Shibuda apania kugombea dhidi ya JK CCM, ajitoa ghafla

Prof. Baregu can why not! he is better than JK academically, akiwekwa kuongea na marais duniani hutaogopa kwamba atachemsha kama JK

I will personally support him, as I said I will not support Slaa padre aliyeasi.

Beg to differ sir!
Baregu is an analyst, academician and is left of centre.
He will probably be comfortable in criticising what others have already tried, but he is not the leader type,I cant see him leading others from the front.
 
All these are certainly a good points, japo kuna zingine hatujaprove bado. Vipi kuhusu kuondolewa chuo kikuu ni failure ya nani? Baregu, viongozi wa chuo au serikali? na je alijua kuwa kuna siku atasimamishwa? kama alijua alifanya nini? kama hakujua je hakuona sign yoyote ya kumwonyesha kuwa hilo jambo litatokea?

Mimi nafikiri kuondolewa Chuo Kikuu ni kutokana na hofu ya Serikali as jamaa alianza kuwashika pabaya. Inaweza ikawa alijua kabisa kuwa serikali yetu ilivyo na hofu za kichama, haikawii kumnyima mkataba au alihisi na yeye ataachiwa ajinafasi kama kina Mvungi, Mukandala na wengineo wengi. Pia napenda kuwachallenge serikali huku nikiwauliza swali ambalo hata Baregu kawauliza; ni wahadhiri wangapi ambao ni wanasiasa and hata hawaguswi? Tunamfahamu Dr. Mvungi ambaye hata uraisi aliugombea, tunamfahamu Prof. Mukandala ambaye alikuwa mshauri wa karibu wa JK and kila siku JK alikuwa akienda nyumbani kwake kupata lecture before uchaguzi wa 2005 huku akiwa ni mwanachama hai wa CCM na ndio maana akalipwa fadhila kwa kupewa u-VC. Kuna Dr. mmoja hivi aliwahi kuwa Head wa Department ya Economics (mchaga mmoja hivi mweusi - anavuta sana sigara), jina lake limenitoka kidogo, huyu ndio alikuwa msajili wa wanafunzi katika chama cha mapinduzi. Sasa hawa jamaa wanapoleta longo longo juu ya uhusikaji wa Baregu kwenye siasa, I doubt it.

JK na mtandao wake wamekuwa na wasiwasi sana kwa watu ambao ni threat kwa serikali yake. Na nahisi kuwa, kama kina Chachage na Haroub Othman wangekuwepo, no wonder siku moja na wao ungesikia wakipigwa pini. Manake kwa pale mlimani hawa jamaa ni kati ya wachache ambao wana confidence ya kuiponda serikali live, hawapaki rangi kama kina Mukandala ili wapewe u-VC na vyeo vingine vinavyofanana na hivyo.
 
Mimi nafikiri kuondolewa Chuo Kikuu ni kutokana na hofu ya Serikali as jamaa alianza kuwashika pabaya. Inaweza ikawa alijua kabisa kuwa serikali yetu ilivyo na hofu za kichama, haikawii kumnyima mkataba au alihisi na yeye ataachiwa ajinafasi kama kina Mvungi, Mukandala na wengineo wengi. Pia napenda kuwachallenge serikali huku nikiwauliza swali ambalo hata Baregu kawauliza; ni wahadhiri wangapi ambao ni wanasiasa and hata hawaguswi? Tunamfahamu Dr. Mvungi ambaye hata uraisi aliugombea, tunamfahamu Prof. Mukandala ambaye alikuwa mshauri wa karibu wa JK and kila siku JK alikuwa akienda nyumbani kwake kupata lecture before uchaguzi wa 2005 huku akiwa ni mwanachama hai wa CCM na ndio maana akalipwa fadhila kwa kupewa u-VC. Kuna Dr. mmoja hivi aliwahi kuwa Head wa Department ya Economics (mchaga mmoja hivi mweusi - anavuta sana sigara), jina lake limenitoka kidogo, huyu ndio alikuwa msajili wa wanafunzi katika chama cha mapinduzi. Sasa hawa jamaa wanapoleta longo longo juu ya uhusikaji wa Baregu kwenye siasa, I doubt it.

JK na mtandao wake wamekuwa na wasiwasi sana kwa watu ambao ni threat kwa serikali yake. Na nahisi kuwa, kama kina Chachage na Haroub Othman wangekuwepo, no wonder siku moja na wao ungesikia wakipigwa pini. Manake kwa pale mlimani hawa jamaa ni kati ya wachache ambao wana confidence ya kuiponda serikali live, hawapaki rangi kama kina Mukandala ili wapewe u-VC na vyeo vingine vinavyofanana na hivyo.

Nafikiri anaitwa Dr. Ndashau.

Hivi Mawaziri sio watumishi wa umma?
 
Baregu baregu baregu....................why? Kwanini sio slaa aliyefunua mengi ambayo watz tulikuwa hatujui na tusingeweza kujua? Nchi inataka mtu anayejua jinsi serikali inavyofanya madudu kwa muda na jasili..........kwangu mimi slaa pekee ndio naweza kufaa kuwa rais kwani hana utani kwenye maslahi ya taifa...............huyo baregu mnamrusha bure sijui kayfanya nini cha ajbu mnasema tu anafaa................angalieni facts sio self interests
 
Nenda baregu jaribu, tuko pamoja...as long as siyo huyo padre wao.


wewe vipi mbona mbaguzi, mdini hivyo???nadhani wewe ungezaliwa saudia ungesheherekeas saana, nyie ndo katika jamii hamfai kabisa, ndo mnaopandikiza chuki among people for personal interest, shame on you
 
Kuna wengine, wenye ushawishi katika jamii, walishaapa. Nshomile never on earth! Sifagilii ukabila, ila duh!

ni nani hao waliapa kuwa nshomile asiwe rais? I think muhimu ni kupata kiongozi mwenye maadili na uwezo wa kiti cha urais and not the usual dimwits wenye uchu na madaraka. As long as ni Mtanzania mwenye uchungu na nchi yake. Kikwete is just a celebrity president na hata akienda abroad huwa discussion zake ni soft mno, sidhani kama anatoa point ktk one on one interviews.

Embu tumsikilize Prof. akimwaga point....

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=5VeeYSs6sFM&feature=related[/ame]

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=bRiC1poArkM&feature=related[/ame]
 
Tunamtaka Rais wa umri wa Obama, aliyezaliwa na MKULIMA wa jembe la mkono. Atoke mikoa ya Lindi, Rukwa, Morogoro, Tanga,... na mingine inayofanana na hiyo.
 
All these are certainly a good points, japo kuna zingine hatujaprove bado. Vipi kuhusu kuondolewa chuo kikuu ni failure ya nani? Baregu, viongozi wa chuo au serikali? na je alijua kuwa kuna siku atasimamishwa? kama alijua alifanya nini? kama hakujua je hakuona sign yoyote ya kumwonyesha kuwa hilo jambo litatokea?

Kwa taarifa yako ni kuwa Prof. Baregu hajasimamishwa kazi UDSM ila aliisha staafu na akapewa mkataba wa kwanza na umeisha sasa alipoomba apewe mkataba mwingine ndo wanamwambia kwa sababu za kisiasa hastahili kuwa mtumishi wa umma.

Prof. Baregu anaelewa nini kilicho kuwa kinaendelea na ndiyo maana huja msikia yeye ananpiga kelele, sisi wadau ndo tunapiga kelele ya kwa nini anyimwe mkataba ili hali badoni tegemeo pale UDSM?
 
Serikali imesema kupitia kwa Ghasia kuwa sababu za kunyimwa kazi ni yeye kuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema. Kwa hiyo Baregu kupewa nafasi ya kutumukia siasa zaidi kama mgombea wa Urais ni sawa.
 
Ni wakati mwafaka kwako kugombea na kuchuana na watu wengine kama wakina Jk ana wengine kibao. Baregu anafaa kwa kila idara na pia ni mzuri katika kutoa maoni yake na yeye ndiye anaweza kutoa mawazo huru kabisa
 
Baregu baregu baregu....................why? Kwanini sio slaa aliyefunua mengi ambayo watz tulikuwa hatujui na tusingeweza kujua? Nchi inataka mtu anayejua jinsi serikali inavyofanya madudu kwa muda na jasili..........kwangu mimi slaa pekee ndio naweza kufaa kuwa rais kwani hana utani kwenye maslahi ya taifa...............huyo baregu mnamrusha bure sijui kayfanya nini cha ajbu mnasema tu anafaa................angalieni facts sio self interests


Mimi namuona Dr. Slaa anafaa zaidi nafasi ya utendaji na utekelezaji kuliko hii ya urais ni mawazo yangu tu.
 
Anaweza kufanya maamuzi magumu, kama vile kuwaadabisha mafisadi hata kama ni rafiki zake!! Ni mtu jasiri anaeweza kuthubutu!

Is this your opinion or fact? Has he ever been in a situation(which you know of) that required him to do a similar thing(even if it's in a different capacity?)?
 
Back
Top Bottom