Shibuda aishangaa demokrasia ya CHADEMA

Shibuda aishangaa demokrasia ya CHADEMA

The guy is like a trigger of a loaded gun, it needs wisdom and extra care to handle lest it cause unnecessary damage!
 
Shibuda!!!!!!!!!!,shibuda!!!!!!!!!!!!!!!!!shibudaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!,nakumbuka siku ya msiba wa marehem kanumba alivyotumwa kumwakilisha mzee kanumba akachafua hali ya hewa mpaka clouds wakakatisha matangazo!,huyu jmaa daaah!!!!!!!!!!!!!
 
sHIBUDA BI mSALITI,
SHIBUDA NI CHIZI
SHIBUDA SI MTU WA KUWA CHADEMA
SHIBUDA HAJUI SIASA ZA CHADEMA
SHIBUDA HAIWEZI CHADEMA
SASA SHIBUDA AFUKUZWE CHADEMA AENDE KWA MAFISADI NA WEZI WENZAKE CCM
Mwacheni, atajifukuzisha mwenyewe
 
Msimamo wake
Lakini Shibuda alilimbia gazeti hili jana atashangaa kama atatuhumiwa kwa maoni yake binafsi aliyoyatoa bungeni juzi juu ya kutaka wabunge waendelee kulipwa posho za vikao vya Bunge.

"Nitashangaa kama nitaitwa na kiongozi yoyote wa kambi yetu ya upinzani au Chadema kwa tuhuma za kutoa maoni yangu huru niliyoyatoa bungeni jana (juzi), hata nilipokuwa CCM nilipenda kusahihisha palipokuwa na makosa".

"Sitarajii Chadema kuna viongozi wanaweza kudidimiza demokrasia na uhuru wa kutoa maoni, wakati chama kinafanya maandamano kutoa maoni huru kwa Watanzania. Kama mimi sitakiwi kutoa maoni huru basi hakuna maana ya kuandamana kutoa maoni kwa Watanzania".

"Tusitafute hila na visa kwa maslahi binafsi, tutambue kwamba mbunge anapozungumza bungeni anasema kwa maana pana kwa watu wenye mitazamo tofauti kwa lengo la kuleta fikra endelevu".

Alisema kwamba hana habari kama wabunge wote wa Chadema walikutana na kukubaliana kuikataa posho ya vikao vya Bunge.

Shibuda akifafanua zaidi suala hilo la posho japo kwenye Ilani ya Uchaguzi wa 2010 ya chama chake ilitaka kupunguza posho hizo za vikao pamoja na mshahara wa mbunge, alisema, "Ilani ya Uchaguzi ni mpango kazi wa kuendeleza programu ya chama kilichopo madarakani, kwa hiyo hivi sasa hapa bungeni bila kujali itikadi zetu wabunge tunaunganishwa na programu ya kuendeleza nchi, utawala bora na uongozi wa kuongoza fikra za Watanzania".


Sijui!! Lakini kuna ka ukweli hapa na ndio maana wakubwa wa humu (Jamii Forum) hamleti mjadala!

Penye Nyekundu: CHADEMA iko mbali na demokrasia kama hiyo, ni Wakubwa watano (5) tu wa chama wakiamua hakuna wa kupinga. Wengine wote ni kufuata mkia tu, fuatilia mweyewe maamuzi mengi baada ya uchaguzi mkuu 2010.

Na kwa kuzingatia ukweli huu, ndio maana ukitoa thread yeyote ihusianayo na DEMOKRASIA NDANI YA CHADEMA watoa maoni watakimbilia kushauri thread ifutwe. Thread niliyoiandika yenye kichwa cha habari "Ushahidi wa Udikiteta ndani ya CHADEMA" Ilifungwa baada ya ushawishi wa wanachama wa Chama hicho kumuomba Mods aifute. Ilidumu kwa takriban masaa 24.

Kwa mtindo huu hatutafika!! CHADEMA jirekebisheni.
 
Asante mkuu, nadhani tunajukumu katika naafasi zetu kuelimisha jambo hilo. La sivyo TAIFA Hili litabata mageuzi dhalili. Ni vizuri hata kama ni mageuzi, ambayo ningeliamini ni vizuri yafanyike, lakini ukweli upewe naafasi.
 
Shibuda ametumwa kuvuruga CDM. Jihadharini na mtu huyo.
 
Back
Top Bottom