Mhn!hii nimeisikia leo,siwezi kukubishia kwasababu sizijui issue za chadema kwa undani.Hakuna mwenye jeuri hiyo cdm wala msiote uamuzi huo ndani ya cdm, shibuda mwenyewe wakabaki wanatishia tu, wakamgwaya wajaribu kwa zito wafe mwezi huo huo, mbowe anajua faida ya kuwa na zito kwa maana ya ruzuku kuwa kubwa ili madeni yake alokopesha chama yalipwe kwa wakati ndo maana hata shibuda wakamgwaya na mauchau yao.
yes they should fire him coz huyu jamaa amezidi sintofahamu anahusishaje tuhuma zake na urais wakati bado kuna miaka 3 mbele kufikia kampeni? au anataka atumie urais kama kichaka chake cha kutokujadiliwa hata pale anaposhutumiwa?..Aende zake huko mbali akagombee kama mgombea binafsi au akajiunge na SAU huko hakuna atakayemjadili sana.
Zitto hatakuwa na hatia, naamini hivyo.
Acheneni na zito atajimaliza mwenyewe kama kweli yupo hivyo na kufutika katika siasa
Ni kweli. Huwezi kujadili mapinduzi ya kidemokrasia bila kuwataja wafuatao; Zitto Kabwe, Dr. Willbrod Peter Slaa, Marehemu Chacha Wangwe na Hayati Phares Kabuye (Biharamulo magharibi). Tatizo la Zitto niliwahi kuandika na narudia kuandika, anapenda mno sifa, ni mnafiki na hana msimamo na ana tabia ya kujikombakomba kwa wakubwa hasa JK.
Zitto alianza kuyumba baada ya kuteuliwa kwenye tume ya madini. Hata Nimrod Mkono aliwahi kumtuhumu kwa kupewa pipi na kukaa kimya wakati watu migodini wanakufa.
Kubali msikubali Zitto anatumiwa na ntatoa mifano:Zitto amekuwa kinara wa kueneza dhana potofu kwamba chadema ni chama cha udini, Mzee Mtei aliposema tume ya maoni ya katiba imejaa waislamu wengi( of course ni kweli maana out of 34 members, wakristo ni 9 tu) Zitto alisema amezeeka na azomewe kila mahali, Kumbuka alitaka kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni wakati huku tunafuata mfumo wa commonwealth ambapo mwenyekiti wa chama cha upinzani akiwa mbunge, automatically anakuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, Zitto akiwa na JK Sudan kusini,Jk alisikika akisema kwamba watanzania wategemee mbunge kijana atakayemrithi.Iko hivi; Zitto anataka awavuruge chadema ili afukuzwe na akifukuzwa ionekane si kwamba kafukuzwa kwa unafiki wake, bali UISLAMU wake na atimkie CCM ili JK amsupport agombee Urais! Tayari atakuwa na kura za waislamu wote!CDM fukuza haraka huyu mnafiki!
Nimeipenda sana hiyo id,muda si muda tutakuja kuta kuna mtu mwenye id ya "Desemba Manyuzi" lol!hata akipata kura za waisilamu wote itakuwa asilimia 35 tu ya watanzania
Wakristo wa ccm wataondoka na hawezi kupita tu na kugombea kwa tiketi ya ccm kumbuka kuna akina lowasa, mwakyembe, ma wengineo wengi.
Pia ukumbuke kuwa wakristo hatutaki muisilamu tena kuwa rais hii ni zamu yetu hawa jamaa ukiwaachia nchi ndio unaanza kuona maandamano ya kijinga na migomo ya kipuuzi kama mtu kugomea sensa. nakumbuka enzi za mwinyi pia walianza upuuzi mpaka pale mrema alipowapa kipigo ndio wakaufyata
Uzuri ni kwamba watu wengi wameisha mshtukia tayariWho is ZITO? Yeye ninani? Kwani chadema ni Zitto tuuu!Hakuna mtu anaebeba entity ya Chadema individually! Yeyote atakaethibitika hana sifa ya Uadilifu AONDOLEWE! kama chama ni watu walivyoachia madaraka waasisi wa chadema kina Mtei na Marehemu Bob makani Chama si kingekufaa.Acheni kuogopa watu Hataufanye mema milioni kumi tutahesabu lile baya lako moja.
Right on the money,very sad though.Halafu mtu unaona kabisa plan yako iko out on the open,lakini bado tu.Nimesikitishwa sana kwani nilikuwa namwamini sana muheshimiwa huyu,na nikidhani ni kiongozi shupavu kabisa.Lakini kama ulivyosema,toka ile kamati ya madini,JK nadhani alimwingiza mkenge akamwambia "we muislam mwenzangu achana na hao makafiri",yani I can see that.Very sad indeed coz hawajali maslahi ya Taifa hili.Ni kweli. Huwezi kujadili mapinduzi ya kidemokrasia bila kuwataja wafuatao; Zitto Kabwe, Dr. Willbrod Peter Slaa, Marehemu Chacha Wangwe na Hayati Phares Kabuye (Biharamulo magharibi). Tatizo la Zitto niliwahi kuandika na narudia kuandika, anapenda mno sifa, ni mnafiki na hana msimamo na ana tabia ya kujikombakomba kwa wakubwa hasa JK.
Zitto alianza kuyumba baada ya kuteuliwa kwenye tume ya madini. Hata Nimrod Mkono aliwahi kumtuhumu kwa kupewa pipi na kukaa kimya wakati watu migodini wanakufa.
Kubali msikubali Zitto anatumiwa na ntatoa mifano:Zitto amekuwa kinara wa kueneza dhana potofu kwamba chadema ni chama cha udini, Mzee Mtei aliposema tume ya maoni ya katiba imejaa waislamu wengi( of course ni kweli maana out of 34 members, wakristo ni 9 tu) Zitto alisema amezeeka na azomewe kila mahali, Kumbuka alitaka kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni wakati huku tunafuata mfumo wa commonwealth ambapo mwenyekiti wa chama cha upinzani akiwa mbunge, automatically anakuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, Zitto akiwa na JK Sudan kusini,Jk alisikika akisema kwamba watanzania wategemee mbunge kijana atakayemrithi.Iko hivi; Zitto anataka awavuruge chadema ili afukuzwe na akifukuzwa ionekane si kwamba kafukuzwa kwa unafiki wake, bali UISLAMU wake na atimkie CCM ili JK amsupport agombee Urais! Tayari atakuwa na kura za waislamu wote!CDM fukuza haraka huyu mnafiki!
If proved guilty should go. Issue ni ushaidi tutaupata wapi? Kama kuna uwezekano wa kupata ushaidi inabidi aondoke. Km CDM watashindwa kumuondoa watakuwa wamecheza sana faulu.
hata akipata kura za waisilamu wote itakuwa asilimia 35 tu ya watanzania
Wakristo wa ccm wataondoka na hawezi kupita tu na kugombea kwa tiketi ya ccm kumbuka kuna akina lowasa, mwakyembe, ma wengineo wengi.
Pia ukumbuke kuwa wakristo hatutaki muisilamu tena kuwa rais hii ni zamu yetu hawa jamaa ukiwaachia nchi ndio unaanza kuona maandamano ya kijinga na migomo ya kipuuzi kama mtu kugomea sensa. nakumbuka enzi za mwinyi pia walianza upuuzi mpaka pale mrema alipowapa kipigo ndio wakaufyata
Mkuu una busara sanaMfalme suleman, alimwacha mke kati ya wake zake 99 kwa sababu tu kitaani walisema analiwa na mfanyakazi wake! Wazee wa busara walipomwendea kumsihi asifanye hivyo kwa kuwa hakuna kile kinachoitwa ushahidi! mzee mzima akawajibu...." Ni kweli hakuna ushahidi na si vizuri kumwacha mke wangu huyu kwa kutokuwepo ushahidi!! lakini kati ya wake zangu wote kwa nini asemwe yeye kuwa analiwa!!????? au kwanini asisemwe momoja kati ya wake zenu ninyi wazee wa busara akasemwa wangu huyu!!??" Baada ya maswali hayo wazee wa busara wakasepa bila kumpa majibu ya maswali aliyowauliza.