FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Hujui unachokisema maana mawazo yako yanakomea katika mipasho na si ajabu hata kucheza mdundiko! Ungejua anayeongea ni nani ungejua maana ya wachina kutengeneza substandard kwa ajiri yako na waa si mwingine regardless kwenda wewe mwenyewe! Nisingependa kueleza zaidi kwani possibly wewe ni hao mnao tumiwa kama middle woman/man ktk kufanya haya mambo ya kuficha UCHAFU WA HAWA WATU!
= ajili
Mchina hakulazimishi kununuwa chake. Unanunuwa wewe mwenyewe.
Wewe ni nani zaidi ya kuwa"substandard" aka punguani tu mwenginewe? Unanshangaza!