Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Chama cha peoples power hicho. Teh teh teh, hata uchaguzi wa vijana mwaka ule ulishindikana hii kamati ikakaa ikawatimua akina Kafulila, pia hata kwenye uchaguzi wa mwenyekiti taifa haukuwezekana mpaka hii kamati ilipomwengua zitto kwa kumshinikiza ajitoe. Peoples powder
Hicho chama cha peoples power kinasitaajabisha sana, kwanza katiba yake bora katiba iliyopo inayopingwa hata sijui mandati ya kudai katiba mpya wanaitoa wapi?
Katiba gani hiyo inayotumika, watu wa shinyanga wamechagua kiongozi wao, harafu kiongozi wa watu wa shinyanga anakataliwa na kakikundi ka wahuni wachache.
Makamu Mwenyekiti enzi hizo (CHACHA) amechaguliwa na wanachama wengi wa Taifa zima eti kakikundi haka ka wahuni kanaamuwa kuwaamulia wananchi wote. Kakikundi haka kana nguvu za AJABU. Harafu, wakitoka hapo watakwambia nguvu za rais ni kubwa, watakwambia peoples power. THIS IS CRAZY.
Na tena watakwambia maamuzi ya bunge ama bunge siyo sahihi maana yanalinda interest ya wahuni wachache. Na tena watakwenda mbali kuhubiria kwamba bunge lisiamue hoja ipelekwe kwa wananchi ikapigiwe kura. Well, na haka ka group ka thugs , the so called kamati kwanini kasipeleke hoja kwa wananchi husika wakaamue mwakilishi wao? Watanganyika nani aliyewaloga?
Ukiona siri za vikao zinavuja ndio mwanzo Wa mporomoko.
CDM mwaongoza kwa siasa za majitaka, nyie ni shari tu! mara mnataka kupigana. Hiki chama hakina future.
Sidhani,
Anagombea uenyekiti wakati magazeti yalisha anza kukosana na maoni yake juu ya Tanesco. Na siamini kama hayo mambo yake ni suala la CDM ni suala la wa-TZ wote walivyoona anavyoelekea kugeuza msimamo juu ya mambo ambayo yalishaeleweka kwamba ni ufisadi ndani ya Tanesco.
Lakini hata hivyo si bora CDM kuliko CCM walioweka 'wanted' kwa yeyote atakayegombea nafasi ya Urais against Kikwete? AU!
BTW; Huyu Mkama /Mukama, katibu wa CCM ni nduguyo? Mbona leo alikaa high table wakati ni sherehe za Wafanyakazi? tena akiwa na jezi ya CCM au hajafahamu mipaka ya wadhifa wake? Nieleweshe kana unaweza.
Hahahaaa..Mkuu umesahau Sofia Simba alitukanana na kutaka kupigana na Mama Kahama kwenye kinyang'anyiro cha Uenyekiti UWT?
na unataka kusema uamuzi uliomhalalisha Masauni agombee Uenyekiti UVCCM haukuwa na misingi ya zengwe?
Au unadhani Nape alienguliwa kihalali?
Fanya analysis vizuri wewe
hiyo ni kwako wewe sio kwa kila mtu.wacha habari zako ww,tangu lini zitto ukamfananisha na Dk Slaa??Dk Slaa is next level,ni sawa kifo na usingizi,vision ya Dk Slaa ni infinite. Nadhani U-premium member wako unaniti shaka na usikupe kibri cha Kuhadaa watu hapa jamvini,na ndio maana hujawahi kugongewa thanx hata moja hapa tangu ujiunge,sijui upo kwenye mlengo gani kifikra na kama unamuhusudu zitto hizo ni za kwako na si za jamvi...ebooo!!
Nchi hii hakuna chama bali mikusanyiko ya wasaka tonge tu!! Haya jioneeni. CCM wanaparurana na kuvuana magamba huku CHADEMA wanataka kupigana. Mimi ni mshabiki wa LEMA kama LEMA ila si Chama lakini sasa naanza kujiuliza juu ya ukomavu wake kisiasa manane kauli zake zimekuwa za ngumi mbele!!
Katiba ya chadema inasemaje? http://www.chadema.or.tz/nyaraka/katiba_2006.pdf
6.3.5 Kuziba Nafasi Wazi za Uongozi
(a) Kamati ya Utendaji ya kila ngazi au Baraza Kuu itaziba kwa muda nafasi yoyote ya
kiongozi aliyechaguliwa na mkutano mkuu wa ngazi husika.
(b) Nafasi wazi za uongozi walioteuliwa zitazibwa na vikao husika kwa kufanya uteuzi
mpya katika muda usiozidi miezi mitatu tangu nafasi kuwa wazi.
(c) Muda wa uongozi wa muda kwa mujibu wa kifungu 6.3.5 (b) hautazidi mwaka
mmoja.
(d) Bila kujali sharti la kifungu 6.3.5 (c) hakutafanyika uchaguzi rasmi wa kuziba
nafasi kama kumebakia miezi sita tu au chini ya hapo kabla ya uchaguzi mkuu wa
kawaida wa Chama unaofuata kufanyika.
BARAZA Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Shinyanga limemteua Bw. John Magale Shibuda kuwa mwenyekiti wa muda wa mkoa.
Akitangaza uamuzi huo, Katibu wa Mkoa wa CHADEMA, Bw. Nyangaki Shilungushela alisema uamuzi huo ulifikiwa katika kikao cha dharura kilichofanyika juzi jioni.
Bw. Shilungushela alisema, wajumbe wa baraza la mkoa waliketi katika kikao cha dharura na kumteua Bw. Shibuda kuwa mwenyekiti wa muda wa mkoa huo mpaka pale uchaguzi wa kujaza nafasi yake utakapofanyika.
"Mbali ya kumteua Bw. Shibuda kuwa mwenyekiti wa muda wa mkoa, lakini pia wajumbe wa baraza kuu la mkoa walimpendekeza kuwa mlezi wa mkoa wa Shinyanga, na atakaimu nafasi ya uenyekiti mpaka pale utakapofanyika uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi iliyoachwa na Bw. Shelembi," alieleza Bw. Shilungushela.
Ujumbe wako unachonganisha watu, wabunge, na wana CDM!! hoja haikukaa vizuri. Ungeishia kusema kuwa Kamati kuu imemuengua shibuda na kumuweka fulani kwa sababu fulani; badala ya kuleta malumbano ya vikaoni ambayo hayana tija na hayaendani na hitimisho la hoja yako uliyoleta. Kwa msingi huo, naiona hoja yako imekaa kimajungu majungu tu NA INALENGO LA KUBOMOA CDM!!!
Ujumbe wako unachonganisha watu, wabunge, na wana CDM!! hoja haikukaa vizuri. Ungeishia kusema kuwa Kamati kuu imemuengua shibuda na kumuweka fulani kwa sababu fulani; badala ya kuleta malumbano ya vikaoni ambayo hayana tija na hayaendani na hitimisho la hoja yako uliyoleta. Kwa msingi huo, naiona hoja yako imekaa kimajungu majungu tu NA INALENGO LA KUBOMOA CDM!!!
Niliwahi kusema kuna siku mtakuja tafuta refenrece JF.Jiulize Lema ana cheo gani kitaifa ?.Zitto ni naibu katibu mkuu sauti yake ni sauti ya CHADEMA kitaifa Lema ni mbunge wa Arusha tu naomba kujuzwa na kusahihishwa kama ana wadhifa mwingine zaidiya ubunge?. Lema kaikuta CHADEMA imara baada ya kazi nzuri na kubwa iliyofanywa na Zitto na Dr Slaa.
Mkuu tusije kuwasingizia CCM siku mambo yakienda kombo !.
Mkuu umesahau chama chetu hakifanyi makosa.
wacha habari zako ww,tangu lini zitto ukamfananisha na Dk Slaa??Dk Slaa is next level,ni sawa kifo na usingizi,vision ya Dk Slaa ni infinite. Nadhani U-premium member wako unaniti shaka na usikupe kibri cha Kuhadaa watu hapa jamvini,na ndio maana hujawahi kugongewa thanx hata moja hapa tangu ujiunge,sijui upo kwenye mlengo gani kifikra na kama unamuhusudu zitto hizo ni za kwako na si za jamvi...ebooo!!