Afrika Kusini itaipeleka lini Sudan mahakama ya ICJ dhidi ya mauaji ya Janjaweed?

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,621
46,267
Janjaweed ni kundi la wanamgambo Waarabu lililoundwa kwa msaada wa serikali ya Sudan ya wakati huo ya Omar Al-Bashir kupambana na uasi wa kujitenga wa Darfur, inayokaliwa na watu weusi.

Janjaweed wanakadiriwa kuua karibia robo hadi nusu milioni ya watu weusi wakazi wa Darfur katika mauaji ya kimbari, walifanya ubakaji, ulawiti, ujambazi na kila aina ya dhulma dhidi ya binadamu. Pia vita vyao hivyo vilisababisha wakimbizi zaidi ya milioni 2 kutoka eneo hilo.

Wakati haya yote yanafanyika Africa Kusini haijawahi kujigusa hata Umoja wa Africa(AU) kuinyooshea kidole Serikali ya Sudan ya Omar Al-Bashir achilia mbali kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa ya ICJ kutetea weusi wenzao wa huko Darfur waliokuwa wakiishi katika mazingira ambayo wakati mmoja yalijulikana kama nusu ya Jehanamu.

Huu ni unafiki mkubwa nchi hii inafanya huko ICJ katika hii kesi yake dhidi ya Israel.
Fadhila huanzia nyumbani na Darfur ni nyumbani zaidi kwa Africa ya Kusini kuliko Palestina.
 
Janjaweed ni kundi la wanamgambo Waarabu lililoundwa kwa msaada wa serikali ya Sudan ya wakati huo ya Omar Al-Bashir kupambana na uasi wa kujitenga wa Darfur, inayokaliwa na watu weusi.

Janjaweed wanakadiriwa kuua karibia robo hadi nusu milioni ya watu weusi wakazi wa Darfur katika mauaji ya kimbari, walifanya ubakaji, ulawiti, ujambazi na kila aina ya dhulma dhidi ya binadamu. Pia vita vyao hivyo vilisababisha wakimbizi zaidi ya milioni 2 kutoka eneo hilo.

Wakati haya yote yanafanyika Africa Kusini haijawahi kujigusa hata Umoja wa Africa(AU) kuinyooshea kidole Serikali ya Sudan ya Omar Al-Bashir achilia mbali kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa ya ICJ kutetea weusi wenzao wa huko Darfur waliokuwa wakiishi katika mazingira ambayo wakati mmoja yalijulikana kama nusu ya Jehanamu.

Huu ni unafiki mkubwa nchi hii inafanya huko ICJ katika hii kesi yake dhidi ya Israel.
Fadhila huanzia nyumbani na Darfur ni nyumbani zaidi kwa Africa ya Kusini kuliko Palestina.
hiyo kesi inaweza pelekwa na nchi zingine si lazma south africa bara lina nchi 50+ hili kwanini tutegemee wazulu tu
 
Kwani lazima kila kosa wapeleke mahakamani South Africa?

South Africa hawajapeleka kesi ICJ kwa sababu wao ni vinara wa haki wa dunia.

Wamepeleka kesi ICJ kwa sababu rafiki zao waliowaunga mkono wakati wa ubaguzi wa rangi, Wapalestina, wanauawa kwa mafungu na Israel.
 
Janjaweed ni kundi la wanamgambo Waarabu lililoundwa kwa msaada wa serikali ya Sudan ya wakati huo ya Omar Al-Bashir kupambana na uasi wa kujitenga wa Darfur, inayokaliwa na watu weusi.

Janjaweed wanakadiriwa kuua karibia robo hadi nusu milioni ya watu weusi wakazi wa Darfur katika mauaji ya kimbari, walifanya ubakaji, ulawiti, ujambazi na kila aina ya dhulma dhidi ya binadamu. Pia vita vyao hivyo vilisababisha wakimbizi zaidi ya milioni 2 kutoka eneo hilo.

Wakati haya yote yanafanyika Africa Kusini haijawahi kujigusa hata Umoja wa Africa(AU) kuinyooshea kidole Serikali ya Sudan ya Omar Al-Bashir achilia mbali kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa ya ICJ kutetea weusi wenzao wa huko Darfur waliokuwa wakiishi katika mazingira ambayo wakati mmoja yalijulikana kama nusu ya Jehanamu.

Huu ni unafiki mkubwa nchi hii inafanya huko ICJ katika hii kesi yake dhidi ya Israel.
Fadhila huanzia nyumbani na Darfur ni nyumbani zaidi kwa Africa ya Kusini kuliko Palestina.
Kimbelembele kinatusumbua tu.
 
Kwani lazima kila kosa wapeleke mahakamani South Africa?

South Africa hawajapeleka kesi ICJ kwa sababu wao ni vinara wa haki wa dunia.

Wamepeleka kesi ICJ kwa sababu rafiki zao waliowaunga mkono wakati wa ubaguzi wa rangi, Wapalestina, wanauawa kwa mafungu na Israel.
Kumbe ni suala la urafiki zaidi, nilifikiri South Africa wanaumizwa na matatizo ya aina hiyo popote duniani hasa kwa kuzingatia watu walio karibu yao zaidi kama weusi wa Darfur.
Kwa mtindo wa urafiki na kusaidiania kila mtu yuko sahihi kusimama upande anaosimamia.
 
Kumbe ni suala la urafiki zaidi, nilifikiri South Africa wanaumizwa na matatizo ya aina hiyo popote duniani hasa kwa kuzingatia watu walio karibu yao zaidi kama weusi wa Darfur.
Kwa mtindo wa urafiki na kusaidiania kila mtu yuko sahihi kusimama upande anaosimamia.
Ni urafiki zaidi. Kama ni masuala ya haki kwani kuna sehemu ngapi haki imevunjwa na hawajafanya kitu?
 
Janjaweed ni kundi la wanamgambo Waarabu lililoundwa kwa msaada wa serikali ya Sudan ya wakati huo ya Omar Al-Bashir kupambana na uasi wa kujitenga wa Darfur, inayokaliwa na watu weusi.

Janjaweed wanakadiriwa kuua karibia robo hadi nusu milioni ya watu weusi wakazi wa Darfur katika mauaji ya kimbari, walifanya ubakaji, ulawiti, ujambazi na kila aina ya dhulma dhidi ya binadamu. Pia vita vyao hivyo vilisababisha wakimbizi zaidi ya milioni 2 kutoka eneo hilo.

Wakati haya yote yanafanyika Africa Kusini haijawahi kujigusa hata Umoja wa Africa(AU) kuinyooshea kidole Serikali ya Sudan ya Omar Al-Bashir achilia mbali kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa ya ICJ kutetea weusi wenzao wa huko Darfur waliokuwa wakiishi katika mazingira ambayo wakati mmoja yalijulikana kama nusu ya Jehanamu.

Huu ni unafiki mkubwa nchi hii inafanya huko ICJ katika hii kesi yake dhidi ya Israel.
Fadhila huanzia nyumbani na Darfur ni nyumbani zaidi kwa Africa ya Kusini kuliko Palestina.
Swali la kijinga hili kwanini wewe na nchi yako msifanye hivyo?
 
Sudan ni mbali sana! Hapo Eswatini (jirani kabisa na South Africa) kuna mauaji na state violence ya muda mrefu inayofanywa na serikali ya Mswati dhidi ya raia lakini sijaona kesi yoyote ya kimataifa dhidi yake.

Machafuko yanafanyika in their own backyard; South Africa inakwama wapi?

Kuna usemi unasema "charity begins at home".
 
Janjaweed ni kundi la wanamgambo Waarabu lililoundwa kwa msaada wa serikali ya Sudan ya wakati huo ya Omar Al-Bashir kupambana na uasi wa kujitenga wa Darfur, inayokaliwa na watu weusi.

Janjaweed wanakadiriwa kuua karibia robo hadi nusu milioni ya watu weusi wakazi wa Darfur katika mauaji ya kimbari, walifanya ubakaji, ulawiti, ujambazi na kila aina ya dhulma dhidi ya binadamu. Pia vita vyao hivyo vilisababisha wakimbizi zaidi ya milioni 2 kutoka eneo hilo.

Wakati haya yote yanafanyika Africa Kusini haijawahi kujigusa hata Umoja wa Africa(AU) kuinyooshea kidole Serikali ya Sudan ya Omar Al-Bashir achilia mbali kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa ya ICJ kutetea weusi wenzao wa huko Darfur waliokuwa wakiishi katika mazingira ambayo wakati mmoja yalijulikana kama nusu ya Jehanamu.

Huu ni unafiki mkubwa nchi hii inafanya huko ICJ katika hii kesi yake dhidi ya Israel.
Fadhila huanzia nyumbani na Darfur ni nyumbani zaidi kwa Africa ya Kusini kuliko Palestina.
Mashoga mmeumia sana kwa south Afrika kuiburuza Israel mahakamani🤣🤣🤣poleni sana na kunyweni maji mengi ili kupoza machungu
 
Janjaweed ni kundi la wanamgambo Waarabu lililoundwa kwa msaada wa serikali ya Sudan ya wakati huo ya Omar Al-Bashir kupambana na uasi wa kujitenga wa Darfur, inayokaliwa na watu weusi.

Janjaweed wanakadiriwa kuua karibia robo hadi nusu milioni ya watu weusi wakazi wa Darfur katika mauaji ya kimbari, walifanya ubakaji, ulawiti, ujambazi na kila aina ya dhulma dhidi ya binadamu. Pia vita vyao hivyo vilisababisha wakimbizi zaidi ya milioni 2 kutoka eneo hilo.

Wakati haya yote yanafanyika Africa Kusini haijawahi kujigusa hata Umoja wa Africa(AU) kuinyooshea kidole Serikali ya Sudan ya Omar Al-Bashir achilia mbali kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa ya ICJ kutetea weusi wenzao wa huko Darfur waliokuwa wakiishi katika mazingira ambayo wakati mmoja yalijulikana kama nusu ya Jehanamu.

Huu ni unafiki mkubwa nchi hii inafanya huko ICJ katika hii kesi yake dhidi ya Israel.
Fadhila huanzia nyumbani na Darfur ni nyumbani zaidi kwa Africa ya Kusini kuliko Palestina.
UNAFIKI UGONJWA
 
Mashoga mmeumia sana kwa south Afrika kuiburuza Israel mahakamani🤣🤣🤣poleni sana na kunyweni maji mengi ili kupoza machungu
Sasa wamezuia kichapo gaza.....mda huu kinaendelea kaumia nani???
MASHOGA WANAWANYOOSHA SINCE 1920,S.....MNAISHIA TU KUIMBA NGONJERA NA MATUSI
 
Kwani lazima kila kosa wapeleke mahakamani South Africa?

South Africa hawajapeleka kesi ICJ kwa sababu wao ni vinara wa haki wa dunia.

Wamepeleka kesi ICJ kwa sababu rafiki zao waliowaunga mkono wakati wa ubaguzi wa rangi, Wapalestina, wanauawa kwa mafungu na Israel.
ILA WAO WAARABU WALIPOWAUA KWA MAFUNGU WAYAHUDI OCTOBER 07 NI SAWA.... ...
ACHA WAPIGANE ILI WAHESHIMIHANE
 
Back
Top Bottom