Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Wachaga tutawaachia Chadema yenu mbaki peke yenu ndio mtafurahi! Zitto siasa hizi za kibaguzi kutumia ukabila hazitawafikisha Chadema mbali!
Nilipenda hii iwe poll, mods please if you can help on that I will appreciate. Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa, inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,
Yaani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?
Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired, usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared, just do the same.
Kweli mkuu CCM nayo imepata fursa ya kufanya vyake pia. Kila chama itatumia nafasi hii kujiendeleza na kuangamiza washindani wake.Nadhani Zitto amefanya uamuzi wa busara kutaka chama chake kifanye uchunguzi kuhusu hili suala. Ccm wanaweza kumhusisha na mambo yao ya rushwa ili kuivuruga chadema. Ccm siyo trustworthy hata kidogo. Chadema wafanye uchunguzi wao wa kichama, na matokeo watakayoyapata ndo yawaongoze kuchukua hatua kwa mujibu wa katiba, kanuni na taratibu zao.
True, it will be sad if he gets implicated.
Watu, hasa waandamizi ndani ya CDM wanaoshadadia hii ishu kwa ushabiki tu, badala ya kusubiri majibu ya tume ya uchunguzi nawasikitikia. Kimsingi wale wenye akili zao wanaongea very cautiously bila dalili za kumtuhumu mtu binafsi!
Madhara ya ushabiki huu wa kijinga yatakuja kuonekana siku mambo haya yatakapokuwa proved wrong! watu watakimbia na maofisini, na huu utakuwa ufa ndani ya chama ambao unaweza kukipeleka chama kunako jehanam.
Tufanye ushabiki ambao ni rational.
Kweli mkuu CCM nayo imepata fursa ya kufanya vyake pia. Kila chama itatumia nafasi hii kujiendeleza na kuangamiza washindani wake.Nadhani Zitto amefanya uamuzi wa busara kutaka chama chake kifanye uchunguzi kuhusu hili suala. Ccm wanaweza kumhusisha na mambo yao ya rushwa ili kuivuruga chadema. Ccm siyo trustworthy hata kidogo. Chadema wafanye uchunguzi wao wa kichama, na matokeo watakayoyapata ndo yawaongoze kuchukua hatua kwa mujibu wa katiba, kanuni na taratibu zao.
True, it will be sad if he gets implicated.
Jmushi1,
Ni lazima uwepo ushahidi unaojitosheleza na usio na mashaka juu ya tuhuma.
Huko nyuma alishawahi kusema ikithibitika amechukua rushwa atajiuzulu ubunge na waziri Mkulo naye aahidi, matokeo yake sakata likaisha ukiwa ni ushidi kuwa alitaka kuzushiwa tu. Tunawezaje kusema huu na si uzushi tu!
Lakini kwanini iwe ZZK wakati bunge zima linanuka rushwa! tena zenye ushahidi. Si wao ndio wanufaika wa 'Jairo mapesa' n.k. Si wao ndio wapo kwenye kamati kama za akina Kafulila zinazochukua rushwa kama allowance!
Politically, CDM wasijaribu hili. Walishajifunga mikono huko nyuma kwa kushindwa kuchukua hatua dhidi ya watu mbali mbali. Kwa mazingira yaliyopo si muafaka hata kuongelea. Just a caution!
kila jambo lina sababu zake zitto kashatimiza wajibu wake sasa aende tu ,do u knw how much one virus can damage miilion of good cells?
yeye ni mbunge, ametoa wapi hela za kununulia hummer, na lile gorofa anajenga mbezi beach?...jamaa ni mnafiki sana, anajifanya anaongea sana kumbe ananunulika tu. wengi wanamtuhumu kuwa amekula bilioni mbili wengine tatu za sisiemu ili aiangushe chadema kabla ya 2015.
Ndiyo mkuu nilimaanisha "spared", nashukuru kwa masahihisho.Nakubaliana na wewe,lakini pia kumbuka Mh Zitto amesema hizi ni siasa za majitaka na kwamba hakuna ushahidi,pia amedai ni siasa za urais,hii ina maan anaamini kuwa anapigwa vita ndani ya chama na pengine kinahusika kumchafua kwa rushwa?
Ni kweli unachosema,hatujajuwa bado ni kwanini anamsapoti Mhand😵n the other hand,yeye anaelekeza tuhuma kuelekea huko huko kwamba ni siasa za urais.Wanaodai hivyo si ni CCM cuz CDM hawakutoa hizi tuhuma........in any case binafsi sijamuelewa anachomsapoti Mhando ni nn
Umezungumza pointi za maana sana,je hata kama haya yakipita,na let's say Zitto didn't get fired,unadhani hatalitumia hilo kama mtaji wa kisiasa ukizingatia ameshayahusisha na urais?amelikoroga kinyama yani,let's wait and see,ila nimependa maoni ye wengi.Ni kweli mkuu. Hata ZZK naye kashindwa kuwa mwangalifu katika hilo, rejea kauli yake mitandaoni kuwa shutuma za rushwa ni vita ya presidential aspirants na wapambe wao toka VYAMA VYOTE (meaning Chadema is also among those Parties). Hii ni kauli mbaya sana, kwasababu naamini hata baada ya yeye kuwa cleared na CC ya Chadema kuhusika na shutuma hizi, then litaibuka jingine na litashikiwa bango na wabaya wa Chadema kuwa ZZK alikuwa framed kuhusika na rushwa by his own party ili asigombee urais 2015 (iwapo katiba mpya itamruhusu).
So, ninachotaka ku-caution hapa ni ZZK na wenzake ndani ya chama kuwa makini na kauli zao wakati wakishughulikia sakata hili ili whatever the outcome, chama chao kibaki salama na united. Ni hayo tu wakuu!