Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,380
- 2,843
HahahaNaona uzi umevamiwa na wanafunzi wa Iyunga.Je sisi tuliosoma AZANIA tunacomment wapi?
HahahaNaona uzi umevamiwa na wanafunzi wa Iyunga.Je sisi tuliosoma AZANIA tunacomment wapi?
Iyunga ndo ilikuwa ipi kati ya hizi?Mpaka sasa sijapata jibu, inamaana hiyo shule imeyeyuka! Shule za bodingi za wavulana Mbeya mjini zilikuwa mbili LA (NA) Forest na Santa Joseph (Nzovwe)
Iyunga ni sekondari na bado ipo karibu na stesheni ya Tazara, hizi mbili hazikuwahi kuwa sekondari zilikuwa za kati (middle school) darasa la tano mpaka la nane.Iyunga ndo ilikuwa ipi kati ya hizi?
Hahahaha..hapo kwenye swiming pool alidondoka jamaa usiku alikuwa anakimbizwa kutokea uwanjani alipaa kama NINJA (mwanafunzi aligombana na raia kwenye chips,hatare)
Babu shikamoo.Niliwahi kuona kwenye luninga mabweni yaliyoungua, nilisikitika na sikuelewa kwa vipi!
Mwalm ndimbo ticha wa biology RIPNlisoma sangu sec ila nlitimuliwa
Sikumaliza miezi 3 wanapiga bakora balaa
Kulikuwa na mwl anaitwa kabigi na ndimbo
Wao utafikiri walinikamia
Ova
Tuharibu tu hapa hapa maada wa Iyunga washaanzisha.Na sisi wa Kibasila lol!
DuhMwalm ndimbo ticha wa biology RIP
Hahahahahah daaah we Iyunga unaijua vizuri umesoma pale nini mkuu .Iyunga ilikuwa bonge la shule
Ila ilikuwa haimilikiwi na serikali kabla
Badaye ndy serikali nyerere wakaja itaifisha....
Shule mwanzoni ilikuwa na mpk swimming pool wabongo walipoichkua sehemu hyo wakaigeuza dampo ya kuweka uchafu
Ova
Unesoma iyunga ya mwaka gani .Nmesoma iyunga
Na swimming pool haijageuzwa dampo
We umesoma wapi kwaniMnaharibu uzi bana na Iyunga yenu..
Turudi kwenye mada, mtoa mada anatala kujua hicho chuo na siyo stori zenu za Iyunga
Kyege bado yupo yule mpuuzi hahahahahahKo ni kama Kyege ( Mwakasege)
Mimi mwenyewe nimesoma dampo kabisa,hata ile jengo la michezo ovyo kabisa,labda kama wamelikarabati.Nmesoma iyunga
Na swimming pool haijageuzwa dampo
Hadi sasa Iyunga ni ya vipaji maalumu wale wenye ufaulu mzuri tu ndio hujiunga kidato cha kwanza hapo.Wakati ninaondoka swimming pool, gymnasium, laundry, dispensary, dining hall na hot water heaters kila bweni pamoja na wanafunzi na walimu mnakula chakula pamoja kuanzia breakfast mpaka super. Enzi hizo tulikuwa tunalipa ada shs. 2,000/= (elfu mbili) sawa na kununua gari!
Mkuu dispensary ilikuwa bweni LA Benjamin mkapaHahaha mipata raha sana asee...hahha...hizo hot water heaters sijawahi kuziona hata mabaki yake nilipoenda kusoma pale...Swimming pool ilibaki shimo tu.
Laundryhii inaweza kuwa yale mabaki niliyaona kule nyuma karibu na jiko, karibu na mashine.
Chakula kula na walimu, hiyo haikuwepi kabisa,Msosi mbaya kabisa
Gymnasium, ilibaki jengo...tulikuwa tunaitumia tumia kidogo kama ukumbi (wa mtihani na viParty vidogo dogo) kiujumla ilikuwa imechoka, zile mbao chini zilikuwa ktk hatua zake za mwisho mwisho.
Dispensary...Sikumbuki ilikuwa upande gani,hahhaa...ila walikuwa kutengeneza ya kigumu tu pale bweni la Shaban Robert.
Dinning ilikuwepo, ila ilikuwa ndogo...tunakula tumesimama, wengine wanatoka kula nje kweny viunga vya maua.
Hahhaha, Najivunia kusoma pale.
Ila ikirudishwa siku nyuma niambiwe nikasome SIENDI.
Hahahahahah mademu wa Loz tumebambia sana enzi hizo na pafyumu za kuazimaMamamaee usinikumbushe ule ukumbi, mtamu kwa kubambia toto za Loleza tu..... kwenye pepa ni laana.
Aisee kumbe wewe ulisoma enzi za mng'ong'o head master .Ile swimming pool bora wangeifukia tu, kuna mwaka alikufa mtoto wa mwalimu pale kwa kuzama mule.... nakumbuka ilinivurugia plan za kung’oa mtoto wa Mung’ong’o.