Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,050
- 748
sidhani kama anachukiwa na wenzake, kwa sababu huwa anawafuturishahoja yako ya kufitinisha watu kwa itikadi zao, matatizo ya waislamu unayajua?, kama ilivyo sasa wananchi wa tz hawaitaki ccm na sasa wanataka mabadiliko ni kwa sbb ya mattzo waliyoyapata katika utawala wa ccm.
Waislamu kuna matatizo mengi sana yaliyosababishwa na serikali ama mfumo mbovu au hila za watendaji wasiokuwa waislamu kuhujumu uislamu mfano, matokeo ya islamic knowledge kuhujumiwa na serikali kukiri suala hilo. So hapa ukileta hoja za kiongozi kuchaguliwa kidin sikuelewi maana rais ni muislamu lakn anachukiwa na wote.
Ndugu zetu unawategeshea ubwabwa tu watakupenda kilaiiinii wala huhitaji kutumia hela