Shibuda si riziki CHADEMA

Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
tuwe serious watanzania tuko millioni 46 chama kina zaidi ya miaka 20 viongozi ni ukoo mmoja tu. watanzania tuone mbali.

Mkuu umenena vyema sana, na nimshukuru sana mbwatukaji mzee wa mafunjo bungeni kukurupuka katika hili swala la zitto, nimejifunza mengi mno dani ya chama nilichokipenda kwa moyo wote.
 
shibuda anaimbaga bobgo flavor nini?kashuka na verse hatari
 
Huyo ataondoka kwa aibu yeye mwenyewe,hafukuzwi asitafute sababu.
 
Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.
aksante kwa kuja kuharisha hapa,hata kuandika hujui,shame on you!

 
Mabwabwa wengine bwana, unaambiwa onyesha chanzo ikiwezekana hata picha. hata hivyo Shibuda atuumizi kichwa ni nyoka wa kuchorwa hamtishi mtu.
 
Mfukuzeni badala ya kumtukana. Yeye hajawatukana kawapa za uso.

Aandike barua ya kuacha uanachama aambatanishe na kadi yetu. ltashughulikiwa ndani ya masaa 24. Hakutakuwa na kesi ya kufungua mahakamani kuhangaisha chama.
 
Ni wazi kwamba mwandishi wa hekaya hii ni mtu asiyejua chochote katika nchi hii, wala katiba ya chama, wala mfumo na uundo wa CHADEMA. Hivi kama ni kweli akisemacho huyu mwandishi wa hekaya hizi, tujiulize wafuatao kama ni wakwe wa Mtei
1. Meshak Opulukwa Mbunge wa Meatu
2. David Silinde Mbunge wa Mbozi
3. Vincent Nyerere Mbunge wa Musoma Mjini
4. Suzan Kiwanga Mbunge vITI Maalum Morogoro
Hii ni mifano tu, ya kupanuka kwa Chama hiki kinachoingia ikulu October, Kwa takwimu za Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2014, Mkoa ulioongoza kwa Ushindi wa Vijiji, Vitongoji na Mitaa ni Kagera, hasa Jimbo la mama Escrow, Mikoa ya Shinyanga, Simiyu Mbeya na Rukwa imefanya vizuri kuliko Kilimanjaro na Arusha, kuendelea kuandika hekaya za kumtuhumu Mzee Mtei na Kaka Freeman Mbowe ni uvivu wa kufikiri, kuendelea kuwaza yaleyale ambayo yamekuwa yakisemwa na walioshindwa kuongoza nchi hii.
Ikumbukwe Zitto Kabwe wakati anakuwa Mbunge Kigoma Kaskazini, CHADEMA ilikuwa na Madiwani 8, leo anaondoka akiwa na Diwani MMOJA TU.
Nimeanza nitakuja kuendelea.
 
Mfa Maji haachi kutapatapa shibuda nakuonea huruma CCM hawakutaki na Chadema hawakubebi mwaka huu cjui utagombea chama gani jiandae kuadhirika na mkopo wa CRDB cjui utarudishaje Ubunge utausikia tu. Kafie mbali huko.
 
Shibuda kaingia kwenye chama kabla ya kusoma katiba halafu anakilaumu chama?

CHADEMA walivyomfakamia Shibuda ili kwa uroho wa kuongeza wabunge bila ya kuwa na tahadhari ya kuona mbali niliwaambia kwa busara hapa kwamba huyo Shibuda ni timebomb, atakuja kuwalipukia.

Nilipigwa vita kweli na wanachama/washabiki wa CHADEMA hapa, wakaniona nawawekea usiku.

Sasa wanajuta. Amekiwa mwiba usiotaka kutoka mguuni, na mwiba wenyewe mwiba pande, sio mbigiri.
 
Wewe usitake chanzo sijui kimetoka wapi, ila ndo limeshatoka hilo hamna lolote siku nyingi mimi hiki chama nilikuwa nakichukia kinyama, Wabunge vichwa pale ni wa 3 hakuna kiongozi wala mwenye ngozi, vichwa vyenyewe ni John Mnyika, Zitto Kabwe, na Halima Mdee, wengine hamna kitu bure kabisa.[/QU
Kama hukipendi nenda CCM hukatazwi.
 
Zitto na wenzake wananikumbusha jinsi Lucifer alivyodanganyika kwa kulewa sifa bila kujua watatolewa paradiso na Mikaeli

na aliondoka na theluthi ya malaika mbinguni, sijui tutarajie nini kuondoka kwa zitto,kwa mfano ulioutoa
 
Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.

Ndio maana Ccm waliona kimeo,sijui kwa nini wananchi wa maswa hawalioni hilo.
 
Aandike barua ya kuacha uanachama aambatanishe na kadi yetu. ltashughulikiwa ndani ya masaa 24. Hakutakuwa na kesi ya kufungua mahakamani kuhangaisha chama.

Zitto aliwaletea barua? au aliwapa za uso kama anavyowapa Shibuda.
 
Wewe FaizaFoxy za uso wapi? Chama kama kakiona haramu sii ajitoe yeye mwenyewe? Hivi FF kama mumeo ana maumbile makubwa na anakuumiza utasubiri akuache au wewe ndio utamuacha?

Mbona Zitto kawapa za uso mmemfukuza, huyu kinawashinda nini?
 
Too low..
Anatafuta cheap popularity, kama chama hakimfai AJIVUE uanachama na aache UBUNGE.. aende panapofaa..kwa logic ya kawaida huwezi kusema chama kibovu then uendelee kuwepo bila kuchukua hatua..hizo ni double standards!
 
Siasa hasa za huku Afrika ni ngumu sana. Yaani mtu kama huyu naye anapenyeza na kuwa mbunge, ugumu zaidi ni pale uwepo wake unapoongeza margin ya viti maalumu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom