Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 426
Endelea kusinzia mkuu na mawazo yako hasiZitto siyo mnafiki mara nyingi kauli za zito zinabase kwenye ukweli mara nyingi selikari iliyopo madarakani kama inafanya kitu kizuri kwa manufaa ya wananchi na taifa kiujumla mara nyingi Zitto anazipongeza zile wizara and if itz vise versa Zitto tends to b vise versa too so huo unafiki wa Zitto upo wapi?