Chakochangu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,668
- 2,174
Ni kilaza hasa, wapi Ndanda secondary, Mtwara technical, Mtwara girls, Masasi girls.
...kaangalie kwenye matokeo ya form six ya mwaka jana au juzi nadhani hakuna hata moja ya hizo kwenye 50 bora. Ilboru ni ya hamsini na tatu na ndo inawaongoza Wa serikalini. Ingawa Mimi nimo katiyazo, hamnamo kitu anymore....
na ww ni kilaza utaiachaje njombe boys..njoss ina miaka zaidi ya babu yako mkuu
Kahororo yangu please
Nashangaa cjui anaiachaje NJOSS. Ilikua maarufu sn mkoa wa iringa, Tosa na ifunda zilkua haziifikii Njoss. Km nauona ivi msitu wa ndovu apo nalala dom3 gorofan kabsaa
Hebu ongezea Jumuiya secondary school Tanga na Kinondoni Muslim
Embu acha izo mwanawane unanikumbusha mkuu mmoja anaitwa Mbanga, nyie acheni bana. Embu lowassa aingie mdarakani aturejeshee mashule dezaini hii maana naskia jamaa kapania kweli..
Katika hizo shule ulizotaja kuna hata moja ada inazidi milioni? Unaipima akili kwa kusoma shule za bei rahisi. Badilisha title ya thread yako IWE KAMA UMESOMA KATIKA SHULE HIZI BASI WEWE NI MASKINI.
Wajanja waliosoma Loyola, Cambridge , St. Marrys, Makongo, Jite ya enzi hizo, St. Anthony ya miaka hiyo, FEZA boys na nyinginezo nyingi.
Hizo shule ulizotaja hakuna chochote cha maana zaidi ya kujifunza kunywa MATAPUTAPU katika umri mdogo.
KIPIMO HALISI: Angalia tuu mlivyojazana humu JF lazima mtakuwa na kasoro tuu. Au MAPIMBI SQUARE
Katika hizo shule ulizotaja kuna hata moja ada inazidi milioni? Unaipima akili kwa kusoma shule za bei rahisi. Badilisha title ya thread yako IWE KAMA UMESOMA KATIKA SHULE HIZI BASI WEWE NI MASKINI.
Wajanja waliosoma Loyola, Cambridge , St. Marrys, Makongo, Jite ya enzi hizo, St. Anthony ya miaka hiyo, FEZA boys na nyinginezo nyingi.
Hizo shule ulizotaja hakuna chochote cha maana zaidi ya kujifunza kunywa MATAPUTAPU katika umri mdogo.
KIPIMO HALISI: Angalia tuu mlivyojazana humu JF lazima mtakuwa na kasoro tuu. Au MAPIMBI SQUARE
Hizo shule ni kwa zaman siku hizi zimechoka ukipeleka mtoto huko tarajia ataondoka na zero,kwamfano;kwiro secondary mwaka huu kwamatokeo ya advance imekuwa ya mwisho kitaifa.Peleka mtoto wako private schools kama unataka apate elimu bora kwasasa,hiyo Azania secondary nayo iko hoi sasa kwani niliwahi kufanya field ya kufundisha pale yaan wanafunz wa pale sasa ni wakawaida sana hawana tofaut na wanafunz wa shule zingine za kat
Tosamaganga Secondary a.k.a TOSA BOYZ