uko sawa kwani ni bora kubaki na wabunge wachache walio makini kuliko kuwa na wabunge wengi wa aina ya Shibuda!Nina hamu sana kusikia wasaliti wa sera mbadala za wananchi wakichinjiwa baharini...Mimi binafsi simkubli Shibuda toka amehamia CHADEMA. Ni mtu mwenye jazba, hasira, mropokaji, mswahili halafu top in top ni mpenda madaraka saaana. Asije akajidanganya kuwa Shinyanga wamechagua mtu. Wale wanachagua jembe lolote toka CHADEMA hata akiwa bwana Eliesikia ndio anaomba kura. Majimbo 8 Manne CHADEMA, Moja mjini liliharibika na CCM matatu(moja la jembe Lembeli).myVision:Mi ninachotaka CHADEMA wasimung'unye maneno wala kufinyanga hiyo kesho au kesho kutwa baada ya kikao tumpe Tiketi apotelee mbali.Tuacha woga lile jimbo tunashinda sisi kama sisi CHADEMA.