covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,879
- 10,594
Kuna jambo la ubunifu wa hali ya juu unafanyika katika matamasha ya wasafi 2023 lichavya kuonekana wasanii wakiongozwa na diamond platnumz kama wanatumia mamilioni ya pesa ila kuna kitu kipta kinazaliwa kwenye sanaa ya mziki wa Tanzania.
Hakika ubunifu wao umewagusa watu mbalimbali africa na duniani na kupelekea mijadala kwa baadhi ya nchi kuhusu ubunifu huo mbalimbali wa majukwaa na perfomance..
Kwa kinachoendelea wasanii wa Tanzania wajiandae kisaikolojia na watumie nafasi vizuri maan soon watagombaniwa na mapromota wa mataifa mbalimbali na kwenda kutumbuiza huko nje ya nchi.
Wasanii maibweteke na kurizika hakikisheni mnakula sahani moja na diamond huyo jamaa ni next level anajua nini dunia na africa inataka kwenye burudani ya music.
Hongera sana wasafi festival na diamond platinum kwa kutuwakilisha vyema tanzania..
Hakika ubunifu wao umewagusa watu mbalimbali africa na duniani na kupelekea mijadala kwa baadhi ya nchi kuhusu ubunifu huo mbalimbali wa majukwaa na perfomance..
Kwa kinachoendelea wasanii wa Tanzania wajiandae kisaikolojia na watumie nafasi vizuri maan soon watagombaniwa na mapromota wa mataifa mbalimbali na kwenda kutumbuiza huko nje ya nchi.
Wasanii maibweteke na kurizika hakikisheni mnakula sahani moja na diamond huyo jamaa ni next level anajua nini dunia na africa inataka kwenye burudani ya music.
Hongera sana wasafi festival na diamond platinum kwa kutuwakilisha vyema tanzania..