FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Mkuu assadsyria nimekuwa ninafuatalia threads zako na kugundua wewe ni mtu wa ajabu kabisa. Hivi nikisema kuwa kwa wachina wanao tuletea substandard products hapa kama damping place wana tofauti gani na wewe nitakuwa nimekukashifu au la?
Sasa basi ni hivi:
Mhs Shibuda akifukuzwa officially na CDM atakuwa amepata heshima ya juu sana. Kwa maana hiyo ni kumuacha alivyo kama si kumdharau. Anaitafuta sana hiyo heshima ya kufukuzwa wakati anasahau kuwa hiyo heshima hataipata kamwe!
Wachina hawakuletei chochote, unakweda kununuwa mwenyewe na unasafirisha kwa gharama zako na unakuja kuwauzia Watanznia wenzako ulichokinunuwa.
Vitu vya Kichina vipo dunia nzima na vina ubora wa hali ya juu. Kama wewe ulienda kufyatulisha vya "substandard" ni tatizo lako si la Wachina.
Tutegemee nini zaidi ikiwa wewe mwenyewe uko "substandard"?