SAFI SANA TRA KWA KUWATOZA CHADEMA FAINI YA KODI.......MILLIONI 100 AMBAZO CHADEMA WAMEPIGWA FAINI NDIYO ITABORESHA UCHUMI WA NCHI HII TUNAOLILIA?? MAPATO MTU ANAYOPATA KULIPIA KODI IDDI SIMBA NA UDA WANALIPA NGAPI?? MBONA MNATAFUTA MADA ZA KUCHEFUA WATUU?? MIMI NA WANACHADEMA WOOOOTE TUNATAKA KUJUA WANAOIBA PESA ZA NCHI HII KWA FAIDA YAO WENYEWE..MAMBO BINAFSI HAMYAONI KUNENEPEANA TU KWA PESA ZA MASKINI..YAANI SASA NIMEONA KUMBE BADO KUTAFUTA NJIA YA KUKWAMUA NCHI HII KWENYE UFISADI WA WAZI MMESHINDWA BALI KUSAKAMA CHADEMA..TUNAOMBA KILA CHAMA CHA SIASA HESABU ZAKE TUZIONE WAZI NA NINI WAMELIPA NA NINI WANADAIWA.mwaka huu nitamtafuna mtu kabisa....MUNGU ANIPE MOYO WA UTULIVU
HII NDIYO KUONYESHA CHADEMA MAFISADI??? SAFI SANA TRA KWA KUWATOZA CHADEMA FAINI YA KODI.......MILLIONI 100 AMBAZO CHADEMA WAMEPIGWA FAINI NDIYO ITABORESHA UCHUMI WA NCHI HII TUNAOLILIA?? MAPATO MTU ANAYOPATA KULIPIA KODI IDDI SIMBA NA UDA WANALIPA NGAPI?? MBONA MNATAFUTA MADA ZA KUCHEFUA WATUU?? MIMI NA WANACHADEMA WOOOOTE TUNATAKA KUJUA WANAOIBA PESA ZA NCHI HII KWA FAIDA YAO WENYEWE..MAMBO BINAFSI HAMYAONI KUNENEPEANA TU KWA PESA ZA MASKINI..YAANI SASA NIMEONA KUMBE BADO KUTAFUTA NJIA YA KUKWAMUA NCHI HII KWENYE UFISADI WA WAZI MMESHINDWA BALI KUSAKAMA CHADEMA..TUNAOMBA KILA CHAMA CHA SIASA HESABU ZAKE TUZIONE WAZI NA NINI WAMELIPA NA NINI WANADAIWA.mwaka huu nitamtafuna mtu kabisa....MUNGU ANIPE MOYO WA UTULIVU
hivi kwenye vyama vingine hali ikoje? katika vyama takriban 18 vilivyosajiliwa ni chadema tu ndio walikuwa "wakorofi" kwenye masualal ya kodi? hata hivyo wawe makini kama haya madai ni ya kweli na ya haki kwani harakati zao zina gharama sana na hii ni mojawapo
Judy huu ni uonevu tu wa hali ya juu unaofanywa na kitengo kingine cha CCM (TRA) dhidi ya CHADEMA. Hivi tukiomba watupe kiasi cha kodi iliyolipwa kila mwaka tangu CCM ianzishwe mwaka 1977 TRA wataweza kutupa kiasi hicho?
Sidhani kama wataweza kufanya hivyo. Hii nchi yetu imeoza kabisa.
Kama serikali imefikia kuondoa Tax exempts kwa vyama vya siasa basi itakuwa vizuri zaidi maanake inabidi tuanze kuchimba ndani ya CCM, Wabunge, NGos, Misikiti na Makanisa kotew huku wamekuwa hawalipi kodi miaka yote..Pia tunajua mishahara ya viongozi wa taasisi hizi huwa mikubwa sana zikipokelewa kama Posho...
Sheria msumeno ukate pande zote!..
HII NDIYO KUONYESHA CHADEMA MAFISADI??? SAFI SANA TRA KWA KUWATOZA CHADEMA FAINI YA KODI.......MILLIONI 100 AMBAZO CHADEMA WAMEPIGWA FAINI NDIYO ITABORESHA UCHUMI WA NCHI HII TUNAOLILIA?? MAPATO MTU ANAYOPATA KULIPIA KODI IDDI SIMBA NA UDA WANALIPA NGAPI?? MBONA MNATAFUTA MADA ZA KUCHEFUA WATUU?? MIMI NA WANACHADEMA WOOOOTE TUNATAKA KUJUA WANAOIBA PESA ZA NCHI HII KWA FAIDA YAO WENYEWE..MAMBO BINAFSI HAMYAONI KUNENEPEANA TU KWA PESA ZA MASKINI..YAANI SASA NIMEONA KUMBE BADO KUTAFUTA NJIA YA KUKWAMUA NCHI HII KWENYE UFISADI WA WAZI MMESHINDWA BALI KUSAKAMA CHADEMA..TUNAOMBA KILA CHAMA CHA SIASA HESABU ZAKE TUZIONE WAZI NA NINI WAMELIPA NA NINI WANADAIWA.mwaka huu nitamtafuna mtu kabisa....MUNGU ANIPE MOYO WA UTULIVU
Monday, 08 August 2011
NA HAMIS SHIMYE, Gazeti la Uhuru
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeitoza faini ya sh. milioni 100 CHADEMA, baada ya kubainika inakwepa kodi tangu ilipoanzishwa mwaka 1992. TRA pia imeanza kukata kodi mshahara wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa na watumishi wengine wa CHADEMA.
Habari za kuaminika kutoka ndani TRA zilisema ulipaji faini unaanza mara moja, baada ya uchunguzi kukamilika na kuonyesha chama hicho hakilipi kodi.
Tumemaliza uchunguzi na kubaini CHADEMA hailipi kodi ya mishahara ya kila mwezi ya watumishi wake tangu ilipoanzishwa, kilisema chanzo chetu cha habari.
Imeelezwa kuwa, CHADEMA imekiuka sheria na kanuni za ulipaji kodi, zinazotaka mtu, kampuni au taasisi yoyote kulipa kodi TRA.
Ijapokuwa tangu ilipoanzishwa ilikuwa hailipi kodi, katika uchunguzi tulipata taarifa za kuanzia mwaka 2000 hadi sasa zinazoonyesha hailipi kodi, kilisema chanzo hicho.
Kutokana na hilo, chama hicho kinapaswa kulipa faini ya sh. milioni 100 na kimeamriwa kulipa kodi ya mishahara ya watumishi wake kuanzia mwezi uliopita.
Chanzo hicho kilisema CHADEMA imeiandika barua TRA ikidai wanacholipana ni posho na si mishahara.
Hata hivyo, sheria ya kodi inaeleza kiwango chochote cha posho kinachozidi kima cha chini cha mshahara kinapaswa kukatwa kodi.
Watendaji ambao TRA imeanza kuwakata kodi ni Dk. Slaa, ambaye analipwa mshahara wa zaidi ya milioni 7.4, fedha ambazo ni nyingi kuliko mshahara wa mbunge.
Mshahara huo unatokana na mapendekezo ya Azimio la Kamati Kuu ya chama hicho iliyokutana Januari 29 na 30, mwaka huu, mjini Dar es Salaam, ambapo mshahara huo umegawanya katika sehemu sita.
Sehemu hizo ni posho ya mwezi, fedha za mafuta, majukumu, viburudisho, nyumba na utendaji kazi, ambapo mshahara wa mwezi ni sh. 2,300,000.
Fedha za mafuta ni sh. sh. 1,387,000 kwa wastani wa lita 750 kwa mwezi, huku fedha za majukumu zikiwa sh. 575,000, mawasiliano sh. 460,000 na nyumba sh. milioni moja.
Posho kwa ajili ya viburudisho sh. 462,500 na utendaji kazi sh. 989,000. Mshahara huo umefanywa maalumu kwa Dk. Slaa pekee na iwapo chama hicho kitapata katibu mkuu mwingine hawezi kulipwa mshahara kama huo.
Ama kweli sikio lakufa halisikii dawa. Ule usemi wa Nyerere kwamba serikali za kifisadi zinawaogopa sana matajiri na badala yake zinafukuzana na walipa kodi wadogo wadogo umedhihirika. Hapa kuna maswali mengi zaidi ya majibu. Je, kati ya vyama vya kisiasa zaidi ya 18 ni CHADEMA pekee ndiyo hawakuwa wakilipa kodi kwa watumishi wao?
Na tukuwapekua CCM tangu kurejelewa mfumo wa vyama vingi; walikuwa wakilipa kodi kikamilifu TRA? Na kwa nini CHADEMA pekee na si CCM, CUF, NCCR, TLP na vinginevyo pia? Huu ndiyo ugonjwa wa asasi zetu.
Tatizo la asasi karibu zote za serikali hii ya kifisadi ni kutumika kama vitengo vya propaganda vya CCM! Inasikitisha sana kuona asasi nyeti kama Usalama wa Taifa, JWTZ, Polisi, TRA, TAKUKURU n.k. zinapokea amri na kutekeleza maamuzi toka kwa mavuvuzela wa CCM. Si vibaya kwa vyama vya siasa kutozwa kodi lakini si sahihi kuchomeka interests za kisiasa kama ilivyo sasa. CCM ni vipofu na hawajui waendako. Ila kuna jambo moja wanapaswa kukumbushwa nalo ni kwamba kamwe hawatatawala milele.
Na sheria gandamizi wanazowatungia wapinzani sasa zitawasakama wenyewe watakapopigwa kumbo na kuwekwa pembeni kama ni kweli TRA ni wazalendo kiasi hicho katika kukusanya kodi mbona hawajatupa takwimu za kiasi walichokusanya toka kwa familia ya Kikwete yenye biashara lukuki zinazosimamiwa na Ridhwani?
Na vipi kodi ya zile nyumba walizokwapua toka milki ya serikali walizozikarabati na kuzipangisha wanalipashilingi ngapi kwa mwezi. Kikwete, Mkapa, Makamba, Maghufuli, kina Mboma, Mahita na mafisadi kibao walifanya vile, tunataka kujua ni kiasi gani nchi hii inakusanya tokana na kupangishwa nyumba hizo.
Mwisho tungependa kuuliza mbona wanawaogopa "Wawekezaji" wanaokamua gesi, dhahabu mpaka mashirika yakiwemo mahoteli makubwa na kampuni za mawasiliano zinazojibadilisha majina kila baada ya kwisha kwa Tax Holidays za jina la awali?
ETI WAMEWAPIGA FAINI CHADEMA KUONYESHA MAFISADI???
SAFI SANA TRA KWA KUWATOZA CHADEMA FAINI YA KODI...KILA MTU AANGALIA UFISADI KWENYE ANGA ZAKE..MAANA HAITOSHELEZI KUANGALIA CHAMA KIMOJA CHA SIASA TUU NDIYO MKAKISAKAMA ETI MMEBUNI CHANZO CHA MAPATO.....
MILLIONI 100 AMBAZO CHADEMA WAMEPIGWA FAINI NDIYO ITABORESHA UCHUMI WA NCHI HII TUNAOLILIA?? MAPATO MTU ANAYOPATA KULIPIA KODI IDDI SIMBA NA UDA WANALIPA NGAPI?? MBONA MNATAFUTA MADA ZA KUCHEFUA WATUU??
MIMI NA WANACHADEMA WOOOOTE TUNATAKA KUJUA WANAOIBA PESA ZA NCHI HII KWA FAIDA YAO WENYEWE..MAMBO BINAFSI HAMYAONI KUNENEPEANA TU KWA PESA ZA MASKINI..YAANI SASA NIMEONA KUMBE BADO KUTAFUTA NJIA YA KUKWAMUA NCHI HII KWENYE UFISADI WA WAZI MMESHINDWA BALI KUSAKAMA CHADEMA..
TUNAOMBA KILA CHAMA CHA SIASA HESABU ZAKE TUZIONE WAZI NA NINI WAMELIPA NA NINI WANADAIWA.mwaka huu nitamtafuna mtu kabisa....
Kikwete kagundua njia nyingine ya kuwafuatafuata chadema, kikwete na wahuni wenu. The problem ya Kikwete na Ndulu na mkullo uwezo wenu ni mdogo sana wa kufikiria - unajua kabisa CHADEMA wata-demand records zote za TRA ziwe public from previous years, mtaweza kuonyesha mafisadi wote wanalipa kodi?
Hizo kodi za CCM inalipa records zipo wapi? Records za Taifa kwanini kikwete inazifungia? Si muonyeshe public nani analipa na nani alipi mbona mnachagua only chadema? Tutaona nani atatoka mshindi katika hili saga mnaanzisha wakati mkijua politics of hate na ubaguzi hazijawahi kufanikiwa popote pale duniani.
Judy huu ni uonevu tu wa hali ya juu unaofanywa na kitengo kingine cha CCM (TRA) dhidi ya CHADEMA. Hivi tukiomba watupe kiasi cha kodi iliyolipwa kila mwaka tangu CCM ianzishwe mwaka 1977 TRA wataweza kutupa kiasi hicho? Sidhani kama wataweza kufanya hivyo. Hii nchi yetu imeoza kabisa.
Moja ya mbinu ambayo CCM imekuwa ikiitumia katika kuwadhoofisha wapinzani tangu mfumo wa vyama vingi uanze ni kuwa-suffocate financially. Unapokuwa financially worse you can't hire smart people to work for you.
Nobody would be willing to work as volunteer for a political party, people need to sustain their daily needs. Sheria ya ruzuku iliyowekwa na CCM inawatafuna sasa, maana kama CDM wanapata 200+ na kuzitumia effectively katika harakati za kukiimarisha chama while CCM inapata 800+ zinaishia matumboni mwa watendaji ni dhahiri hawatakubali kuondoa ruzuku eti kwa sababu CDM anapata hela ya kujiimarisha.
Matokeo yake wanatafuta mianya ya kuhakikisha pesa ya CDM inarudi serikali kwa kisingizio cha Kodi, UPUUZI KABISA!, Ninashauri CDM sasa wafocus kwenye small donations from their members na wapenzi kama kila mpenzi wa CDM atajitolea Shs 200 kila mwezi nina hakika CDM itapata hela ya kujiimarisha mpaka 2015, Nina hakika uchaguzi ujao chakachua itafanyika kuwapunguzia CDM viti.
Mkakati walioufanya kuiua CUF bara mwaka 2005 kwa kuwanyima kiti hata kimoja cha ubunge toka bara wakati mgombea wake wa urais alishika nafasi ya pili.
Bila kutikiswa kamwe CCM haitakubali kuachia ushindi halali utangazwe. Kinachonishangaza mimi ni je inakuwaje chama cha siasa kutozwa fine kwa ukwepaji kodi wakati motive yake si kugenarate profit au income bali ni kufanya siasa za kuchukua uongozi wa nchi?.
Only in Tanzania these kind of rubbish flourish, This is politicizing professional Bodies which is a dangerous game in any democratic country. I don't want to believe hii story ya gazeti la uhuru, huenda wanaplay politics, ila kama TRA wanakaa kimya wanakubali kufanywa toilet paper. Sooner or later CCM will be out of power willingly or unwillingly.
Mkuu mtanzania umeongea mambo ya maana sana lakini kama kweli TRA inataka kufanya reform kwenye tax ni upuuzi wa hali ya juu kuukomalia mshahara wa Dr. Slaa kama ndiyo mwanzo wa reforming. Wanachofanya TRA is politics pure an simple. Mkuu hivi unaweza kuamini Waziri wa serikali mwenye mke ambaye ni kamisha au mkurugenzi wa wizara wanalipa kodi ndogo kuliko an individual anayelipwa 4.5 million kwa mwezi. Nna mfano halisi juu ya hili and that's why naona hawa TRA wanatuzingua tu!!!!
Mkuu Nyambala,
Hicho ndio hata mimi naongelea, kwa mawazo yangu, TRA is not fit for purpose. Kuna watu wengi sana ambao hawalipi kodi kwa ajili ya uzembe wa TRA. Lakini hata sisi wananchi kama tunachukia madudu tuwe pro-active kwa kutimiza wajibu wetu wa kulipa kodi.
Kwenye majengo kuna watu wengi sana wanalipwa mamilioni kwenye pango lakini hawataki kulipa kodi. Jamani kodi ya asilimia 10 kwenye pango mbona ni ndogo sana mpaka watu kuamua kuanza kukwepa na kujificha.
Tuige mfano wa Wajerumani; ukikutwa unakwepa kulipa kodi, sio tu unatozwa pesa nyingi lakini pia wanakufunga.
Uzembe wa TRA unachangia maana siamini TRA walikuwa wanaibeba CHADEMA katika kutokuwadai kodi miaka yote hiyo. Lakini nao CHADEMA kweli watu wanaotaka kuwa viongozi wa nchi hawakuona umuhimu wa kulipa kodi?
Ni jambo la kusikitisha sana kwa vyama vya siasa kukwepa kulipa kodi. Wapitie vyama vyote na kuweka utaratibu mzuri ambao utahakikisha wafanyakazi wote wenye vipato wanalipa kodi. Haya masuala ya kusingizia posho ni udanganyifu tu.
TRA wakitaka wanaweza kuongeza pato la kodi kwa asilimia hata zaidi ya 30 na hizo ni pesa nyingi sana ambazo zinaweza kuisaidia nchi kwenye mambo mengi sana. Hivi nchi inahangaika nini kwenda kuwa ombaomba wakati kuna pesa nyingi kiasi hicho zinaweza kukusanywa? Serikali hawawezi kukwepa lawama juu ya hili; wao ndio wana uwezo wa kutunga sheria za kuziba mianya kama hii.
Je watumishi wa serikali wanaopata posho za mawasiliano, umeme, nyumba na maji wanakatwa kodi? Posho ya wabunge je? Tra watakusanya kodi nyingi sana. Hawa wote posho zao zinazidi kima cha chini cha mshara. Kama ulichosema ni sahíhi.
tunawaomba chadema walete utaratibu wa kuchangia hiyo faini sisi wananchi tulio na uchungu na nchi yetu tuchangie kwani hizo ni hila za ccm na tra yake iliyoshindwa kazi.
tutachanga hata kwa njia ya sms na hao tra ole wao tunao mpaka kieleweke haiwezekani upewe jukumu la kukusanya kodi hukusanyi miaka 19 halafu udhaifu wako unauficha kwa kukomoa wengine.
huu mtindo wa kulipizana kisasi ni wa ccm na serikali yao iliyochoka.
kumb-hosea na posho mara mbili za wabunge.
-jery muro na polisi
Shimbo analipa Kodi shilingi ngapi maana kwa siku anaingiza pesa nyingi benk kuliko watanzania wote...au kwa vile chadema wanatetea maslahi ya wananchi????
Haya TRA mfuatilie vyama vyote kama vinalipa kodi.Mfuatilie mabilioni ya mafisadi kama yanalipiwa kodi.Haya na tuoni ufanisi wa kodi mnazokusanya.Vipi Kagoda walilipa kodi?
Hata nyinyi chadema wezi tu,haijalishi kama wengine wamelipa au la,kwani chadema nyinyi nani bwana,nyie mnataka mkondo wa usfisadi uje uchagani tena,baada ya kikwete kuhamisha mtandao wenu,hata nyie ni mafisadi na wengine ni majambazi
Mkuu Nyambala,
Hicho ndio hata mimi naongelea, kwa mawazo yangu, TRA is not fit for purpose. Kuna watu wengi sana ambao hawalipi kodi kwa ajili ya uzembe wa TRA. Lakini hata sisi wananchi kama tunachukia madudu tuwe pro-active kwa kutimiza wajibu wetu wa kulipa kodi.
Kwenye majengo kuna watu wengi sana wanalipwa mamilioni kwenye pango lakini hawataki kulipa kodi. Jamani kodi ya asilimia 10 kwenye pango mbona ni ndogo sana mpaka watu kuamua kuanza kukwepa na kujificha.
Tuige mfano wa Wajerumani; ukikutwa unakwepa kulipa kodi, sio tu unatozwa pesa nyingi lakini pia wanakufunga.
Uzembe wa TRA unachangia maana siamini TRA walikuwa wanaibeba CHADEMA katika kutokuwadai kodi miaka yote hiyo. Lakini nao CHADEMA kweli watu wanaotaka kuwa viongozi wa nchi hawakuona umuhimu wa kulipa kodi?
Ni jambo la kusikitisha sana kwa vyama vya siasa kukwepa kulipa kodi. Wapitie vyama vyote na kuweka utaratibu mzuri ambao utahakikisha wafanyakazi wote wenye vipato wanalipa kodi. Haya masuala ya kusingizia posho ni udanganyifu tu.
TRA wakitaka wanaweza kuongeza pato la kodi kwa asilimia hata zaidi ya 30 na hizo ni pesa nyingi sana ambazo zinaweza kuisaidia nchi kwenye mambo mengi sana. Hivi nchi inahangaika nini kwenda kuwa ombaomba wakati kuna pesa nyingi kiasi hicho zinaweza kukusanywa? Serikali hawawezi kukwepa lawama juu ya hili; wao ndio wana uwezo wa kutunga sheria za kuziba mianya kama hii.
Mtanzania Mbona Ukada unakufanya unakuwa Kipofu hivi
CDM wameshawahi kuwatuhum u CCM kwamba walipitisha Magari yao bila kodi TRA wakawataka CDM wapeleke USHAHIDI. Lakini TRA baada ya kusikia Nape anasema Slaa halipi kodi TRA wakaanzisha Uchunguzi. Mkuu Mtanzania Wananchi wanaona na kupima Usanii wote huu na naamini una mwisho wake.
TRA ni wezi tu na ndio maana wameamua kupambana na CDM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.