Shule hii Mbeya iko wapi?

Shule hii Mbeya iko wapi?

Kwa intro tuu ya mtoa mada, anajua hiyo shule ilienda wapi sema ameamua kutuchallange tuu
Mnaharibu uzi bana na Iyunga yenu..

Turudi kwenye mada, mtoa mada anatala kujua hicho chuo na siyo stori zenu za Iyunga
 
Iyunga ilikuwa bonge la shule
Ila ilikuwa haimilikiwi na serikali kabla
Badaye ndy serikali nyerere wakaja itaifisha....
Shule mwanzoni ilikuwa na mpk swimming pool wabongo walipoichkua sehemu hyo wakaigeuza dampo ya kuweka uchafu

Ova
Hahah...Hamna Mzee, Daah! Lile Swimming pool halijawahi kuwa Dampo la uchafu. Lilibaki tu shimo bila maji, au maji ya mvua yakija bhasi. Lilikuwa halina kazi, lipo lipo tu...ila halikutupiwa uchafu.
 
Hahah...Hamna Mzee, Daah! Lile Swimming pool halijawahi kuwa Dampo la uchafu. Lilibaki tu shimo bila maji, au maji ya mvua yakija bhasi. Lilikuwa halina kazi, lipo lipo tu...ila halikutupiwa uchafu.
Mm nlijua limegeuzwa dampo basi

Ova
 
Wakati ninaondoka swimming pool, gymnasium, laundry, dispensary, dining hall na hot water heaters kila bweni pamoja na wanafunzi na walimu mnakula chakula pamoja kuanzia breakfast mpaka super. Enzi hizo tulikuwa tunalipa ada shs. 2,000/= (elfu mbili) sawa na kununua gari!
Hahaha mipata raha sana asee...hahha...hizo hot water heaters sijawahi kuziona hata mabaki yake nilipoenda kusoma pale...Swimming pool ilibaki shimo tu.

Laundry hii inaweza kuwa yale mabaki niliyaona kule nyuma karibu na jiko, karibu na mashine.

Chakula kula na walimu, hiyo haikuwepi kabisa,Msosi mbaya kabisa

Gymnasium, ilibaki jengo...tulikuwa tunaitumia tumia kidogo kama ukumbi (wa mtihani na viParty vidogo dogo) kiujumla ilikuwa imechoka, zile mbao chini zilikuwa ktk hatua zake za mwisho mwisho.

Dispensary...Sikumbuki ilikuwa upande gani,hahhaa...ila walikuwa kutengeneza ya kigumu tu pale bweni la Shaban Robert.

Dinning ilikuwepo, ila ilikuwa ndogo...tunakula tumesimama, wengine wanatoka kula nje kweny viunga vya maua.

Hahhaha, Najivunia kusoma pale.

Ila ikirudishwa siku nyuma niambiwe nikasome SIENDI.
 
Hahaha mipata raha sana asee...hahha...hizo hot water heaters sijawahi kuziona hata mabaki yake nilipoenda kusoma pale...Swimming pool ilibaki shimo tu.

Laundry hii inaweza kuwa yale mabaki niliyaona kule nyuma karibu na jiko, karibu na mashine.

Chakula kula na walimu, hiyo haikuwepi kabisa,Msosi mbaya kabisa

Gymnasium, ilibaki jengo...tulikuwa tunaitumia tumia kidogo kama ukumbi (wa mtihani na viParty vidogo dogo) kiujumla ilikuwa imechoka, zile mbao chini zilikuwa ktk hatua zake za mwisho mwisho.

Dispensary...Sikumbuki ilikuwa upande gani,hahhaa...ila walikuwa kutengeneza ya kigumu tu pale bweni la Shaban Robert.

Dinning ilikuwepo, ila ilikuwa ndogo...tunakula tumesimama, wengine wanatoka kula nje kweny viunga vya maua.

Hahhaha, Najivunia kusoma pale.

Ila ikirudishwa siku nyuma niambiwe nikasome SIENDI.
Vipi kuhusu Yale machine ya kusaga na kukoboa?
Vipi kuhusu ule ukumbi ambao Una underground space?
 
Vipi kuhusu Yale machine ya kusaga na kukoboa?
Vipi kuhusu ule ukumbi ambao Una underground space?
Mashine ilikuwa inaelekea kuchakaa, imechoka.

Ukumbi safi, ukumbi mzuri sana ule. Pale juu stagini...Safi kabisa.

Ukumbi ulikuwa mchungu siku za mitihani.
 
Mashine ilikuwa inaelekea kuchakaa, imechoka.

Ukumbi safi, ukumbi mzuri sana ule. Pale juu stagini...Safi kabisa.

Ukumbi ulikuwa mchungu siku za mitihani.

Mamamaee usinikumbushe ule ukumbi, mtamu kwa kubambia toto za Loleza tu..... kwenye pepa ni laana.
 
Back
Top Bottom