Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,380
- 2,843
Yap...nimekumbuka.Mkuu dispensary ilikuwa bweni LA Benjamin mkapa
Lile lenye vyemba vizuri liko kati ya shaban Robert na Luthuli
Ndo waliamua kuigeuza iwe Bweni, kea kuanzia wakaanza kuwaweka wanafunzi wa Advance.

