Should CHADEMA Fire Zitto?

Should CHADEMA Fire Zitto?

Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

  • YES

    Votes: 137 65.9%
  • NO

    Votes: 57 27.4%
  • May be

    Votes: 10 4.8%
  • I don't know

    Votes: 4 1.9%

  • Total voters
    208
Status
Not open for further replies.
Zitto siyo mnafiki mara nyingi kauli za zito zinabase kwenye ukweli mara nyingi selikari iliyopo madarakani kama inafanya kitu kizuri kwa manufaa ya wananchi na taifa kiujumla mara nyingi Zitto anazipongeza zile wizara and if itz vise versa Zitto tends to b vise versa too so huo unafiki wa Zitto upo wapi?
Endelea kusinzia mkuu na mawazo yako hasi
 
Mtu akifanya vibaya na tukimsema wengine wanasema öooh! kwa vile Muislam ndio maana anaandamwa,hapa hatuangalii hayo mambo hata akiwa ni Mkiristo angeambiwa haya haya wala hakuna kumung'unya maneno wakuu,Zitto ni mzigo kwa sasa ndani ya CDM anaebisha na abishe tuu kwani sijaona mchango wake kwenye M4C
 
Kama kweli ikithibitika kuwa kapokea mlungula, asepe wala asingoje kufukuzwa, maana ni aibu kubwa, mimi binafsi nina mtrust cna, but if he has received that dirty money, to hell let him go.
 
ha ha ha! Ghafla umeivua miwani ya mbao!

mkuu unajua imi binafsi huwa nawaamini sana viongozi wa CHADEMA na hata lilipokuja swala la Zitto kabwe na shutuma mbalimbali nilidhani ni just rumous tu zenye chuki binafsi, kiukweli Zitto Kabwe ni jembe langu na mara nyingi nilikuwa nikitumia nguvu kubwa kumtetea lakin mwisho wa siku nikaja kurealize that Zitto habebeki kulingana na mambo yake anayoyafanya kwa makusudi, but from this moment am jxt surrender to him.

ZITTO BADILIKA KAKA KWANI TAIFA NA VIJANA WENZIO TUNAKUHITAJI SANA NA TUMEMIS YULE ZITTO WA ENZI ZA BUZWAGI.
 
Mtu akifanya vibaya na tukimsema wengine wanasema öooh! kwa vile Muislam ndio maana anaandamwa,hapa hatuangalii hayo mambo hata akiwa ni Mkiristo angeambiwa haya haya wala hakuna kumung'unya maneno wakuu,Zitto ni mzigo kwa sasa ndani ya CDM anaebisha na abishe tuu kwani sijaona mchango wake kwenye M4C

sisi bwana hatuangalii dini ya mtu mbona hata Nape, shibuda, wassira japokuwa ni wakristo lakini sisi huwa tunawapa makavu live pasipo kujali mtu.
 
Nakubaliana na wewe mkuu,ila unataka kusema Zitto ndo muislam peke yake chadema?Maana sasa chadema wanaweza kuwajengea waislam hisia kwamba Zitto ni a "token",kama unataka kujuwa maana ya hilo neno token,ni pale wazungu wanapomwajiri mtu mweusi mmoja ili kuondoa ile dhana ya ubaguzi.Hilo ndo naona kama linataka kutokea.CDM haikutakiwa iwe kwenye hiyo position.

Hivi viongozi waislam chadema ni wangapi?ccm je?I mean nafahamu hatuwezi kuvilinganisha vyama hivyo moja kwa moja kwasababu ccm ni chama kikongwe,lakini ukisema Zitto akifukuzwa chamani basi waislam watasema ni kwasababu ya dini yake,hilo tayari ni tatizo kuliko hata Zitto mwenyewe.I'm just sayin...

Mkuu polisi wameuwa morogoro, lakin ccm na vijana wao wakageuza ukweli kuwa uwongo. Ally kauliwa ccm wamefanya mtaji umewasikia kwa masikio yako.

Japo wapo wengi tena sana waislam ndan ya cdm, lakin pasiwe na ufa ccm kulaghai watanzania. Kama kujimaliza aachwe kujimaliza zito mwenyewe paiwepo visingizio.
 
I support awe fired.
1. Ni kiongozi wa kwanza ndani ya Chadema kupatikana na tuhuma za rushwa.
2. Anatuhumiwa kuwasiliana na mafisadi ndani ya ccm.
3. Anatuhumiwa kumiliki mali ambazo haziendani na kipato chake.
4. Ana uroho wa madaraka mara anataka urais umwenyekiti ukatibu mkuu.
5. Anakuwa pamoja na vióngozi wa ccm etc.
Kama hizi tuhuma zote ni za uöngo kwanini iwe kwake tu. Huyu jamaa mimi sina imani naye na suala la dini yake sina shida nalo, sababu akifanya haya wengine wanakimbilia kwa sababu ni mwislam hili la dini mimi nalineglect.
 
Mkuu polisi wameuwa morogoro, lakin ccm na vijana wao wakageuza ukweli kuwa uwongo. Ally kauliwa ccm wamefanya mtaji umewasikia kwa masikio yako.

Japo wapo wengi tena sana waislam ndan ya cdm, lakin pasiwe na ufa ccm kulaghai watanzania. Kama kujimaliza aachwe kujimaliza zito mwenyewe paiwepo visingizio.
Lakini swali ni je wananchi wameununuwa uongo huo?Kama CDM ni kweli wanaogopa kumsuspend kwasababu ni muislam,basi ina maana unakiri kuwa kuna tatizo?
 
Right on the money,very sad though.Halafu mtu unaona kabisa plan yako iko out on the open,lakini bado tu.Nimesikitishwa sana kwani nilikuwa namwamini sana muheshimiwa huyu,na nikidhani ni kiongozi shupavu kabisa.Lakini kama ulivyosema,toka ile kamati ya madini,JK nadhani alimwingiza mkenge akamwambia "we muislam mwenzangu achana na hao makafiri",yani I can see that.Very sad indeed coz hawajali maslahi ya Taifa hili.

very sad! CDM looks to be well organised, like those vanguard parties which led revolutions, i mean changes each'and every member is vouched, tracked and eventually vetted. Tactical retain of members notwithstanding of visual appearance can be party plans. Munajuaje kama Zkk hajawa planted na CDM kwa Jk na ccm'apate siri za huko. Sorry'CDM: kama'nimetegua'mtego. Hv mlishasikia Slaa'au CDM ikimlalamika khs Zitto? Msicheze'na'mabadiliko?
 
Kitu ninachojua kwa WATANZANIA!! Wao na rushwa huwa damdam! Sote tunapeana Rushwa kama si za kitu kidogo basi zile favor za kujuana!! Ila ndio hivyo tunasonga!! Simtetei mla rushwa yeyote au mtuhumiwa wake... kama amekula si kala kama wengine wanavyokula!!! hivi mbona wale wengine hawajachukuliwa hatua?? TUNAPASWA KUCHUKUA HATUA KOTE BILA KUBAGUA.. tatizo tulishavidharau vyombo vyote husika na vinaendeshwa kama taasisi binafsi si TAKUKURU wala zile zitaasisi za MAADILI!!
 
CDM haina jeuri ya kumfukuza Zitto, ni kweli wanamchukia lakini watamvumilia kwaajili ya kulinda matumbo yao. Ukitoa Zitto na mbowe anabaki yule mcheza ngoma wa kinyaturu(lissu aka mzee wa kulia lia)
 
very sad! CDM looks to be well organised, like those vanguard parties which led revolutions, i mean changes each'and every member is vouched, tracked and eventually vetted. Tactical retain of members notwithstanding of visual appearance can be party plans. Munajuaje kama Zkk hajawa planted na CDM kwa Jk na ccm'apate siri za huko. Sorry'CDM: kama'nimetegua'mtego. Hv mlishasikia Slaa'au CDM ikimlalamika khs Zitto? Msicheze'na'mabadiliko?
That's more of a "wishful thinking",yani kwamba chadema wamemplant Zitto kwa JK.Hakuna siri yoyote anayoweza kuitoa kwa JK aipeleke chadema.Hilo ni too "far fetched".Hadi aache kumpigia kampeni mgombea wa chama chake,unajuwa hilo limewa cost how many votes?Kama hiyo assumption yako ni ukweli basi ni a blunder!

Pili,kuna tena mahusiano yake na mmojawapo wa wale waliotuhumiwa kumteka na kumtesa Dr Ulimboka,hayo si mambo mazuri ya kuhusishwa na kiongozi aliyeko kwenye chama kinachotarajiwa kuleta ukombozi Tanzania.
 
CDM ikimfukuza Zitto basi chama kinakufa. Zitto peke yake ndio mwenye msimamo,wengine wote ni makaragosi.
Kauli yako itakuwa kweli kama chadema ni chama dhaifu.
 
CDM haina jeuri ya kumfukuza Zitto, ni kweli wanamchukia lakini watamvumilia kwaajili ya kulinda matumbo yao. Ukitoa Zitto na mbowe anabaki yule mcheza ngoma wa kinyaturu(lissu aka mzee wa kulia lia)
Unaweza kufafanuwa zaidi hayo mambo yanayolindwa kwa kutokumfukuza Zitto?
 
Lakini swali ni je wananchi wameununuwa uongo huo?Kama CDM ni kweli wanaogopa kumsuspend kwasababu ni muislam,basi ina maana unakiri kuwa kuna tatizo?



Mkuu tatizo lipo.

Lakin kama kiongozi anajimaliza na unafaham vema zito anajimaliza haraka zenu za nin?

Watanzania tunauelewa wa aina mbali mbali, hususan linapokuja suala la din. Hapa wengi wetu huwa tunafuata nan kasema nin wote tunaelekea huko bila kutafakali.

Hivyo kwakuwa ni suala la kuchafuka, kwa adui kutumia udhaifu wa kiiman, Zito, ccm na wapenda siasa za maji taka waachwe wakishuhudia mtego wao ukilemaa bila kufyatuka na hivyo cdm haitanasa.

Isipokuwa tume ikithibitisha, ccm na siasa ya maji taka itakuwa imekula kwao na Zito anaweza kutoswa bila kuathili mwenendo wa cdm kimkakati kwa watanzania.
 
Mkuu tatizo lipo.

Lakin kama kiongozi anajimaliza na unafaham vema zito anajimaliza haraka zenu za nin?

Watanzania tunauelewa wa aina mbali mbali, hususan linapokuja suala la din. Hapa wengi wetu huwa tunafuata nan kasema nin wote tunaelekea huko bila kutafakali.

Hivyo kwakuwa ni suala la kuchafuka, kwa adui kutumia udhaifu wa kiiman, Zito, ccm na wapenda siasa za maji taka waachwe wakishuhudia mtego wao ukilemaa bila kufyatuka na hivyo cdm haitanasa.

Isipokuwa tume ikithibitisha, ccm na siasa ya maji taka itakuwa imekula kwao na Zito anaweza kutoswa bila kuathili mwenendo wa cdm kimkakati kwa watanzania.
Kweli ni "a noose" around CDM's neck.Hiyo tume haina mkono wa ccm?kwahiyo unadhani itafanya kazi ya aina gani?tume hiyo ni huru?una imani nayo?

Kama kuna viongozi wa juu wa chama kutofautiana siyo mbaya kabisa kwenye demokrasia ya kweli.Lakini tofauti hizo zisiwe kwenye fundamental issues.

Hivi ameshawahi kusema ni kwanini hashiriki kwenye m4c?Halafu ina maana yeye na serikali ya ccm inayodhibiti harakati hizo hata kwa mauwaji,they see "eye to eye"?
 
CDM nadhani inanufaika na upopo wa Zitto. Na ninaamini kama ni kumtumia basi CDM inamtumia ZZK kwa maslahi yake zaidi ya Sisiem. Inawezekana hata ZZK hajui alivyo mataji kwa CDM.
Ninauhakika urafiki wa viongozi wa CDM na ZZK ni wa mashaka, lakini kwa Sisiem ni damu damu hasa kwa vile Sisiem imejengwa juu ya persons na CDM juu ya sera
 
Achaneni na huyu! Maana sijui Dr. Slaa utawajibu nini raia wakianza kuzomea na ku-shout "tunamtaka huyo mnafiki aongeeeee... . . ." Wala cdm wasing'ang'anie sana kwenda na zito kwenye M4C, Maana wananchi kama wa mwanza, Mbea, A.Town, na universities hawatochelewa kumzomea hadi kujutia kua mwanasiasa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom