Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Mkuu!!!Huyu shibuda akifutwa uanachama litakuwa fundisho kwa wengine....anachofanya Shibuda ni kupingana na ilani ya chama,huu ni sawa na uhaini kwa chama
naogopa sana kusema kwamba WATANZANIA wanafuata WATU na si VYAMA!! Huenda akifukuzwa akaondoka na WATU WAKE!!! na inawezekana sana watu HAO ndio MTAJI kwa CHAMA!!! Naogopa sana PICHA ya aina hiyo!
NDIO MAANA NIMEWAHI KUSEMA NA KUWAUNGA MKONO WALIOSEMA "BADO HATUJAWA NA WANASIASA MAKINI NA VYAMA MAKINI VYA SIASA VYA KUIONDOSHA CCM MADARAKANI!"
Ndio maana vyama vyetu vinashabikia mamluki wanaokuja bila kutazama madhara yake...