Shibuda si riziki CHADEMA

Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Huyi hafai kuwa kuongozi esp wa watu.

Kweli unagombania ubunge hausomi katika ya chama ulichojiunga kisa kutamani pesa.

Kwa mimi jimemshusha thamani hana hata aibu kusema hayo maneno eti hakusoma katiba kiongozi gani huyu muongo tu. Shame on him, mie sina chama ila kwa mtu anayewakilisha wananchi kuna mangapi hasomi au anadanganya baadae hajasoma ili kujitetea.

Wewe haufai kuwa kiongozi watu hawana cha kufata kwa uongozi wako duni....eti hausomi mambo muhimu kazi kutia saini tu.
 
Wengi tumeishi au kuwaona au kuwasikiliza vichaa wakiongea. Kuna wakati wanasema ya ukweli lakini ni mara chache na kwa jinsi hiyo kwa ujumla huwa hatuamini ya vichaa au wale ambao akili zao zimekwenda kombo. Shibunda ni mmoja wao ambaye akili imekwama.

Linalonishangaza ni ninyi wana JF kumushangilia kichaa! Nanyi zimekwama nini? Vichaa munapeana hi!

Itakuwa unakaundugu na shibuda nini ulijuaje si sawa?
 
Wengi tumeishi au kuwaona au kuwasikiliza vichaa wakiongea. Kuna wakati wanasema ya ukweli lakini ni mara chache na kwa jinsi hiyo kwa ujumla huwa hatuamini ya vichaa au wale ambao akili zao zimekwenda kombo. Shibunda ni mmoja wao ambaye akili imekwama.

Linalonishangaza ni ninyi wana JF kumushangilia kichaa! Nanyi zimekwama nini? Vichaa munapeana hi!

Mkuu unakosea sana kumfananisha chibuda na wasio na akili timamu. Hivi unajua kuwa ni wabunge wachache wanaoweza kuhama na wapiga kura wao? Chagadema ilimpokea huyu jamaa kwa shangwe nyingi leo unamdis kisa kutoridhishwa na mwenendo wa chama? acha muvi iendelee
 
Katuni j, pili.jpg
 
Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.

Shibuda ni kichaa,ivi kichaa anaweza kufukuzwa!?
Na ww mtoa post umetumwa? Angeingia humu tumhoji kumbaf sana
 
kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John m. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee edwin mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya ruzuku inaenda kwenye familia ya mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa saccos hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin mtei
1998-2003 mwenyekiti -bob makani-
2003-2008 mwenyekiti - freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - freeman mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman mbowe

mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim lipumba vinala wa ukawa hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa saccos kikaongoza nchi ?-

mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
asanteni sana-
john magalle . Shibuda.
kila mtu mdomo mali yake haulipiwi kodi!!!
 
Wenyeakili tumemuele ahsante sana mtoa mada BAWACHA wengi wao ni MAJUHARA.

Tunawauliza,
yoweri Mseven amekuwa mwenyekiti wa UPC tangu 1979-2015!
Ni wapi uliona Shibuda aliwahi kunyimwa kugombea uenyekiti?
Lakini uongozi haugawiki kama njugu!
 
Hivi anapoishi Shibuda kuna pombe ya Ulanzi?
 
Sisi tunakueleza ukweli ambao huwezi kuupina hata chembe. Kuna Mchina alikulazimisha kununuwa bidhaa yake? Unanunuwa mwenyewe, kama unaenda au unaagiza hiyo kazi kwako. Yeyey kapowa burdaan, quality utachaguwa wewe si yeye.

Nyie ndiyo wale mnaotaka biriani kwa bei ya maharage.

Haya wakaribisheni mpaka hata kwenye nyumba zenu eti wana bidhaa nzuri! Haya tembeza bakuri ili mpate bidhaa zenu hizo, ila kumbuka hawa jamaa wanajua where the damping palce is! Na ni bahati mbaya kuwa nchi yetu ni mojawapo! Na hii itakula kwako pamoja na wengine walio wengi kama wewe. Ukweli unauma kwa watu kama wewe!
 
Mkuu unakosea sana kumfananisha chibuda na wasio na akili timamu. Hivi unajua kuwa ni wabunge wachache wanaoweza kuhama na wapiga kura wao? Chagadema ilimpokea huyu jamaa kwa shangwe nyingi leo unamdis kisa kutoridhishwa na mwenendo wa chama? acha muvi iendelee

Hapo sasa turudi kwenye hoja. Kwamba tuachane na ushabiki unaofanywa na mtu kama FaizaFoxy. Kwamba kila kitu cha CCM ni hoyee! Kwamba kila kitu cha CDM ni Ziiii! Kwamba kila anayetukana CDM ni safi. Sasa wanajikuta wanashangilia hata wasiyo na akili za kufanya mema.

Imani yangu ni kwamba CDM kumchukuwa Shibuda haikuwa vibaya kwa wakati huo. Baadaye hatujui ni nini kimetokea maana hatuna tabia ya kupima akili. Huyo Shibuda anaweza kuwa sasa akili ziko kombo kwa sababu yoyote ile. Huenda ni genetical au elimu isiyofaa kwa sasa au hata kiwewe cha uchaguzi wa mwaka huu. Tatizo ni kushangilia eti tu kawasema CDM bila hata kuchunguza hiyo kama ni akili ya IQ angalau 60%
 
Shibuda ni kichaa ndio maana CHADEMA huwa hawaangaiki nae, kama angekuwa anajitambua wangemchukulia hatua. Shibuda ni Comedian

Kumbe mnawafukuza wanaojitambua..Zitto ni mmoja wa wanaojitambua ndo maana mmemtimua...naitimisha kwa kusema "chadema" ni chama cha wasiojitambua kwa sababu wanaojitambua hawatakiwi.
 
Hivi unawezaje kufukuzana na kichaa barabarani si wote mtaonekana vichaa?kichaa unamwacha akimbie mwenyewe...nafikiri haina haja ya kuumiza kichwa kwa,ajili ya Shibuda..
 
Viongozi wa CHADEMA wanamambo Mengi ya kufanya hawawezi kuhangaika na ubua kama shibuda. shibuda hana madhara kama zitto ndomana hata hao ccm hawapitishi faranga kwake ili kuisambaratisha CDM. kama utaona kwenye ile bil 3.6 ya zito ,shibuda alikula mgao sawa na Juliana shoza. Kama unavyotaka mwenyewe kuondoka basi jiondoe mwenyewe kama ukikaidi.sasa Mimi kama mwanachama hai wa CDM NAKUFUKUZA RASMI KUANZIA LEO KAMA ULIVYO OMBA MWENYEWE
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom