MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 275
Achaneni na huyu! Maana sijui Dr. Slaa utawajibu nini raia wakianza kuzomea na ku-shout "tunamtaka huyo mnafiki aongeeeee... . . ." Wala cdm wasing'ang'anie sana kwenda na zito kwenye M4C, Maana wananchi kama wa mwanza, Mbea, A.Town, na universities hawatochelewa kumzomea hadi kujutia kua mwanasiasa!