Shibuda si riziki CHADEMA

Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Ni wazi kwamba mwandishi wa hekaya hii ni mtu asiyejua chochote katika nchi hii, wala katiba ya chama, wala mfumo na uundo wa CHADEMA. Hivi kama ni kweli akisemacho huyu mwandishi wa hekaya hizi, tujiulize wafuatao kama ni wakwe wa Mtei
1. Meshak Opulukwa Mbunge wa Meatu
2. David Silinde Mbunge wa Mbozi
3. Vincent Nyerere Mbunge wa Musoma Mjini
4. Suzan Kiwanga Mbunge vITI Maalum Morogoro
Hii ni mifano tu, ya kupanuka kwa Chama hiki kinachoingia ikulu October, Kwa takwimu za Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2014, Mkoa ulioongoza kwa Ushindi wa Vijiji, Vitongoji na Mitaa ni Kagera, hasa Jimbo la mama Escrow, Mikoa ya Shinyanga, Simiyu Mbeya na Rukwa imefanya vizuri kuliko Kilimanjaro na Arusha, kuendelea kuandika hekaya za kumtuhumu Mzee Mtei na Kaka Freeman Mbowe ni uvivu wa kufikiri, kuendelea kuwaza yaleyale ambayo yamekuwa yakisemwa na walioshindwa kuongoza nchi hii.
Ikumbukwe Zitto Kabwe wakati anakuwa Mbunge Kigoma Kaskazini, CHADEMA ilikuwa na Madiwani 8, leo anaondoka akiwa na Diwani MMOJA TU.
Nimeanza nitakuja kuendelea.

Unajua ndg yangu wengine kupata walau kofia, kiroba basi shida hadi kulazimika kutoa mawazo ambayo hata anaye fikiri kwa masaburi hawezi kufanya hivyo! Hivi kama mambo yanafanyika wazi wazi namna hii, leo mtu anatoa wapi ujasili wa kunena wapendayo wafalume kuyasikia!?

Kuna nyimbo nyingi kwamba CHADEMA ni cha kasikazini! Binafsi nimefarijika na takwimu zako hapo juu kama ni sahihi. Nadhani ndiyo maana CHADEMA hawapotezi muda kukanusha habari potofu kamahizi lakini inapo bidi wawe wanatuwekea evidences kama hizi ili kuweka record/ kumbu kumbu vizuri.

Isitoshe kuna mdau mwingine kaandika kuwa kila jambo lazima lina mwanzilishi wake. Hiyo CCM yenyewe ilitokana na nguvu ya pamoja ya watanganyika wote kupitia TANU na wazanzibari wa ASP miaka hiyo. Kama ilivyo kwa CHADEMA navyo vina wanzilishi wake. Leo hii ukabila ndani ya ukoo wa TANU na ASP na mjukuu wao CCM hauongelewi kwa sababu kubwa mbili.
1. Watanganyika wote waliungana kumuondoa mkoloni. 2. Ukoo huo ulifanikisha kuondoa mkoloni huyo na kuwa kiongozi ambapo uongozi na mali zote za Tanu ali rithi mwamanao CCM.

Nina imani hata CHADEMA AMA UKAWA ikishinda na kukalia kiti kile cha uzima uzushi wa UKABILA, UDINI na mizengwe iliyopo leo, havitakuwa kipaumbele vya wapinzani wao CCM. Kwa nn nasema hivi? Watanganyika ni wepesi kusahau mambo na hupenda kujipendekeza kwa mwenye nyumba. Najua kutakuwepo upinzani mkali sana kwani ALIYE ZOEA KULA BILA KIPIMO atapiga kelele kuliko maelezo kwa sababu anaona anadhulumiwa, anawaza hashibi bila kujua mabadiliko katika fikra ni swala la muda na kujiandaa kisaikolojia!

Siku njema!
 
= ajili

Mchina hakulazimishi kununuwa chake. Unanunuwa wewe mwenyewe.

Wewe ni nani zaidi ya kuwa"substandard" aka punguani tu mwenginewe? Unanshangaza!

Nani hajui kuwa ukweli UNAUMA hasa kwa watu kama wewe! Cha msingi hapa ni kwamba UJUMBE umeupata barabara!
 
hiki chama nilikuwa nakichukia kutokana na ubaguzi wake kumbe kuna mengine maovu makubwa hongera shibuda wewe ni msema ukweli siku zote

It's only mbururas who could dare to hate an institution:sly:
 
Kuna mama mtaa mmoja anakunywa pombe analewa chakali alafu anawaita vijana wafanye yao ila wapange foleni, sasa watu tunajiuliza kwa nn haisingizie pombe si angekuwa anajilaza tuu hata mchana bila kulewa vijana wenye uitaji wafanye yao mana hicho ndo anachokitaka au angechagua mmoja kati ya wale vijana akaenda nae sawa.

Hivi kuna haja ya kusubiria kufukuzwa kama unaona chama hakikufai?
 
Mfukuzeni badala ya kumtukana. Yeye hajawatukana kawapa za uso.

Nakupa hi!
btw, Mahakama ya kadhi imekuwaje? Yaonekana wewe siyo mtabiri wala mchambuzi mwenye maono. Kila wakati uko wrong!
 
She buda asamehewe bure yey ni kazi ya tumbo tuuu,na ashukuru cdm hata kwa kanafasi aliko nako,kwan alikokua walisha mchoka na kumtenga
 
Jamani si ajiondoe tu? Mahali hupapendi halafu unaendelea kukaa tu unasubiri uambiwe ondoka wakati siyo lazima kwako kuwepo mahali hapo!
 
Nani hajui kuwa ukweli UNAUMA hasa kwa watu kama wewe! Cha msingi hapa ni kwamba UJUMBE umeupata barabara!

Sisi tunakueleza ukweli ambao huwezi kuupina hata chembe. Kuna Mchina alikulazimisha kununuwa bidhaa yake? Unanunuwa mwenyewe, kama unaenda au unaagiza hiyo kazi kwako. Yeyey kapowa burdaan, quality utachaguwa wewe si yeye.

Nyie ndiyo wale mnaotaka biriani kwa bei ya maharage.
 
Sisi tunakueleza ukweli ambao huwezi kuupina hata chembe. Kuna Mchina alikulazimisha kununuwa bidhaa yake? Unanunuwa mwenyewe, kama unaenda au unaagiza hiyo kazi kwako. Yeyey kapowa burdaan, quality utachaguwa wewe si yeye.

Nyie ndiyo wale mnaotaka biriani kwa bei ya maharage.

Team ya majizi ccm kazini
 
Mimi si mtabiri.

Vipi Uchambuzi wako, unaweza ukauweka kwenye ngazi gani? maana kila wakati naona uko kwenye wrong side. Tuseme uwezo mdogo au unachambua mambo makubwa kwa elimu ndogo?
 
Mfukuzeni badala ya kumtukana. Yeye hajawatukana kawapa za uso.

Dada angu Faizafoxy huyu jamaa ana personal problem.....hata akija kwako huwezi kumbeba. Hapa naongea na wewe kama dada angu na Shibuda mwenye hadhi ya kuwa baba mdogo bila kuweka political ideological difference zetu. Brother ana matatizo.....ndo maana hakuna anayekomaa kumvuta kwake japokuwa anaonekana yuko loose. Hata tulipokuwa nae CCM kipindi cha nyuma nilikuwa simuelewi kabisa dadaangu. Nimefanya kazi Maswa miaka 2 bado nilikuwa simuelewi
 
BAVICHA karibuni muonyeshe umahiri wenu wa kutukana.

Ndo mkome kuchukua makapi ya Ccm ona sasa

Chadema ni Saccos ya Mtei inayosimamiwa na mkwe wake Mbowe pamoja na mjomba wake Lema

na kweli hii mada tuwaachie wavinjari kwa matusi

Mfukuzeni badala ya kumtukana. Yeye hajawatukana kawapa za uso.

Wengi tumeishi au kuwaona au kuwasikiliza vichaa wakiongea. Kuna wakati wanasema ya ukweli lakini ni mara chache na kwa jinsi hiyo kwa ujumla huwa hatuamini ya vichaa au wale ambao akili zao zimekwenda kombo. Shibunda ni mmoja wao ambaye akili imekwama.

Linalonishangaza ni ninyi wana JF kumushangilia kichaa! Nanyi zimekwama nini? Vichaa munapeana hi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom