Shule hii Mbeya iko wapi?

Shule hii Mbeya iko wapi?

. Aisee watu mbona mnalinda sana iD zenu. Mnataka mfanye ujambazi nn
Hahaha hapana ila ni vizuri ukiwa hukumbuki ili identity yangu iendelee kuwa anonymous...... Ila nilikuwa naishi bweni la Mkwawa chembani
 
Mkuu dispensary ilikuwa bweni LA Benjamin mkapa
Lile lenye vyemba vizuri liko kati ya shaban Robert na Luthuli
Dispensari imekuwa bweni! Inamaana shule imepiga hatua kubwa kutokomeza maradhi hivyo hakuna wanafunzi wanaougua! Safi sana, natamani nirudi.
 
Yap...nimekumbuka.
Ndo waliamua kuigeuza iwe Bweni, kea kuanzia wakaanza kuwaweka wanafunzi wa Advance.
Bora wangefanya kituo cha afya, waafrika sijui tukoje! Jengo lilijengwa kihospitali likiwa na attachment ya makazi ya mhudumu wa kituo.
 
Back
Top Bottom