crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
hapo mi naona ungempongeza Diamond mwenyewe hao mameneja sidhani kama wana impact kubwa sana kwake.Safi sana Diamond na timu nzima ya uongozi wako
Mameneja wa wasanii wengne Tz fanyeni jitihada ktk uwekezaji kwa wasanii wenu ili watambulike kimataifa na tuwe na idadi kubwa ya wasanii wanaohit kimataifa sio kuridhika na vishow vya Kahama, Nachingwea nk
Jifunzeni kwa akina Sallam Sk, Tale na Fella namna walivyopambana kumbrand msanii wao kitaifa na kimataifa licha ya kupata upinzani mkubwa sana wa baadhi ya media house za bongo zikiongozwa na wafitinishaji Clouds media