Imma mwasemele
New Member
- Jul 31, 2012
- 1
- 1
Tusubiri ushahidi, kama ni kweli achukuliwe hatua.
NOT ONLY zitto,yeyeyote atakayebainika afukuzwa mara moja.
Zitto, acha kupiga watu mkwara hapa, kusema ukweli, siku zote huwa napenda iwepo chadema bila zitto, mbona hauaminiki? Gorofa lile la mbezi umepata wapi pesa, justify it hapahapa ili watu wakuamini, na je, hummer hiyo ulinunua kwa pesa gani? eleza hapa, au ndo zile za mfuko wa bunge ambazo ulijifanya kukataa?Kwa utaratibu wako Zitto is a virus, no doubt, lakini hiyo ni kujikaanga kama watamfukuza kwa chuki. Zitto hajahongwa hata kidogo! Subirini midomo itakuwa wazi, lazima Lissu angemtaja kama angechukua rushwa but haikuwezekana hata kidogo. Najua CDM wanahangaika sana kumtoa Zitto but kama ni chama cha haki hawataweza lakini kama ni chamfukoni they will do that! and they will see what happens baada ya hapo.
ni kweli mkuu. Hata zzk naye kashindwa kuwa mwangalifu katika hilo, rejea kauli yake mitandaoni kuwa shutuma za rushwa ni vita ya presidential aspirants na wapambe wao toka vyama vyote (meaning chadema is also among those parties). Hii ni kauli mbaya sana, kwasababu naamini hata baada ya yeye kuwa cleared na cc ya chadema kuhusika na shutuma hizi, then litaibuka jingine na litashikiwa bango na wabaya wa chadema kuwa zzk alikuwa framed kuhusika na rushwa by his own party ili asigombee urais 2015 (iwapo katiba mpya itamruhusu).
So, ninachotaka ku-caution hapa ni zzk na wenzake ndani ya chama kuwa makini na kauli zao wakati wakishughulikia sakata hili ili whatever the outcome, chama chao kibaki salama na united. Ni hayo tu wakuu!
Jmushi1, mkuu tafadhali... Hivi nikikwambia wewe kwamba Dr.Slaa, Mbowe na Lissu walishachukua Hongo utanijibu nini? Je, nao tutawaweka kwa Kaizali, misumari na msalaba ikiwa pembeni? au...Labda nikuulize wewe Zitto ata prove vipi kesho ikiwa hajachukua. I mean wewe kama ungekuwa nafasi ya Zitto na hujachukua hongo utaweza vipi ku prove hujachukua? kwa kuonyesha bank account, warrant ya house search ama ungefanya nini. Kwa nini tunakuwa wepesi sana kuhukumu watu wengine wakati hatufahamu hata yenyewe ni yapi..Nilipenda hii iwe poll, mods please if you can help on that I will appreciate. Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa, inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,
Yaani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?
Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired, usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared, just do the same.
I think you mean calm down.........come down!
Zitto ni sawa na kindama kilichotoroka kwenye zizi kwenda kula na mafahali kikajiona na chenyewe ni fahali sasa madume yameaanza kupambana ndo kinajua kuwa kina baba na mama kinataka kurudi zizini CDM MPENI HAKI YAKE KAMA MLUNGULA KALA ACHINGIWE BAHARINI KWANZA VUA UNAIBU KATIBU THEN PELEKA PCCB AKAFIE HUKO DONT SPILL HIS BLOOD INSIDE THE PARTY.
Zitto, acha kupiga watu mkwara hapa, kusema ukweli, siku zote huwa napenda iwepo chadema bila zitto, mbona hauaminiki? Gorofa lile la mbezi umepata wapi pesa, justify it hapahapa ili watu wakuamini, na je, hummer hiyo ulinunua kwa pesa gani? eleza hapa, au ndo zile za mfuko wa bunge ambazo ulijifanya kukataa?
Hapo bungeni unapata shilingi ngapi? Weka wazi biashara zako unazozifanya ili watu tusiwe na wasiwasi na wewe, halafu, tunaomba usiwe kirusi kwa chadema, kwasababu wewe si muhimu kwetu kuliko chadema...please and please!
Mkuu swali lako kuhusu kina Slaa kuchukuwa rushwa ni rhetoric?Jmushi1, mkuu tafadhali... Hivi nikikwambia wewe kwamba Dr.Slaa, Mbowe na Lissu walishachukua Hongo utanijibu nini? Je, nao tutawaweka kwa Kaizali, misumari na msalaba ikiwa pembeni? au...Labda nikuulize wewe Zitto ata prove vipi kesho ikiwa hajachukua. I mean wewe kama ungekuwa nafasi ya Zitto na hujachukua hongo utaweza vipi ku prove hujachukua? kwa kuonyesha bank account, warrant ya house search ama ungefanya nini. Kwa nini tunakuwa wepesi sana kuhukumu watu wengine wakati hatufahamu hata yenyewe ni yapi..
Kesho, ni just press conference, kukana hizi tuhuma ambazo Maswi mwenyewe anazikana hajamtaja mtu kwa jina isipokuwa alisema Wanaomtetea Mhando ni kwa sababu wanafanya bishara na Tanesco. Kina nani hao hataki kuwataja!. Na tunajua ukweli alitaja lakini anaruka baada ya kubanwa.. Maswi sii mkweili hata kidogo.
Sasa kama hakusema yeye ni nani alowalitaja jina la Zitto kuhusika na hata kuongezea sababu ya kwmaba ndio maana hapokei posho..Haya madudu yote, haya ring something fishy is goin' on!..
Vipi umeshtuka?...ebu nambie kwanza majibu yako wewe utawasulubu kwa tuhuma zangu?Mkuu swali lako kuhusu kina Slaa kuchukuwa rushwa ni rhetoric?
Unamaanisha kunijulisha kuwa wamechukuwa rushwa?
Hapo red sijakuelewa, huenda ulimaanisha spared.
I still have trust in Zitto.
Nasita sana kuamini kuwa this too smart boy could be tempted with money-thing!
Aidha naijutia siku ambayo kamati itagundua na kuweka wazi kuwa Zitto amepokea rushwa in the name of money or whatever token!
Heri ziku hiyo isingalizaliwa chini ya jua!
Vipi umeshtuka?...ebu nambie kwanza majibu yako wewe utawasulubu kwa tuhuma zangu?
aisee mbona maneno machache hivi,hii ni ajabu. Hebu tupe mawazo yako juu ya hili swala maana tangu Regia kafariki hakuna hata mmoja wenu amekuja kuziba pengo lake.