtihani wa kujiunga na shule, isiwe ni mtoto wa nani au ameletwa na nani. Kuna vi memo vingi na rushwa kubwa sana katika kupata nafasi kwenye hizi shule.
Watu wanapiga pesa ndefu kupatia watu nafasi kwa njia ya kujuana, cheo, na nafasi kwenye jamii. Matokeo yake wanasoma watoto wa kundi fulani na kuwaacha watoto wenye uwezo mkubwa kiakili wanaotoka familia zisizo na majina/wanyonge.
Hapo malengo ya Museven yatakuwa bure kabisa.
Shule hii watasoma watoto wa Mtanzania yeyote ambaye amefaulu kwa viwango vinavyotakiwa. Suala la wewe kuuliza watasomama watoto gani na wakati unajua kabisa shule za serikali wanasoma watoto wote, ndio unaanza kuwafanya watu wafikiri ambavyo hata havikuwepo.Shule hii illiyojengwa na Rais wa Uganda ni mingoni mwa shule chache za serikali zitakazotoa mafunzo yake kwa lugha ya Kiingereza sawa na shule za Olympio, Diamond, Oysterbay, nk. Shule hizi ni shule za kulipia ada ndogo kabisa kuliko shule za aina hii za watu binafsi na mashirika ya dini.
Wasiwasi wangu mkubwa ni namna watoto wa watanzania wa kawaida watakavyoweza kupata nafasi kwenye shule hiyo dhidi ya watoto wa viongozi wa Chama na serikali, walimu na wafanyabiashara wakubwa wenye uwezo wa kifesha na ushawishi.
Makundi haya ya wenye fedha na vyeo yataacha pia kupeleka watoto wao shule binafsi zenye ada kubwa na kwenda kujaza watoto wao kwenye shule hii.
Kamati ya shule lazima iwe fair kwenye selection ya watoto watakaojiunga na shule hii. Kigezo kiwe ufaulu wa mtoto kwenye mtihani wa kujiunga na shule, isiwe ni mtoto wa nani au ameletwa na nani. Kuna vi memo vingi na rushwa kubwa sana katika kupata nafasi kwenye hizi shule.
Watu wanapiga pesa ndefu kupatia watu nafasi kwa njia ya kujuana, cheo, na nafasi kwenye jamii. Matokeo yake wanasoma watoto wa kundi fulani na kuwaacha watoto wenye uwezo mkubwa kiakili wanaotoka familia zisizo na majina/wanyonge.
Hapo malengo ya Museven yatakuwa bure kabisa.
Nimekuelewavizuri kabisaMimi sijasema kuwa siyo kitu, wala sijasema kuwa Mseveni hajatutendea wema kama Taifa. Lakini kilichonishangaza ni kuleta taswira kama vile kabla ya hiyo shule hakuna shule iliyokuwepo ya kiwango hicho.
Mtu anasema kuwa eti watoto wa watu wa kawaida hawatapata nafasi kwa sababu watajaa watoto wa viongozi. Viongozi wakuu wapo Dodoma au Dar, ni nini cha ajabu kwenye hiyo shule kiasi cha viongozi labda wa kitaifa, wa mikoa, wilaya na matajiri, wote wakagombanie watoto wao kwenda kusoma kwenye hiyo shule ya Chato?
Wewe unaamini kuwa hiyo shule ni ya pekee kiasi cha Watamzania wote kupigania watoto wao waende wakasome Chato?
Nakubaliana nawe kuwa tunatakiwa ku-appreciate mafanikio lakini pia tusipende kukuza. Mafanikio kidogo tunayafanya kama muujiza.
Nakuuliza wewe unatofauti gani na hawa watanzania wa kawaida kama chato? Au unamaisha mazuri kuzidi watu wote wa Chato? Mambo ya kuufanya kazi nje ya nchi sio tija kama huna maajabu utakuwa mtu wa kawaida tu! Hata sisi tuna ndugu wako nje ila hawana maajabu yeyote akirudi Tanzania anakimbizwa kama kawa!Unavyoandika tu, inaonekana ni mtu wa namna gani. You worth nothing in this universe.
Nashukuru mifumo iliyokuwepo, ndiyo iliyonipa msingi wa kuweza kufanya kazi mabara yote Duniani except Asia.
Mnapoteza muda kusifia tiny things. Hiyo shule ina nini cha pekee? Au kwa sababu imejengwa na Mseven? Apart from that, what's so special?