Sasa niwape mpangilo wa mlo kwa siku.
1. Breakfast: yai, mkate uliochomwa (toast), maziwa,uji, silesia za mkate, jamu, siagi.
2. Saa nne asubuhi: chai ya maziwa, keki, cocoa, silesi za mkate na maziwa, uchag nouzi ni wako mezani.
3. Chakula mchana: viazi mviringo ( kila siku mpiko tofauti) nyama ( kilasiku mpiko tofauti) silesi ya mkate, ndizi mbivu na pudding.
4. Saa kumi: keki, maziwa, Silesi za mkate, cocoa, chai ya maziwa.
5. Chakula cha jioni: supu, wali njegere au nyama roast, au chips au mchanganyo wa kihoteli wapishi watakavyokuwa wameandaa, Silesi ya mkate, jamu, siagi,chai ya maziwa, karanga zilizokaangwa.
Kutokana na uandaaji huu lilikuwa hakuna sababu walimu kula majumbani mwao labda tu akipenda, je, tumesonga mbele kimaendeleo au tumerudi nyuma.