Obi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 374
- 79
Kiongozi atakayenifaa na nitampa kura zangu zote 2010 ni huyu hapa
...."Kiongozi anayetufaa Tanzania , ni yule anayejua kuwa nchi yetu ni masikini na watu wake ni masikini. Na ukimwangalia usoni ...uone anaguswa na umasikini wetu. Vinginevyo hatufai...." J.K.Nyerere.
Ajue kuwa kuna watanzania zaidi ya million 30 hawana uhakika wa kupata mlo mmoja kwa siku.
Ni lazima asiwe na kigugumizi katika kutoa uamuzi wa haki kwa sababu si wakala wa mtu yeyote. Serikali yake lazima isimame upande wa wanyonge, ikisimama upande mwingine wanyonge hao hawana pa kukimbilia.
Kasi ya serikali yake iweze kushughulikia kero za wanachi ikiwemo rushwa kwa umakini pasipo kushinikizwa na mtu yeyote
...."Kiongozi anayetufaa Tanzania , ni yule anayejua kuwa nchi yetu ni masikini na watu wake ni masikini. Na ukimwangalia usoni ...uone anaguswa na umasikini wetu. Vinginevyo hatufai...." J.K.Nyerere.
Ajue kuwa kuna watanzania zaidi ya million 30 hawana uhakika wa kupata mlo mmoja kwa siku.
Ni lazima asiwe na kigugumizi katika kutoa uamuzi wa haki kwa sababu si wakala wa mtu yeyote. Serikali yake lazima isimame upande wa wanyonge, ikisimama upande mwingine wanyonge hao hawana pa kukimbilia.
Kasi ya serikali yake iweze kushughulikia kero za wanachi ikiwemo rushwa kwa umakini pasipo kushinikizwa na mtu yeyote