Mbarikiwa Mollel
JF-Expert Member
- Jan 13, 2015
- 241
- 49
Habari za kutunga hizi.
Weka chanzo?
Ameyasema lini na WAPI?
Alikuwa anaongea / juhojiwa na nani?
Weka mahojiano hayo yakiwa katika sauti!
Wewe usitake chanzo sijui kimetoka wapi, ila ndo limeshatoka hilo hamna lolote siku nyingi mimi hiki chama nilikuwa nakichukia kinyama, Wabunge vichwa pale ni wa 3 hakuna kiongozi wala mwenye ngozi, vichwa vyenyewe ni John Mnyika, Zitto Kabwe, na Halima Mdee, wengine hamna kitu bure kabisa.