Shule hii Mbeya iko wapi?

Shule hii Mbeya iko wapi?

Naona wanaiyunga ni wengi, hebu niwape kidogo, shule ile miaka ya sitini lilikuwa zaidi ya nyumbani yaani wanafunzi na walimu wote ikiwa headmaster mzungu na mkewe tulikula pamoja mesi chakula kilikuwa na hadhi ya hoteli kubwa daraja la kwanza na walimu walikuwa na attachment za makazi kwenye mabweni, kila mwanafunzi alikuwa na shuka nne nyeupe, foronya mbili na bedcover moja; Siyo rahisi kuelewa nyie lakini ndivyo ilivyokuwa.
 
Naona wanaiyunga ni wengi, hebu niwape kidogo, shule ile miaka ya sitini lilikuwa zaidi ya nyumbani yaani wanafunzi na walimu wote ikiwa headmaster mzungu na mkewe tulikula pamoja mesi chakula kilikuwa na hadhi ya hoteli kubwa daraja la kwanza na walimu walikuwa na attachment za makazi kwenye mabweni, kila mwanafunzi alikuwa na shuka nne nyeupe, foronya mbili na bedcover moja; Siyo rahisi kuelewa nyie lakini ndivyo ilivyokuwa.
...ilikuwa kama Ulaya.
 
Sasa hizi zinazojengwa miaka hii ni shule au maboma ya kukusanyia watoto maana hazina hata robo ya huduma kama shule za zamani,
Nilisoma pale Karatu shule iko powa hadi university uchwara za miaka hii hazifui dafu
Karatu enzi gani?
Mzee kibatala akiwa headmaster?
Bakora za karatu aisee zilikuwa laana.
Unapigwa bakora hadi chupi inachungulia headmaster anakuambia nimeona chupi na nyuchi za wazungu sishtuki na tumapaja twako kwanza hujavunja ungo.....aaaahhh viva kibatala viva hedimasta wetu karatu Sec.
Mnalima kama matrekta shule ya Kilimo kweli kweli...
 
Naona wanaiyunga ni wengi, hebu niwape kidogo, shule ile miaka ya sitini lilikuwa zaidi ya nyumbani yaani wanafunzi na walimu wote ikiwa headmaster mzungu na mkewe tulikula pamoja mesi chakula kilikuwa na hadhi ya hoteli kubwa daraja la kwanza na walimu walikuwa na attachment za makazi kwenye mabweni, kila mwanafunzi alikuwa na shuka nne nyeupe, foronya mbili na bedcover moja; Siyo rahisi kuelewa nyie lakini ndivyo ilivyokuwa.
Daaah mlikula bata hongera sana mzee
 
Karatu enzi gani?
Mzee kibatala akiwa headmaster?
Bakora za karatu aisee zilikuwa laana.
Unapigwa bakora hadi chupi inachungulia headmaster anakuambia nimeona chupi na nyuchi za wazungu sishtuki na tumapaja twako kwanza hujavunja ungo.....aaaahhh viva kibatala viva hedimasta wetu karatu Sec.
Mnalima kama matrekta shule ya Kilimo kweli kweli...
Poleni tulikuja wakati ni advance na o level wa mwisho ndo wako form iv hayo yote hatukuyakuta mkuu
 
Naona wanaiyunga ni wengi, hebu niwape kidogo, shule ile miaka ya sitini lilikuwa zaidi ya nyumbani yaani wanafunzi na walimu wote ikiwa headmaster mzungu na mkewe tulikula pamoja mesi chakula kilikuwa na hadhi ya hoteli kubwa daraja la kwanza na walimu walikuwa na attachment za makazi kwenye mabweni, kila mwanafunzi alikuwa na shuka nne nyeupe, foronya mbili na bedcover moja; Siyo rahisi kuelewa nyie lakini ndivyo ilivyokuwa.
Sie tuliosoma enzi za uji hauna sukari na mwepesi tumekula hasara. Mi nilisoma Tanga tech, bahati nzuri shule ilikua imehifadhi majarida yake ya zamani. Nilikua nikiyasoma natamani kulia maana inaonekana wanafunzi walikua wanakula bata sana. Miaka ya 60s na 70s shule inaprint majarida yake lakini 2019 sidhani kama kuna shule bongo inafanya hivyo.

Yaani badala ya kwenda mbele sisi tunarudi nyuma. Miaka hiyo kila shule ya serikali ilikua na gari na miradi mingi lakini saizi tunaishia kujenga shule za kata ambazo hazina miundombinu ya kumsaidia mwanafunzi.
 
Sasa niwape mpangilo wa mlo kwa siku.
1. Breakfast: yai, mkate uliochomwa (toast), maziwa,uji, silesia za mkate, jamu, siagi.
2. Saa nne asubuhi: chai ya maziwa, keki, cocoa, silesi za mkate na maziwa, uchag nouzi ni wako mezani.
3. Chakula mchana: viazi mviringo ( kila siku mpiko tofauti) nyama ( kilasiku mpiko tofauti) silesi ya mkate, ndizi mbivu na pudding.
4. Saa kumi: keki, maziwa, Silesi za mkate, cocoa, chai ya maziwa.
5. Chakula cha jioni: supu, wali njegere au nyama roast, au chips au mchanganyo wa kihoteli wapishi watakavyokuwa wameandaa, Silesi ya mkate, jamu, siagi,chai ya maziwa, karanga zilizokaangwa.
Kutokana na uandaaji huu lilikuwa hakuna sababu walimu kula majumbani mwao labda tu akipenda, je, tumesonga mbele kimaendeleo au tumerudi nyuma.
 
Mbele ya Mbeya Day kuelekea makaburini ukipita uwanja wa mpira wa zamani kabla ya kufika mabatini.
Ukipita uwanja wa mpira wa zamani nadhani ndipo hapo ilipokuwa hiyo shule. Miaka ya 83 kurudi nyuma na baada ya miaka unsyoitaja wewe palikuwa na shule (of course ilikuwa ya zamani sana) ilijulikana kana Mbeya Primary.

Kama sijakosea sana mwaka 1983 hiyo primary school ilifutwa na wanafunzi wakahamishiwa shule nyingine nadhani Mabatuni na Mapinduzi halafu pale pakaanzishwa shule ya Sekondari Meta.
 
Sasa niwape mpangilo wa mlo kwa siku.
1. Breakfast: yai, mkate uliochomwa (toast), maziwa,uji, silesia za mkate, jamu, siagi.
2. Saa nne asubuhi: chai ya maziwa, keki, cocoa, silesi za mkate na maziwa, uchaguzi ni wako mezani.
3. Chakula mchana: viazi mviringo ( kila siku mpiko tofauti) nyama ( kilasiku mpiko tofauti) silesi ya mkate, ndizi mbivu na pudding.
4. Saa kumi: keki, maziwa, Silesia za mkate, cocoa, chai ya maziwa.
5. Chakula cha jioni: supu, wali njegere au nyama roast, au chips au mchanganyo wa kihoteli wapishi watakavyokuwa wameandaa, Silesia ya mkate, jamu, siagi,chai ya maziwa, karanga zilizokaangwa.
Kutokana na uandaaji huu lilikuwa hakuna sababu walimu kula majumbani mwao labda tu akipenda, je, tumesonga mbele kimaendeleo au tumerudi nyuma.
Duh!!!
Mlikula bata aisee!
 
Nirudi kwenye shule ninayoitafuta, lilikuwa na katakana ya useremala ikiwa na vifaa vyote muhimu vya useremala pamoja na mbao kwa ajiri ya somo la woodwork (useremala). Vifaa vyote muhimu vya gardening, dispensari ikiwa na dawa zote muhimu ikihudumiwa na mwanafunzi aliyefundishwa na waganga. Chakula na matunda kila siku na Katanga kila mwanafunzi kilo moja kwa wiki, storekeeper wa chakula mwanafunzi, kwa ujumla maisha ya kila siku kuanzia asubuhi mpaka usiku yalikuwa yanasimamiwa na maprifekti, mwalimu wa zamu ni ukaguzi tu na shule lilikuwa safi sana kuliko jiji la Dar es Salaam! Tujiulize ni wapi tulipokosea leo shule zinazungumzia matundu ya vyoo! Lugha hii hatukuwa nayo, madeski! Maji! Tumekosea wapi? Kiswahili na kiingereza vilijaa midomoni mwetu kama meno na uelewa wetu wa mambo tulikuwa mkubwa sana kwani mwanafunzi wa darasa la nane aliweza kuajiriwa ukarani ofisi za serikali! Unesi, ualimu, polisi na makampuni binafsi na lugha ya kiswahili na kiingereza havikuwa kikwazo.
 
Back
Top Bottom