Madaha John-with-Victor Mbonicaand-48 others
3 hrs-·-
Mpendwa soma hii Habari.
Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.
Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.
Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-
Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.
Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.
Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.
Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.
Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.
Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.
Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.
Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-
Angalia hapa chini.
1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe
Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.
Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-
Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.
Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.
huyu anautafuta umauti tu
teh teh, labda usawa na haki kwa mafisadi kama kina ngurumo, chenge, tibaijuka na wenzake!Nikukumbushe
mtajua muda umeenda chama gani cha kifamilia mtu akitaka kugombea kwa kufata taratibu anafukuzwa hamtatawala milele kabisa
kidumu chama cha mapinduzi chenye usawa na haki kuliko hiki saccos
teh teh, mungu yupi mkuu? Wa mafisadi, wanafiki ama wa wanyonge?Shibuda ni mpango wa Mungu!
Arusha hakuna CCM- Lema
Hapa ndio inaonyesha uwezo mdogo wa akili wa wanasiasa wetu yaani shibuda baada ya kutupiwa virago na ccm akakimbilia chadema kwa matusi kama haya then akarudi bungeni kwa ticket ya chadema. Leo hata kama chadema ina matatizo huwezi kutamka maneno hayo ukiwa una akili timamu na umri kama wake. Hawa ndio huwa wanawatukana baba zao baada ya kupata degree na kusahau baba ndio aliwaleta duniani ndio wakaweza kusoma.
kama amesema hivyo. Mimi namshauri Kama ameona Chadema katiba yao mbovu,chama cha wachaga,cjui haiwezi kuongoza. Swali dogo tu KWANINI MPAKA LEO YUPO CHADEMA???? KWANINI ASIJIONDOE KWENYE CHAMA CHA MTEI, CHAMA CHA MBOWE, CHAMA CHA WACHAGA????
ANASUBIRI NINI AMEKAA MIAKA KARIBU MITANO, ANASUBIRI NINI???? KWANINI ASUBIRI MPAKA AFUKUZWE?????? ONDOKA MWENYEWE.
ONYESHA MFANO WA MPENDAZOE ALIPOCHOKA NDANI YA CCM AKUSUBIRI AFUKUZWE ALIAMUA MWENYEWE TENA ALIACHA MAFAO YAKE ZIKIWA ZIMEBAKI VIKAO VITATU TUU, BUNGE KUVUNJWA KWA AJILI YA UCHAGUZI WA MWAKA 2010.
Shibuda yupo Chadema anaipenda Chadema aache longo longo ya kuwahadaa wasioelewa. Kama ni Ivyo tuseme Shibuda anatamaa na Ni fisadi zaidi ya wazee ESCROW.
SHIBUDA ACHA TAMAA ACHIA NGAZI LEO
KAMA SHIBUDA UNAJIAMINI TANGAZA KESHO KUWA WEWE SHIBUDA KUANZIA LEO TAREHE 14/03/2015 NAACHANA NA CHAMA CHA WACHAGA, CHAMA CHA UKOO, CHAMA CHA MBOWE.
KAMA KWELI SHIBUDA WEWE NI MWANAUME KWELI LIJALI TANGAZA LEO TUSIKIE
Madaha John-with-Victor Mbonicaand-48 others
3 hrs-·-
Mpendwa soma hii Habari.
Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.
Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.
Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-
Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.
Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.
Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.
Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.
Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.
Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.
Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.
Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-
Angalia hapa chini.
1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe
Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.
Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-
Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.
Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.
Hana lolote. Hawez kufanya hivyo zaidi ya kuleta porojo tu na kutafuta kick za bure na kiurahisi
Mbona alishatangaza mwenyewe kujitoa CHADEMA sasa vipi anaomba kufukuzwa?